Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Forex itakuwa ni real pekee kama nyie gamblers msiojitambua kuandika Uzi kulazimisha watu waamini mnachoamini.

[emoji117]Inakuwaje unatumia nguvu kuaminisha watu insteady stay at your room making money and cash out.

[emoji117]Kwa nn mnakuwa wapumbavu kiasi cha kupost mpaka faida ,means forex traders 99% ni washamba ukiwaangalia ulishwai kuona wahindi wakipost amount wanapata per day na hao ndo wanatuburuza kwa pesa.
[emoji117]Roho za binadamu tunazijua kabisa hawezi kuelewa kitu wewe mtu baki bila ya kunufaika ,ni kwamba ukiitwa kwney fursa wewe ndo fursa.

[emoji117]Usichokijua forex ni emotional oriented na iko kukamata akili kwanza ili ulipigwa bado unaenda kusema ipo siku kama betting behind the scene ni kwamba akili yako ishatekwa ndo maana vitabu vingi viko kuandaa emotional na soko .kila forex guru atakuja na story nishwai kupigwa pes ndefu hata $10,000 na zaidi ili wewe ulipigwa na mbele unaona giza uzidi kuhold na kuendelea huku ukiwa na matumaini lukuki.

[emoji117]Tunajua matajiri wengi hata shabiby juzi kasema at 19 years alikuwa na ndinga ila hajawai sema katoa wapi ,ila ni forex tu mtu anakuambia pesa hizi nimetoa kweny forex.

[emoji117]Forex lazima ipigiwe promo coz wanaonufaika ni dealer na players kweny soko ambao wengi hawana risk za moja kwa moja ,Watu hao ni mentor/coacher, brockers, writers wa vitabu na wazee wa IB( refferal link) hawa wa kusambaza link kama IB( introducing broker) na ndo bongo wako kibao hata mentors wanakuforce unatrade na broker wao.

Niko kwney industry kitambo madogo wengi mmetoka chuo na emotional ndo maana mnaaminishwa vitu havipo..Sio mchongo forex ni mchongoma

Hawa matajiri bongo wote kwa kiasi fulani wapo kweny cycle moja unaweza usijue ila ukweli nakusanua ni ngumu big deals zote wasitambua na wanapeana shavu kwa kiasi fulani ila aliyenacho aongeze ..Nina maana diamond ana ukaribu na Mo dewji ,mzee mengi ( marehemu) hata vunjabei ..

So Nina maana gani?[emoji117] Kama forex ingekuwa mchongo hao wangekuwa vinara maana hata Mo dewji mchongo wa cryptos anaujua angewatonya ila kwa bongo ni uongo hata Mimi katika kumshirikisha ubongo forex unajikuta kama chini unajaza mastatus ya magraph kwamba umepiga pesa kama kichaa kwa nn ni forex tu? Kuna walakini mahali.

Usikae ukadanganya watu watakuwa pumbavu kabisa forex regulations zake am pretty sure ziko swa na za betting.

Povu ruksa!!

Aisee nimesoma apa ad cha kukujibu sina, ila ukiachana na masuala ya emotion kuna itikadi pia, kila mtu ana itikadi zake na vile anavyoichukulia fx, ila amini usiamini kuna watu hapahapa bongo wanapiga hela vibaya mno kupitia fx, sema hawana makelele kama sisi, wao wanapiga kimyakimya, nna ushuhuda wa mtu ana position 5 zinasoma $100,000, zingine $200,000 na sio demo ni real mze... ila najua ni ngumu mtu kukupa mfumo wake, tafuta mfumo wako, nlimuuliza bro unatumia strategy gani, akanijibu EMA 200, lakn sio kweli ni kwa sababu na mm naitumia hiyo 200ema, lakin ainipi matokeo kama yake....
 
There is reason for playing it safe bro, low key n muhimu
Yani Kwa mfano ukishafanya muamala wa 500m kaka, utaingizwa matatizon bila kupenda hawakawii hawa kukubambikiza kesi za kijinga.

