Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Mimi hapa niko na positive experience na hii biashara ya forex.,
Yap unaweza ukawa na positive experience na uvutaji bangi ila haimaanishi bangi hazina madhara au sababu haujashikwa mpaka leo kesho hautashikwa....

Kwahio Sababu Bob Nester Marley alikuwa anashuka mistari murua na anatumia nyasi hatuwezi kusema tuanze kuvuta nyasi (madhara yake ni well known)
yale umeandika ni ukweli na pia sio ukweli., ni ukweli kama mtu hana proper knowledge ya forex.,
Knowledge haizuii unpredictability na riskiness of such....
na pia kauli yako sio ukweli kwa yule alie na uelewa kikamilifu, unaweza ku project where the market is headed ukielewa fundamental analysis..,
fundamental analysis zipi na zinatokea saa ngapi na wewe unareact vipi na kwa muda gani ? Kuna vitu vitanatokea instantaneously na kuna vitu huwezi uka-predict reaction ya watu..., pia kila mtu akipredict kama wewe na akifanya same thing kama wewe unadhani nini kitatokea ?

Ingekuwa rahisi hivyo na sio kwamba hawafanyi sasa hivi kuna Bots (yaani haya wewe unayodhani unafanya unayatengenezea computer coding na bots zinafanya yake at a supersonic speed.., na hayo yanafanyika ndio maana kuna saa utashangaa vitu vinavyotokea kwenye market..., hence kwenye fundamental analysis yako lazima uweke bizo bots and computer software into account...
kwa mfano, vita vya Ukraine na Russia na impact yake Europe ilikua obvious Euro na Pound zitashuka dhamani, na dollar ya marekani, gold na oil kupanda.., hapa nimevuta hela ndefu sana!!..,
Kwamba katika historia ya Vita hilo halijawai kuwa vice versa..., yaani prediction ya of the obvious kwenda pear shaped
Tazama vile US dollar ilipanda against major currencies na Euro na Pound kuporomoka.., ilikua obvious sana, ama pengine ni kwa vile mimi naelewa na prediction yangu ilikua 90% correct.., ila in forex unahitaji kukua 30% correct to make a profit kama unaelewa kile unafanya..,

EURO/USD.., tokea mwanzo wa mwaka, hizi ni weekly charts,
View attachment 2398425

GBP/USD (Pound against Dollar)
View attachment 2398426

hapa kama unge invest kshs 200 (Tsh 4000).., ungekua na Ksh.20,000 (Tshs. 400,000) sasa hivi, na kama wewe uko na account kubwa where u can enter a bigger position, hiyo Tsh.400,000 unaweza multiply by 100 ungekua na Tshs 40,000,000., tokea January hadi sasa hivi na pengine ungekua ume risk maybe Kshs 1000 (Tshs. 20,000) incase the market goes a gainst u..,
Nakuuliza tena katika historia ya currency forex haijawahi kutokea the obvious kuwa vice versa ? mfano hivyo vita ?!!!
 
Yap unaweza ukawa na positive experience na uvutaji bangi ila haimaanishi bangi hazina madhara au sababu haujashikwa mpaka leo kesho hautashikwa....

Kwahio Sababu Bob Nester Marley alikuwa anashuka mistari murua na anatumia nyasi hatuwezi kusema tuanze kuvuta nyasi (madhara yake ni well known)

Knowledge haizuii unpredictability na riskiness of such....

fundamental analysis zipi na zinatokea saa ngapi na wewe unareact vipi na kwa muda gani ? Kuna vitu vitanatokea instantaneously na kuna vitu huwezi uka-predict reaction ya watu..., pia kila mtu akipredict kama wewe na akifanya same thing kama wewe unadhani nini kitatokea ?

Ingekuwa rahisi hivyo na sio kwamba hawafanyi sasa hivi kuna Bots (yaani haya wewe unayodhani unafanya unayatengenezea computer coding na bots zinafanya yake at a supersonic speed.., na hayo yanafanyika ndio maana kuna saa utashangaa vitu vinavyotokea kwenye market..., hence kwenye fundamental analysis yako lazima uweke bizo bots and computer software into account...

