Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Usikariri please be flexible man. Ndicho trading uzuri wake unaweza kuuza ama kuseli shares or any financial instruments. You're long and you're wrong then reverse your order if your criteria za ku short the market is met.
Usiwe rigid kuwa lazima uwe long Kama investor anaye buy hisa so yeye Hana Option ya kuuza instantly.

Kuna mwamba mmoja katika hii industry I think wako wawili nawakubali.
First Kuna Jesse Livermore huyu alianza from scratch halafu Sasa katika mazingira magumu enzi hizo Mana alizaliwa 1875 alipokuwa na 14yrs tayari akaajiliwa kwa stockbroker as a quotation board boy.
Akiwa na 15yrs ameshaianza career Ile depression ya 1929 Ali short market akafika $100M.
Kumbuka hakuzaliwa na hata a cent.


Kuna huyu hapa wa Pili Richard Dennis alianza na dola 400 akaipeleka mpaka 200M dola ndani ya miaka nane. It's the skills or numbers game nothing is a miracle or left by chance/lucky.
Labda wa mwisho dogo mmoja wa kijapan anaitwa Takashi Kotegawa $13600to $158M na dogo still anakula kawaida na anavaa tisheti lake la second hand.
It's up to you.
Ni hivii nazungumzia hii mitaji yetu watu tunachoma kwasababu tunahitaji tufike ktk peak then ndo tuanze safari iyo ya ten sijui five percent, inawezekana ila ndo ivo too risk ila ukitoboa umetoboa sijui unanielewa? Ipo acc from 500 to 17000 usd means ukishasecure profit hapo sasa unaweza sema sasa ninaanza kuwa discipline, sijui ten nini , hakuna 100 accurate setup ila zipo setup za kulala nazo mbele na ukabadili maisha within a day, waulize trader wote wa tz walioanzia from scratch watakuambia kuhusu hili, wachache sana waliogrow kwa compounding na ni hao walimu wazuri
 
Ungejua watu wanavyofilisika na hiyo michezo, ungenyamaza tu
Forex haina huruma mzee hata uwe na bilion tano ukifanya ujinga zinapea zote inahitaji profession yale ni mafuriko huwezi yazuia kwa mkono, ,kitu kinamchanganya hadi mzungu na elimu yake sembuse mimi na wewe st kayumba,
 
Hiyo miaka mitano ya kustudy game huna kazi ya kufanya au?
Forex haikuzii kufanya mambo mengine, pia hata kama unafanya kazi fixed laki nne kwa mwezi kwa mwaka fixed 4ml ukaja ukaieweza fx kwa kupambana iyo miaka mitano wa sita ukaweza make 400k kwa siku kwa mwezi 8ml kwa mwaka 90ml utakuwa umepoteza nini
 
Ni hivii nazungumzia hii mitaji yetu watu tunachoma kwasababu tunahitaji tufike ktk peak then ndo tuanze safari iyo ya ten sijui five percent, inawezekana ila ndo ivo too risk ila ukitoboa umetoboa sijui unanielewa? Ipo acc from 500 to 17000 usd means ukishasecure profit hapo sasa unaweza sema sasa ninaanza kuwa discipline, sijui ten nini , hakuna 100 accurate setup ila zipo setup za kulala nazo mbele na ukabadili maisha within a day, waulize trader wote wa tz walioanzia from scratch watakuambia kuhusu hili, wachache sana waliogrow kwa compounding na ni hao walimu wazuri
Ukikuza account yako kwa bad behaviour utaichoma pia kwa bad behaviour..... discipline haina mpaka ifike account sijui ukubwa gani, start with discipline and finish with discipline......
Mentor ambaye hana cha kukuonesha zaidi ya screenshot za profit hana lolote.
Mentor akupee PL yake ya mwaka au akuoneshe wanafunzi ambao kweli are successful sio hizi flips za dollar 100 mpaka 1000.
 
Wewe usidanganye wenzako, kwa hilo ulilozungumza bado huijui Forex, Top 10 ya matajiri duniani hakuna Fx trader, trader yeyote mzuri anaweza ku double account, lakini double account kwa lengo la kukuza mtaji baada ya hapo endelea ku trade kwa discipline...
Pro tadera anaweza double account lakini wanajua its too risk, hakuna setup au analysis kwenye fx itakupa uhakika 100 % all the time... Hata uwe best vipi Forex inahitaji discipline...
Jaribu kupunguza ujuaji na usiwapoteze wenzio, hivi wewe unaijua Forex kuliko waliotengeneza MT4/MT5 na zile indicators? Bora ukae kimya
Sipo kwa ajili ya kuonyeshana umwamba mkuu ,mie Ni kilaza relax Wala sijui kitu na Nina tredi demo ,kidogo najua utapumua.
Yaani mie Ni kilaza hata hiyo mt4/5 inafananaje.
Am low key figure man Wala Sina ujanja wowote. Najua neno lako ndio kanuni nakuheshimu mno guru wa cfd
 
Mbona unauliza swali gani sijui hata nikujibuje labda nikuulize. Hakuna watu wanaosoteaga demu miaka zaidi ya iyo. Unajua kuwa Usain bolt kukimbia ndani ya dakika mbili na kulipwa 69bn tzs,una taarifa kuwa alifanya zoezi for 20yrs.