Utapewa mpk kesi za uhujumu uchumi ,
Low key ,low profile diversifying earnings ndo njia pekee ya kuwakwepa mapashkuna!
 
Aisee nimesoma apa ad cha kukujibu sina, ila ukiachana na masuala ya emotion kuna itikadi pia, kila mtu ana itikadi zake na vile anavyoichukulia fx, ila amini usiamini kuna watu hapahapa bongo wanapiga hela vibaya mno kupitia fx, sema hawana makelele kama sisi, wao wanapiga kimyakimya, nna ushuhuda wa mtu ana position 5 zinasoma $100,000, zingine $200,000 na sio demo ni real mze... ila najua ni ngumu mtu kukupa mfumo wake, tafuta mfumo wako, nlimuuliza bro unatumia strategy gani, akanijibu EMA 200, lakn sio kweli ni kwa sababu na mm naitumia hiyo 200ema, lakin ainipi matokeo kama yake....
What you are saying is very true pal,

IMO don't argue with people about what they believe and what they don't,

Mfano mtu mwenye 1billion na mtu mwenye 1million kwenye account hawawez kua na mentality sawa , unaweza jua aina ya personality ya mtu Kwa kuangalia anavozijenga hoja zake, the way he/she react to question asked, the way he argue forth and back at particular topics, ukweli mchungu lkn it's the reality.

I have been in the Financial markets world for a very long time,

Someone who say i can't make money in financial markets it's like convincing me that it's a dark night while i can see a sun in a broad daylight , i consider them handsomely stupid idiots,

It take a genius to make money in financial markets and i feel sorry for them not being so!
 
Aisee nimesoma apa ad cha kukujibu sina, ila ukiachana na masuala ya emotion kuna itikadi pia, kila mtu ana itikadi zake na vile anavyoichukulia fx, ila amini usiamini kuna watu hapahapa bongo wanapiga hela vibaya mno kupitia fx, sema hawana makelele kama sisi, wao wanapiga kimyakimya, nna ushuhuda wa mtu ana position 5 zinasoma $100,000, zingine $200,000 na sio demo ni real mze... ila najua ni ngumu mtu kukupa mfumo wake, tafuta mfumo wako, nlimuuliza bro unatumia strategy gani, akanijibu EMA 200, lakn sio kweli ni kwa sababu na mm naitumia hiyo 200ema, lakin ainipi matokeo kama yake....
Sawa ila kutumia nguvu kwa watu wengi kutetea inaleta walakini Bora hata wanaokaa kimya Kuna uwezekano mkubwa wanapiga pesa kuliko hawa wenye kelele.
 
Karibu ulimwengu wa trading...... binafsi nna miezi 21 toka nimeanza kujifunza na skill niliyoipata naiamini na sasa nipo kwenye real account with proper knowledge toka September. Nafanya zoezi la kucompound.
Na compounding yangu ikienda vizuri kama nilivyopanga by June mwakani ntakua nishauaga umasikini 100%


Cha kukushauri tu... kama umedumu na strategy moja kwa miezi mitatu mfululizo huku ukifanya journaling ya uhakika na ushaelewa strength na weaknesses za strategy yako ingia real hata kwa dollar 100 itakusaidia kujua how far along are you when it comes to PSYCHOLOGY


Extra tips....
1. I always record on telegram, nna channel of myself all my analysis and how zimeplay out kwa screenshot plus psychology yangu during execution
2. Every weekend I go through namna gani nimeperform wiki nzima na kama kuna jambo jipya nimenotice, aim ni kukomaa na yale mazuri na kugive up bad behaviour
3. Every month napitia mwezi mzima ulivyoenda and I rate my performance kwa huo mwezi in comparison na mwezi wa nyuma
4. My fx book is a very good tool kuelewa unaperfom vipi sababu it's detailed mnoooo