Kwamba katika historia ya Vita hilo halijawai kuwa vice versa..., yaani prediction ya of the obvious kwenda pear shaped

Nakuuliza tena katika historia ya currency forex haijawahi kutokea the obvious kuwa vice versa ? mfano hivyo vita ?!!!
Kile umeandika kwa mtazamo wako uko sahihi., ila naona haujanielewa, unaichukulia ama ku reason in a pedestrian way, yani kiboya sana, issue ya Bob Marley na bangi in relation na trading forex professionally ni wapi na wapi, hii kukosa uelewa ndio maana 90% ya retail traders wanapoteza hela zao kwa hii biashara.
Fundamentals give the bigger picture ya specific economies as far as the currency pairs u are trading are concerned, and in most cases fundamentals give a 60 - 90% prediction of the market direction, na nimekuambia unahitaji kukua correct only 30% of the time to make a profit kwa hii biashara, with proper risk to reward ratio.
Biashara yoyote ile, ata iwe ni ukulima, kama hauna uelewa kikamilifu yale utakua unafanya itakua ni gambling tu, unaweza ukakosa kutengeneza faida kisa hauna uelewa, unafanya guesswork tu, yaani pata potea, but with clear understanding, basi chances of making profits all the time inakua very high, na pia utaelewa tricks za hapa na pale. Mimi hapa tangu nielewe FX kikamilifu na kufahamu ni kwa nini watu wanapoteza, sijawai make any net loss ever, even though I make few losses here and there, at the end of every year am in profits, hii ni mwaka wa tatu., na sioni vile I will ever go down, kwa vile nilichukua muda mrefu kusomea mengi kuhusu forex and commodity trading na pia Risk Management in financial markets.., kuna vitabu vingi mno.

Mwisho; Forex sio biashara rahisi kwa wengi., inahitaji masomo kwa wingi na muda ili mtu kuelewa dynamics zake, ila wengi wanaingia na fikra za kutengeneza hela ndefu kwa muda mfupi, wamedanganywa na youtube clips za matapeli wanaonyesha vile wametengeneza hela ndefu kwa masaa machache, ila sio rahisi kiukweli. But forex is the simplest business anyone can do, though not easy., Simple, kwa vile nikununua ama kuuza currency pairs or commodities online, sio easy kwa vile inahitaji uelewa wa hali ya juu na patience, not a get rich quick business. But is is very possible to succeed ukitia bidii kuelewa. Wengi wanapoteza sana kwa vile hawana uelewa, nimefanya uchunguzi na ata kuongea na wale wanao choma account zao, unapata mtu anafanya kile haelewi..,
 
Na uzuri zile nyuzi za malalamiko kuhusu Forex zote nilizisoma, zipo zingine zlikuwa zinafutwa lakini 70% ya nyuzi nilibahatika kuzisoma.

Unaweza ukawa unapita na mbinu mpya tofauti na wale mashuhuda kuepuka kuchoma account na hicho ndio kikawa kinakufanya uone wale wa mwanzo kuna mahala walikuwa wanakosea

Ila huo mchezo una risk nyingi sana (japo na faida inadai2a kuwa kubwa) lakini hasara yake kama ni pesa basi huwa ni kipande.

Sna ham nayo kbsa
 
Mwalimu mzuri atampata wapi. Wakati wengi Ni wa michongo walioangukia pia wanakimbilia kufundisha na kuandika vitabu wakiulizwa wanajitetea kuwa am an F1 car mechanic so I know what a driver needs sio lazima namie niwe mshindani ili kujua kumeki that car.


Easy to say but actions it will take him years to adapt and learn even synchronize this statement.


Trading appears to be easy because of some common wisdom words spoken or said by most traders Ila Ni ngumu mno. In trading is very easy easy very easy to know or understand what is supposed to be done but to do it is very tough mentally since this is mental game.

Mwalimu mzuri jaribu kumuomba trading history yake ya three years hata iwe demo ambayo iko verified and proved by third part like myfxbook atakumaindi kinyama Kama Yale Yale ya padri kuwa fuata nachosema sio nachokifanya.