Sio lazima kila mtu Ana chaguo lake mkuu
Hiyo miaka mitano ya kustudy game huna kazi ya kufanya au?
 
Pro tadera anaweza double account lakini wanajua its too risk,
Yaani ungejua ungekaa kimya, sema sie bongo kila mtu Ni Mhandisi,daktari,mhasibu,mwanasheria,dereva, journalist,na pia Ni accountant.
Naweza Nika reveal hapa sema Sina haja ya kukuthibitia ishu kubwa huwa nasema kuwa maisha Ni Imani wewe bakia unachoamini namie nibakie nachoamini.


Unajua kuwa elimu nyingi iliyoko public sio elimu sahihi ama ukicheki Ni common knowledge.
Yaani wote wanaiongelea kitu kile like. Unajua kuwa cut loss but how to cut loss or hold winners but how to hold winners.
Trading inaonekana easy due to some common wisdom words from guru ambazo ziko common.


Kama education iliyopo he Ni sahihi na Kama Ni sahihi umeshajiuliza why wengi Wana feli ingawa Kuna thousands and thousands of channels at YouTube, website,PDF files, teachers and educators,weekend courses but still it has got higher failure rate.
Hakuna sehemu nilipojifanya mjuaji sema wewe umekuwa biased namie.

Ila pia sie Ni watalaamu wa kila kitu. Mie Ni newbie labda sijui unachokisema.
Ngoja nikupe ukuu namie huwa Sina haja ya kukuaminisha ama nionekane najua mie sijui kitu kuwa na amani. Samahani wote niliotaka kuwapoteza jamani.
Mnisamehe bure
 
Maelezo meeengi kumbe bado unacheza na demo [emoji3]
Ingia weka mpunga utapigwa uchakae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaongea kitu ambacho hujui unaongea Nini mkuu. Hivi unajua lakini daktari anakaa miaka mingapi darasani kusoma tu?
Unajua ana practice miaka mingapi neurosurgeon mpaka anaachiwa mtu anamfanyia operesheni ya kichwa lakini.
Ama unajua kuwa unasoma miezi sita ama unahudhuria weekend course Basi unakabidhiwa mtu kumchana kichwa.
Unajua lawyer anasoma YouTube na baadhi ya PDF na anakuja kusimamia kesi between multinational companies like barrick and Tanzania na anashindwa kesi aliyoisimamia.

Unajua tu rubani anademo mwaka anaaachiwa arushe ndege amebeba mamilioni ya watu.

Hii Ni career Kama Career zingine zilivyo sema sie tuna rush to make money instead of developing the skills. Unapokuwa na skills hela Ni outcome ya right skills.

Unajua Michael Jordan ama kobe Bryant alikuwa ana practice Mara ngapi ama masaa mangapi per day.
Eliud kipchoge alikimbia siku 365 za mwaka bila ya kumisi hata siku moja akijiandaa na marathon aliyocheza uk na ndio ilikuwa sababu yake ya kushinda.

Kupata A ya Fizikia ama maths lazima ufanye mitihani kibao unanipa mwenyewe mazoezi mitihani isiyopungua hata alafu kumi,Tena unaifanya kwa muda mchache kuliko ule wa necta ili uingie uichukue A yako.

Hata mbususu unaisotea Ila mbususu ya maana sio hizi za kuuzwa mtaaani ama leo umechukua namba leo leo umemaliza.

Kuna unaipenda na umeipatia mbususu yako unayoipenda utaweza sotea hata miaka na miaka Ila ukiwa una uhakika wa kuipata.
Nothing come easy.

Samahani mie Ni kilaza ,am loser ,am just dambu esihole so relax
 
Karibu ulimwengu wa trading...... binafsi nna miezi 21 toka nimeanza kujifunza na skill niliyoipata naiamini na sasa nipo kwenye real account with proper knowledge toka September. Nafanya zoezi la kucompound.
Na compounding yangu ikienda vizuri kama nilivyopanga by June mwakani ntakua nishauaga umasikini 100%


Cha kukushauri tu... kama umedumu na strategy moja kwa miezi mitatu mfululizo huku ukifanya journaling ya uhakika na ushaelewa strength na weaknesses za strategy yako ingia real hata kwa dollar 100 itakusaidia kujua how far along are you when it comes to PSYCHOLOGY


Extra tips....
1. I always record on telegram, nna channel of myself all my analysis and how zimeplay out kwa screenshot plus psychology yangu during execution
2. Every weekend I go through namna gani nimeperform wiki nzima na kama kuna jambo jipya nimenotice, aim ni kukomaa na yale mazuri na kugive up bad behaviour
3. Every month napitia mwezi mzima ulivyoenda and I rate my performance kwa huo mwezi in comparison na mwezi wa nyuma
4. My fx book is a very good tool kuelewa unaperfom vipi sababu it's detailed mnoooo