NOTE: zoezi langu ni rahisi sababu I only trade GU na gold
2. I use fibs and supply and demand targeting 1:2 minimum
3. Target yangu ni 25% growth weekly bila kuoverlage (maximum lot for every 500 dollars ni 0.1 unless i scale in to a winning position and previous position zikiwa risk free.... per pair mara nyingi max ni 2 entries mimi sio mtu wa many entries) ambayo as far as I have been backtesting and live trading ni achievable
4. I don't look at what other traders are doing ni mimi na charts zangu na alerts Kwenye zones nnazozitaka, tp and sl areas.. in other words my goal ni kuangalia chart only when necessary
5. Kwa wiki PER PAIR set ups 2 mpaka 3 zinanitosha sanaaaaaaa

ATTACHMENT BELOW NI NAMNA I RECORD MY ANALYSIS KABLA MARKET HAIJATEMBERA



TRADING WILL MAKE ME A MILLIONARE IN USD BILA KUUZA SIGNAL, KUFUNDISHA WATU WALA KUMANAGE ACCOUNTS.
Big up sana mkuu, keep it up
 
🙄🙄🙄
Hey what do you mean sending these emoji? Nmekuliza upo mkoa gani nijue ili kama upo karibu uweze drop home ,,,,, am having bad feeling about u,

may be you are just another joker like any other, haupo serious, Sorry don't anticipate anything from me. Kila lakheri
 
Hey what do you mean sending these emoji? Nmekuliza upo mkoa gani nijue ili kama upo karibu uweze drop home ,,,,, am having bad feeling about u,

may be you are just another joker like any other, haupo serious, Sorry don't anticipate anything from me. Kila lakheri
Bro mbona unakua harsh mzee...it's just kusaidizana tu.. you never know what tomorrow takes you got it right 👍?.. Goodluck bro
 
Aisee nimesoma apa ad cha kukujibu sina, ila ukiachana na masuala ya emotion kuna itikadi pia, kila mtu ana itikadi zake na vile anavyoichukulia fx, ila amini usiamini kuna watu hapahapa bongo wanapiga hela vibaya mno kupitia fx, sema hawana makelele kama sisi, wao wanapiga kimyakimya, nna ushuhuda wa mtu ana position 5 zinasoma $100,000, zingine $200,000 na sio demo ni real mze... ila najua ni ngumu mtu kukupa mfumo wake, tafuta mfumo wako, nlimuuliza bro unatumia strategy gani, akanijibu EMA 200, lakn sio kweli ni kwa sababu na mm naitumia hiyo 200ema, lakin ainipi matokeo kama yake....
Iyo ema 200 Ni ukweli,ujue strategy sio ishu Bali uimara Ni kichwa chako,your mindset,your attitude,your mind frame Basi. Ishu kubwa Ni kichwani Ila strategy mtu akikuambia Ni ya kijinga mno yaani mno utashangaa. Kuna Ile kiss i.e keep it simple stupid or keep it straight and simple or simple and sweet
 
Bro mbona unakua harsh mzee...it's just kusaidizana tu.. you never know what tomorrow takes you got it right 👍?.. Goodluck bro
Dah sorry, you know hizi emoji zna emotions perception , i thought you were trolling my messages,

Samhn bwana mdg, don't hesitate to hit me up on February 2023 , I'll be delighted to help you coz ntakua na free time ya kutosha.

I've been seeing you since umeanzsha thread, also pm me your emails I'll send you a book worth reading, Incase you want to purchase it it's only $100+ on Amazon buh I'll give t 2 you for free you have nothing to lose pal,
Pia Kuna mtu kanivuruga apa am not in the right mood smh i overeacted
 
Aisee nimesoma apa ad cha kukujibu sina, ila ukiachana na masuala ya emotion kuna itikadi pia, kila mtu ana itikadi zake na vile anavyoichukulia fx, ila amini usiamini kuna watu hapahapa bongo wanapiga hela vibaya mno kupitia fx, sema hawana makelele kama sisi, wao wanapiga kimyakimya, nna ushuhuda wa mtu ana position 5 zinasoma $100,000, zingine $200,000 na sio demo ni real mze... ila najua ni ngumu mtu kukupa mfumo wake, tafuta mfumo wako, nlimuuliza bro unatumia strategy gani, akanijibu EMA 200, lakn sio kweli ni kwa sababu na mm naitumia hiyo 200ema, lakin ainipi matokeo kama yake....
Wewe ulijuaje kuwa ni real account na sio cent account ?