Wengi wanapost winning trades but waulize wapost details za withdraw from trading account to bank account the same amount of currency utatolewa baru. Hata sirjeff ukimuomba hizo Mambo anaku block.

In this world of social media and internet is very easy to give out wisdom words watu wanakuamini halafu unawauzia kozi.

Trading wengi ni ma YouTubers Ila wale doers kabisa Ni wachache. Wapo wanao tredi demo wanawafundisha wa live account.

Trading Ni ngumu kichwani mwako Ila sio ngumu kuifanya ama kuielewa.

Umeongea point sana kuna jamaa alikua anatutumia demo aisee zna dollar 5000 unasema hela s hizi apa alisepa na hela
 
Kiswahili changu mbovu, hope umenielewa.., KeyserSoze
Narudia mfano wangu..., hata kama Jani ndio lilisababisha Nester Akaandika mistari bora hatuwezi kuli-promote jani kwa kila mtu..., kwahio wewe kufanikiwa kwenye Forex haipunguzi uhatari wake..., Hivi unajua percent ngapi ya solo day traders Ulimwenguni wanakula loss kwa mwaka let alone break even kwenye forex ?

Achana tu na Riskiness bali pia the odds are stacked against them; Hivi unajua pia Mabenki yana Traders na amount of information walizonazo sio jambo la ajabu kufahamu kitu au government plans siku au masaa hata kabla hakijatangazwa...

Kwahio haya mambo sio ya kumshauri mtu aingie unless otherwise unataka tu kumuuzia kitu, ni jambo ambalo unaamua wewe binafsi kuingia (labda kama unataka kujitafutia lawama za bure)
 
Usiwe biased na usiwe na fixed mind,unachoelewa ama mie nachoelewa Ni sehemu ndogo mno ya whole knowledge.
Sikiliza Sasa unaweza uka dabo akaunti yako ama uka triple ndani ya siku moja na bila risk ya kuinguza akaunti yako. Uelewe pia hakuna specific curriculum ya trading. Kuna akaunti ikitoka $1460 ndani ya 28hrs ikawa inasoma $64600. Hii ishu Ni skills na inachukua muda mno kuzitrngengeneza. Ile craft and mastery of the craft it takes time to master and build it.
Na sio ivyo tu Bali the right and correct information ndio msingi. Ziko info nyingi ishu kubwa Ni kuzi filter
Sasa wakuu mbona withdrawal report hamsem,mnabase mara profit ,mara technique ishu je net profit ,je haina gambling ,time needed ,ni inahitaji elimu ipi maan wengi wapigaji !?
 
Narudia mfano wangu..., hata kama Jani ndio lilisababisha Nester Akaandika mistari bora hatuwezi kuli-promote jani kwa kila mtu..., kwahio wewe kufanikiwa kwenye Forex haipunguzi uhatari wake..., Hivi unajua percent ngapi ya solo day traders Ulimwenguni wanakula loss kwa mwaka let alone break even kwenye forex ?

Achana tu na Riskiness bali pia the odds are stacked against them; Hivi unajua pia Mabenki yana Traders na amount of information walizonazo sio jambo la ajabu kufahamu kitu au government plans siku au masaa hata kabla hakijatangazwa...

Kwahio haya mambo sio ya kumshauri mtu aingie unless otherwise unataka tu kumuuzia kitu, ni jambo ambalo unaamua wewe binafsi kuingia (labda kama unataka kujitafutia lawama za bure)
Who lied to you eti bangi ndio ilifanya Bob akaandika mistari? that is inference, tayari una singizia, talent na bangi ni wapi na wapi.., bangi inasisimua ubongo na kulewesha haina lolote la kumpa mtu maarifa flani.
Kuna kitu kinaitwa "trading like the banks" ukipata elimu utaelewa tu., kisha fundamentals are broader, yaani a bigger picture sio siri, maybe unaongelea insider trading ya stock market, ila currency ni ngumu sana ku manipulate.., hapa tunaongelea forex trading, sio stock trading, kumbe uko na uelewa kidogo ndio maana fikra zako ziko vile.
Siwezi kumshauri mtu aingie, ila natetea hii biashara kuwa ni legit kama zingine, sio kama ile football gambling ya sportpesa, na mtu yeyote yule anaweza kufaulu akichukua mda kujifunza ama kufunzwa, sio kwa miezi miwili ama mitatu, bali zaidi ya miaka mbili to 3, akitilia maanani masomo, mwenyewe atajionea matunda, hata ambiwa na mtu.., na pia ataweza kuelewa pros and cons..,
 