NOTE: zoezi langu ni rahisi sababu I only trade GU na gold
2. I use fibs and supply and demand targeting 1:2 minimum
3. Target yangu ni 25% growth weekly bila kuoverlage (maximum lot for every 500 dollars ni 0.1 unless i scale in to a winning position and previous position zikiwa risk free.... per pair mara nyingi max ni 2 entries mimi sio mtu wa many entries) ambayo as far as I have been backtesting and live trading ni achievable
4. I don't look at what other traders are doing ni mimi na charts zangu na alerts Kwenye zones nnazozitaka, tp and sl areas.. in other words my goal ni kuangalia chart only when necessary
5. Kwa wiki PER PAIR set ups 2 mpaka 3 zinanitosha sanaaaaaaa

ATTACHMENT BELOW NI NAMNA I RECORD MY ANALYSIS KABLA MARKET HAIJATEMBERA



TRADING WILL MAKE ME A MILLIONARE IN USD BILA KUUZA SIGNAL, KUFUNDISHA WATU WALA KUMANAGE ACCOUNTS.
Uko vyema kiongozi umenipa mwanga
 
Trading sio utapeli,
Waliingia wakajua hela za bila ya jasho wakachezea za uso wanaamua kuiponda. Inahitaji commitment ya Hali ya juu mno.

Huhitaji capital kubwa
Kumeki money is skill na sio kuwa inabidi uwe na hela. It takes an entrepreneur to start a business na sio kuwa Ni mtaji.
Kuna huyu mwamba aliyeanza na $400 akaipeleka mpaka $200M Richard Dennis aliyefundisha wale jamaa wa turtle traders.
Ni kweli iyo $200 Kama una knowledge kwa mwaka huwezi ukashindwa kuifikisha hata $10k Ila Kama una right skills. Hizi skills sio za mchezo kuzipata ndio shida ilipo hapo. Huwezi zipata na huku upo ofisini
 
Waliingia wakajua hela za bila ya jasho wakachezea za uso wanaamua kuiponda. Inahitaji commitment ya Hali ya juu mno.


Kumeki money is skill na sio kuwa inabidi uwe na hela. It takes an entrepreneur to start a business na sio kuwa Ni mtaji.
Kuna huyu mwamba aliyeanza na $400 akaipeleka mpaka $200M Richard Dennis aliyefundisha wale jamaa wa turtle traders.
Ni kweli iyo $200 Kama una knowledge kwa mwaka huwezi ukashindwa kuifikisha hata $10k Ila Kama una right skills. Hizi skills sio za mchezo kuzipata ndio shida ilipo hapo. Huwezi zipata na huku upo ofisini
Unahitaji elimu ya theory then unahitaji experience ya live market...... na vyote hivyo sio kitu cha muda mchache it takes time.

Si kweli, hata ukiwa ofisini unaweza kujifunza for as long as long una mtandao, sababu the most part utajifunza after work hours, execution huhitaji kukomalia charts ni kuset alerts tu zikiita unacheki kinachoendela, na mtu aliyeajiriwa best strategy ni swing trading. Ofisi hizi za kibongo ambazo mtu work hours yupo whatsap na instagram ushindwe kufanya execution???? Si kweli.
Tena ukiwa na kazi pressure ya pesa za haraka inapungua so unajifunza more effectively kuliko mjobless
 
Unahitaji elimu ya theory then unahitaji experience ya live market...... na vyote hivyo sio kitu cha muda mchache it takes time.

Si kweli, hata ukiwa ofisini unaweza kujifunza for as long as long una mtandao, sababu the most part utajifunza after work hours, execution huhitaji kukomalia charts ni kuset alerts tu zikiita unacheki kinachoendela, na mtu aliyeajiriwa best strategy ni swing trading. Ofisi hizi za kibongo ambazo mtu work hours yupo whatsap na instagram ushindwe kufanya execution???? Si kweli.
Tena ukiwa na kazi pressure ya pesa za haraka inapungua so unajifunza more effectively kuliko mjobless
Umetoa nondo brother/sister
 
Jikazeni forex si lele mama inakuhitaji kuinstall ubongo mpya na hisia mpya, accept small loss ,accept break even, avoid revenge, jifunze ku call it a day no matter what, find good and simple strategy stick to it, accept compounding, develop patience, create many accounts as many as possible, toa pesa sokoni invest ktk mambo mengine, enjoy your carrier, saidia sana kadri uwezavyo,

Forex change lives and forex kill ,jitasmini sana unakosea wapi then correct,
Natamani kila mmoja aijue tu ila bila kuweka pesa
.
 
Forex haina huruma mzee hata uwe na bilion tano ukifanya ujinga zinapea zote inahitaji profession yale ni mafuriko huwezi yazuia kwa mkono, ,kitu kinamchanganya hadi mzungu na elimu yake sembuse mimi na wewe st kayumba,
😀😁😁😁😂 Kama betting yenyewe kina tatu mzuka na wenzake hawana huruma ndio atakuwa huyu mnyama fx c'mon. Hii Biashara sio trial and error.
 
Back
Top Bottom