Unajua kuna broker cent account inaandika real account?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
How did you know if it was a real trading account

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Haijlaishi kama ni real ,cent or demo suala ni je inawezekana au haiwezekani, ni risk or sio risk , ipo ivi unakuta nina acc ya usd 5000 ninatenga profit usd 500 labda naitrade NFP, au FOMC Full margin AU setup yoyote full margin, flip it from 500-5000 in two trades, then 5000-50000

Na sio hand earned money uzifanyie ivo utaiona fx ngumu, 1:3000 acc ya 500 usd nafunguwa 10+ lot ni do or die
 
Una milongo ama decades ngapi mkuu labda please. Umeandika kwa mihemuko fulani ama Kama ego inakusukuma fulani. Yaani arrogance fulani naiona. Mie nadili na your subconscious mind and what you're talking
Soma ulete hoja hamna kitu huko
 
Kama maada inavyojieleza, katika harakati zangu za kutafuta side hustle nlikutana na hiyo idea ya forex. Ila baada ya kufanya research matokeo yalikuwa negative especially kwa hapa Jf.

Inavyoonekana kuna watu washalizwa kupitia forex na wanaishi na hiyo trauma. Maada yoyote inayozungumzia hiyo online trade huwa inakuwa attacked kama we ni beginner ni rahisi kukata tamaa.

Lakini baada ya kupata knowledge nimegundua hiyo sio tu side hustle bali unaweza kujiajiri kabisa na ukasahau hiyo 9/5 jobs.

Ujanja ni huu;
a. Usimuamini mtu anayekwambia umtumie hela ili a trade on your behalf then mgawane faida, hiyo utapigwa.
b. Tafuta maarifa na kujifunza mwenyewe uelewe financial markets zinavyooperate, hiyo utakuwa hatua moja kabla ya kutoboa.

c. Baada ya kupata knowledge fungua demo akaunti ufanye mazoezi ya kutosha, hiyo utakuwa unakaribia lengo.

Nb. Kulifikia lengo lenyewe hayo juu hayatoshi, kuna discipline, usipokubali kuliwa huli utaishia kuwa frustrated, kuna kumanage risk hayo yote utayapata kutokana na experience.

Soon najilipua na live account so sad maada za fx Jf haziungwi mkono kutokana na matapeli wachache waliotutangulia kuliona jua
Huwa naamini kwamba,"short cut,always is the wrong cut"
Hizi story tumeisha zizoea,ni nadra sana watu kueleza michongo ya kupsta pesa,watu wakigundua sehemu Kuna "mgodi"(fulsa) wa dhahabu,watachimba kwanza kimya kimya,wapige pesa,hakuna hatakae weka hadharani!!
Mpaka ugundue mwenyewe.
Kwenye mihangaiko yangu ya ku hustle,niliwahi kufika kwenye makampuni yanayochimba madini,kule watu wanalipwa vzr sana,sasa nikawauliza nitaingiaje huku,zikaanza story ndeefu.wao wenyewe Wana mtandso wao,Kuna watu wanapiga kazi kuanzia bongo,SA,west Africa,wao ni kuluka na pipa tu,Hawa jamaa Wana ujuzi wa kawaida tu,lakini hawaweki wazi jinsi ya kupata!Ili kila mtu afaidike.
Sasa nikapiga hustle zangu,nikaingia,kule ndani nikakutsna na jamaa yangu,siku zote Niko nae kitaani,nilikuwa najua yupo huku anapiga mpunga balaaa!!
Nikajuuliza kwanini hakuwahi kuniambia huu mchongo?
Aliponiona akashituka,ebwana vipi,mbona ukuniambia kwamba unakuja huku,?
Nikasema nilikuwa nasubuli niingie kwanza bro!
Watu wakiwa kwenye asali hawasemi hadharani!
Sasa Hz kelele za forex ni upuuzi tu,piga pesa tuone kwanza,kizuri kinajiuza,kibaya kinajitembeza,
 
Back
Top Bottom