Kile umeandika kwa mtazamo wako uko sahihi., ila naona haujanielewa, unaichukulia ama ku reason in a pedestrian way, yani kiboya sana, issue ya Bob Marley na bangi in relation na trading forex professionally ni wapi na wapi, hii kukosa uelewa ndio maana 90% ya retail traders wanapoteza hela zao kwa hii biashara.
Fundamentals give the bigger picture ya specific economies as far as the currency pairs u are trading are concerned, and in most cases fundamentals give a 60 - 90% prediction of the market direction, na nimekuambia unahitaji kukua correct only 30% of the time to make a profit kwa hii biashara, with proper risk to reward ratio.
Biashara yoyote ile, ata iwe ni ukulima, kama hauna uelewa kikamilifu yale utakua unafanya itakua ni gambling tu, unaweza ukakosa kutengeneza faida kisa hauna uelewa, unafanya guesswork tu, yaani pata potea, but with clear understanding, basi chances of making profits all the time inakua very high, na pia utaelewa tricks za hapa na pale. Mimi hapa tangu nielewe FX kikamilifu na kufahamu ni kwa nini watu wanapoteza, sijawai make any net loss ever, even though I make few losses here and there, at the end of every year am in profits, hii ni mwaka wa tatu., na sioni vile I will ever go down, kwa vile nilichukua muda mrefu kusomea mengi kuhusu forex and commodity trading na pia Risk Management in financial markets.., kuna vitabu vingi mno.

Mwisho; Forex sio biashara rahisi kwa wengi., inahitaji masomo kwa wingi na muda ili mtu kuelewa dynamics zake, ila wengi wanaingia na fikra za kutengeneza hela ndefu kwa muda mfupi, wamedanganywa na youtube clips za matapeli wanaonyesha vile wametengeneza hela ndefu kwa masaa machache, ila sio rahisi kiukweli. But forex is the simplest business anyone can do, though not easy., Simple, kwa vile nikununua ama kuuza currency pairs or commodities online, sio easy kwa vile inahitaji uelewa wa hali ya juu na patience, not a get rich quick business. But is is very possible to succeed ukitia bidii kuelewa. Wengi wanapoteza sana kwa vile hawana uelewa, nimefanya uchunguzi na ata kuongea na wale wanao choma account zao, unapata mtu anafanya kile haelewi..,
Testimonials kama hizi ndo watu wanahitaji and not otherwise... one man's failure is another man's success
 
Who lied to you eti bangi ndio ilifanya Bob akaandika mistari? that is inference, tayari una singizia, talent na bangi ni wapi na wapi.., bangi inasisimua ubongo na kulewesha haina lolote la kumpa mtu maarifa flani.
Kuna kitu kinaitwa "trading like the banks" ukipate elimu utaelewa tu., kisha fundamentals are broader, yaani a bigger picture sio siri, maybe unaongelea insider trading ya stock market, ila currency ni ngumu sana ku manipulate.., hapa tunaongelea forex trading, sio stock trading, kumbe uko na uelewa kidogo ndio maana fikra zako ziko vile.
Siwezi kumshauri mtu aingie, ila natetea hii biashara kuwa ni legit kama zingine, sio kama ile football gambling ya sportpesa, na mtu yeyote yule anaweza kufaulu akichukua mda kujifunza ama kufunzwa, sio kwa miezi miwili ama mitatu, bali zaidi ya miaka mbili to 3, akitilia maanani masomo, mwenyewe atajionea matunda, hata ambiwa na mtu.., na pia ataweza kuelewa pros and cons..,
Nna miezi 21 toka nimeanza... I am 90% a technical trader and 10% fundamental and trust me trading is the only thing have ever learnt na kuona pesa to my eyes. Wengine tutakuja na receipts hapa after few months
 
