muzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 1,041
- 1,457
Hongera sana, naona una kuja kama yule anajiita Sir................... na hangover za Kilinda, etc. ujanja ni huu chukua ndugu zako wote na ukoo wako wote waingize huko mpate mapesa mengi. Mkishakuwa matajiri kama MO, AZAM, etc. na wengine ntajiungana wewe