Who lied to you eti bangi ndio ilifanya Bob akaandika mistari? that is inference, tayari una singizia, talent na bangi ni wapi na wapi.., bangi inasisimua ubongo na kulewesha haina lolote la kumpa mtu maarifa flani.
Rudia kusoma nilichoandika !!! (Yaani your attention to detail leaves a lot to be desired; kweli wewe ndio utaweza ku-nit pick the fundamentals and their meaning)!!! Nimesema Hata kama tukidhani ni hivyo hatuwezi kufanya hivyo (Yaani tukidhani Bangi ndio inaongeza Creativity hatuwezi kui-market kwa watu) hence ndio kama wewe unavyodhani predicting the market is a science au kuna strategy yoyote full proof kwenye forex au any other given market..., In short hakuna ......
Kuna kitu kinaitwa "trading like the banks" ukipate elimu utaelewa tu., kisha fundamentals are broader, yaani a bigger picture sio siri, maybe unaongelea insider
Nani kaongelea insider trading..., yaani wewe una facilities za kugather information za happenings za hii dunia kama mfano banking institutions zenye na big firms zenye wadau kila kona ? Huenda information ikikufikia wewe wengine walishaipata masaa
trading ya stock market, ila currency ni ngumu sana ku manipulate.., hapa tunaongelea forex trading, sio stock trading, kumbe uko na uelewa kidogo ndio maana fikra zako ziko vile.
Nani ameongelea manipulation ?!!! Nilidhani tunaongelea fundamentals ambazo zinapelekea decision makings za watu..., sasa hujui kwamba hata mradi mkubwa kufanyika sehemu fulani au watu kusign hiki au kile kuna level za information kufikia watu mpaka kuwa general knowledge au unadhani information inazagaa instantaneously
Siwezi kumshauri mtu aingie, ila natetea hii biashara kuwa ni legit kama zingine,
who said otherwise ? Kwanza hata zile Bureau de Change nazo ni Forex Trading (forex exchange) sasa tukija kwenye haya mambo yana categories kuna day traders n.k. sasa kama unamshauri mtu awe day trader lazima umuandae kabisa na kumwabia risks involved both economically and emotionally na huwezi kulinganisha hii na biashara nyingine this is a risky endeavor (kupata kwako hakubadilishi riskyness ndio maana nikakuuliza ni percent ngapi ya mamilioni ya day traders waliopo wanaobreak even)?
sio kama ile football gambling ya sportpesa,
Kwamba football sio legal ?!!! Unajua maana ya gambling ? Unajua hata kwenye football kuna vitu wanaita arbitrage; cross arbitrage au Matched Betting watu wanatumia loopholes ya bonuses kuhakikisha wanapata pesa even before ball is kicked ?!!!
na mtu yeyote yule anaweza kufaulu akichukua mda kujifunza ama kufunzwa, sio kwa miezi miwili ama mitatu, bali zaidi ya miaka mbili to 3, akitilia maanani masomo, mwenyewe atajionea matunda, hata ambiwa na mtu.., na pia ataweza kuelewa pros and cons..,
Ndio hapo unapopotea its not only about knowing au experience unaweza ukajua kila kitu ila information unazozipata sisiwe on-time.., na sababu hakuna I repeat hakuna a full proof strategy kwahio hata mtu akijufunza to the core hakuna a foolproof strategy

Pili hata ukiwa na money management skills kiasi gani when emotions kick in that goes to the wayside (au utafundisha na emotions)?
 
Hakuna mtu amesema Fx ni scam, kingine amini unachoamini lakini kaa ukijua forex trading may make you rich if you are a hedge fund with deep pockets lakini for the average retail trader ni bahati nasibu, mwisho nikutakie safari njema.
Mimi ni mmoja wao wa wenye bahati
IMG-20221018-WA0008.jpg
 
Point yangu ni kwamba huwezi kuishi kwa ku trade kwa hizo $100, mitaji midogo inabidi utumie leverage kubwa hapa ndipo utajua hujui cause utakuwa una throw away all the rules of risk management and probably blow up your account kwa hio ndugu yangu nitabaki kukuambia hizo account za dola 100 kuwa successful na to make a living kwa hio mitaji it is close to impossible.

Endeleeni kuota unaweza badili $100 kuwa $10k in a year, kama una hio strategy i guarantee you you will become millionaire within several months, sema amen!! even if you start with $50.

Nisikukatishe tamaa wakati mwingine bahati inaweza kuwa kwako...
Mkuu its possible let me show you...Last few weeks nimetoa $200 to 10k,Look you need a back tested trading edge and understand correctly whatever the markets tells
 
Rudia kusoma nilichoandika !!! (Yaani your attention to detail leaves a lot to be desired; kweli wewe ndio utaweza ku-nit pick the fundamentals and their meaning)!!! Nimesema Hata kama tukidhani ni hivyo hatuwezi kufanya hivyo (Yaani tukidhani Bangi ndio inaongeza Creativity hatuwezi kui-market kwa watu) hence ndio kama wewe unavyodhani predicting the market is a science au kuna strategy yoyote full proof kwenye forex au any other given market..., In short hakuna ......

Nani kaongelea insider trading..., yaani wewe una facilities za kugather information za happenings za hii dunia kama mfano banking institutions zenye na big firms zenye wadau kila kona ? Huenda information ikikufikia wewe wengine walishaipata masaa

Nani ameongelea manipulation ?!!! Nilidhani tunaongelea fundamentals ambazo zinapelekea decision makings za watu..., sasa hujui kwamba hata mradi mkubwa kufanyika sehemu fulani au watu kusign hiki au kile kuna level za information kufikia watu mpaka kuwa general knowledge au unadhani information inazagaa instantaneously

who said otherwise ? Kwanza hata zile Bureau de Change nazo ni Forex Trading (forex exchange) sasa tukija kwenye haya mambo yana categories kuna day traders n.k. sasa kama unamshauri mtu awe day trader lazima umuandae kabisa na kumwabia risks involved both economically and emotionally na huwezi kulinganisha hii na biashara nyingine this is a risky endeavor (kupata kwako hakubadilishi riskyness ndio maana nikakuuliza ni percent ngapi ya mamilioni ya day traders waliopo wanaobreak even)?

Kwamba football sio legal ?!!! Unajua maana ya gambling ? Unajua hata kwenye football kuna vitu wanaita arbitrage; cross arbitrage au Matched Betting watu wanatumia loopholes ya bonuses kuhakikisha wanapata pesa even before ball is kicked ?!!!

Ndio hapo unapopotea its not only about knowing au experience unaweza ukajua kila kitu ila information unazozipata sisiwe on-time.., na sababu hakuna I repeat hakuna a full proof strategy kwahio hata mtu akijufunza to the core hakuna a foolproof strategy

Pili hata ukiwa na money management skills kiasi gani when emotions kick in that goes to the wayside (au utafundisha na emotions)?
(NB: Am poor in grasping swahili perfectly).
Nakuelewa, ila point yangu ni hii, kama wewe ni mkulima, unajua msimu wa kupanda na wa kuvuna, unaelewa hali ya hewa, ila hauwezi ku predict weather kikamilifu, kufaulu 100% itabidi ufanye high-tech mechanized farming, ila licha ya limitation ya unpredictability ya weather, bado watu wanafanya ukulima na wanafaulu. Though lately kuna improved technology with almost 100% forecast.
Hii point yako ya unpredictability ya market tayari kwa trading it is factored in, na ukisoma utafunzwa hiyo topic and how to behave in the market, na kuna indicators to guide my operations or any professional trader. Kuna watu wana trade without looking at fundamentals, wao wanacheza na technical analysis which gives a picture of the market at the present., and they make it. I know of Jim Simmons, kama uko na wakati tazama youtube clip yake; he was my inspiration na nimefaulu.,


Nakubaliana na wewe forex ni risky, ila kama mtu ako na uelewa kidogo, take it from me, kwangu mimi naiona ikiwa low risk business sana, naweza deposit Ksh 1m (Tsh20M) na sitakua na wasi wasi wowote kwa vile naelewa dynamics zake na kile ninacho kifanya, if market goes against my position I already know my risk exposure per trade and how to hedge my positions, it is extremely simple, ndio maana wengi wanateleza., ila mimi sikuagizi uingie kwa hii biashara kwa vile najua ni risky kwa mtu mwenye uelewa kidogo, mtu yoyote yule huwa numuelezea vile, ningependa ujifunze ata kama ni miaka mitano upate uelewa kabla ya kuifanya. Hapo utakuja kukubaliana na mimi ni low risk business.

Ikija football betting, sijasema ni illegal, nilikua nalinganisha na forex, yaani football betting ni ku gamble ukiifanya just point blank, ila pia kwa hili, najua ku invest na strategies za risk and bankroll management where at the end of the season I make profits, ila I never advise anyone kuhusu betting kwa vile najua wengi hawawezi kukua na same discipline kama yangu at the start, I know all those arbitrage betting and stuff.., , but I don't use those. Success iko kwa understanding proper risk to reward ratio and bankroll management ikija kwa betting, ukielewa hizi sasa ina kua investment na sio tena gambling.

anyway I get your point, uko sahihi from where u stand looking at forex.
 
(NB: Am poor in grasping swahili perfectly).
Nakuelewa, ila point yangu ni hii, kama wewe ni mkulima, unajua msimu wa kupanda na wa kuvuna, unaelewa hali ya hewa, ila hauwezi ku predict weather kikamilifu, kufaulu 100% itabidi ufanye mechanized farming, ila licha ya limitation ya unpredictability ya weather, bado watu wanafanya ukulima na wanafaulu. Though lately kuna improved technology with almost 100% forecast.
Hii point yako ya unpredictability ya market tayari kwa trading it is factored it in, na ukisoma utafunzwa hiyo topic and how to behave in the nmarket, na kuna indicators to guide my operations or any professional trader. Kuna watu wana trade without looking at fundamentals, wao wanacheza na technical analysis which gives a picture of the market at the present., and they make it. I know of Jim Simmons, kama uko na wakati tazama youtube clip yake; he was my inspiration na nimefaulu.,


Nakubaliana na wewe forex ni risky, ila kama mtu ako na uelewa kidogo, take it from me.., kwangu mimi naiona ikiwa low risk business sana, naweza deposit Ksh 1m (Tsh20M) na sitakua na wasi wasi wowote kwa vile naelewa dynamics zake na kile ninacho kifanya, if market goes against my position I already know my risk exposure per trade and how to hedge my positions, it is extremely simple, ndio maana wengi wanateleza., ila mimi sikuagizi uingie kwa hii biashara kwa vile najua ni risky na mtu yoyote yule huwa numuelezea vile, ningependa ujifunze ata kama ni miaka mitano upate uelewa kabla ya kuifanya. Hapo utakuja kukubaliana na mimi ni low risk business.

Ikija football betting, sijasema ni illegal, nilikua nalinganisha na forex, yaani football betting ni ku gamble ukiifanya just point blank, ila pia kwa hili, najua ku invest na strategies za risk and bankroll management na at the end of the season I still make profits, ila I never advise anyone kwa vile najua wengi hawawezi kukua na same discipline kama yangu at the start, I know all those arbitrage betting and stuff.., , but I don't use those. Success iko kwa understanding proper risk to reward ratio and bankroll management ikija kwa betting, ukielewa hizi sasa ina akua investment na sio tena gambling.

anyway I get your point, uko sahihi at where u stand looking at forex.

Pigeni fedha ndugu zangu. Huwa nashangaa kweli kweli mnatumia nguvu nyingi kubishana na wajinga ambao hawataki kupiga fedha kama ninyi wajanja mnavyopiga. Au mnataka kila mtu ashtuke na awe tajiri kama ninyi?
 
Nb. Kulifikia lengo lenyewe hayo juu hayatoshi, kuna discipline, usipokubali kuliwa huli utaishia kuwa frustrated, kuna kumanage risk hayo yote utayapata kutokana na experience.
Kwenye hiyo paragraph niliyo I quote ndiyo kuna UTALELI wenyewe. Hakuna pesa ya ku DOWNLOAD Duniani. Kama huwezi kuweka Benki ukapata riba basi kanunue bonds, otherwise wekeza kwenye TRADING of commodities au Real Eastate
 
Back
Top Bottom