Forex Trade imeniumiza

Forex Trade imeniumiza

What happen is
Unasema "daah hapa nimekosea kidogo, ngoja niweke nideposit tena, safari hii nitakua makini"
And you become fucked up again
mpaka unasema umetegewa wewe tu Why always me ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜‚
 
Ikiwa zilikuwa za urisi kwa hiyo aendeleze maombi ili apate misiba zaidi au sio?
Sio urisi

Urithi

Hivi mtu unawezaje kusoma madarasa saba ya msingi na manne au sita ya sekondari na bado hujui kuandika?

Wazazi wako walikuwa yani hawajali lolote la shule yako, wanakuangalia tu ?
 
Kama ingekuwa rahisi kila mtu agekuwa tajiri muda huu kikubwa ni kupambana tu mwanzo utapigwa mpaka akili ikae saawa ikikaa vyema utarecover zote na utaenjoy

Witydrawal

IMG_20220414_191123_695.JPG
 
Achana na hawa waliokaririshwa na mamentor kwamba indicator ni useless ktk fx. Hakuna best strategy kwenye fx kila strategy ina work. Kikubwa ni saikolojia yako tu.
Yaan nilichoka na majibu Yao nikapuuza,ukiona mtu anaponda indicator bc kashindwa kuitumia
 
Guys naomba maoni kuhusu huyu broker, naona watu wanamsifia na anatrend sana

bit.ly/33VMRCL
 
Sio urisi

Urithi

Hivi mtu unawezaje kusoma madarasa saba ya msingi na manne au sita ya sekondari na bado hujui kuandika?

Wazazi wako walikuwa yani hawajali lolote la shule yako, wanakuangalia tu ?
K la mama yako wazazi wangu wanaingiaje hapa msssenge wewe!

What do you know about my education background? I have far better education than the whole of your ancestors combined!
 
Nilikuwa natumia inchimonku kinko hio kuwatisha watu wanuliza iyo nini alafu nakuA bize unyama ni EMA
NA MA30
Cdhan m indicator moja tu inwz kutosha,ni vzr ktumia indicator zaidi ya moja kupqta strategy yako
 
K la mama yako wazazi wangu wanaingiaje hapa msssenge wewe!

What do you know about my education background? I have far better education than the whole of your ancestors combined!
Elimu yote hiyo lakini bado hukujua kuandika neno "urithi" ?

Unasema "urisi" kwenye jamvi la wazi kama hili, halafu ubishe kwamba usomeshwaji wako haukuwa neglected ?
 
Forex ni kama kamari ya kistaarabu, kuna kupata na kupoteza.
Maisha haya yenyewe kamari kuna kuzaliwa,kuishi na kufa

Unalikubali hilo!?

Ndoa yako ni kamari tu[emoji2]

Kazi uliyoajiriwa na kamari ukizingua unatimulia anytime

Biashara unayofanya huko kitaa ni ksmari tu muda wowote chumaulete wanapita na wewe au moto unapita na wewe.

Everything starts with what your brain decides in which way u intend to perceive something.
 
Elimu yote hiyo lakini bado hukujua kuandika neno "urithi" ?

Unasema "urisi" kwenye jamvi la wazi kama hili, halafu ubishe kwamba usomeshwaji wako haukuwa neglected ?
Mimi nasikitikia zaidi walio neglect kukufunza adabu na kubakia kutukana watu tu unnecessarily na ikapelekea kuwatukanisha na wao.

Uwache ujinga wa kutukana watu ovyo, kama kweli unajiona umeelimika!
 
Mimi nasikitikia zaidi walio neglect kukufunza adabu na kubakia kutukana watu tu unnecessarily na ikapelekea kuwatukanisha na wao.

Uwache ujinga wa kutukana watu ovyo, kama kweli unajiona umeelimika!

Kusema elimu yako ilikuwa neglected sio tusi.

Unaachwaje hujui "urisi" sio "urithi" ?
 
natafuta partner wa biashara ya samaki anayeweza kufanya biashara na Mimi ya Samaki kutoka ruvu upande was Simanjiro Manyara

Sifa
awe na uzoefu wa biashara ya Samaki ayajue masoko
awe na usafiri unaoweza kubeba kuanzia Tani moja( Noah dume townace au Hilux)
awe tayari kuingia moja kwa moja kwenye eneo la kutafuta samaki
awe na mtaji Kama wa kwangu au ulionizidi kidogo

Upatikanaji wa Samaki

Samaki Aina ya tilapia/Sato au perege wanapatikana kwa wingi eneo linaloitwa Zambia Mazinde Hadi Remiti wilayani Simanjiro

huku wanauza kwa ndoo ndoo moja ya tilapia ni Kati ya elf 70 Hadi 80 catfish au kambale ni Kati ya elf 40 Hadi 55

mAsoko;
tunaweza kuuza kwenye mAsoko nliyozoea kupeleka samaki

Manyema
Bei za samaki sokoni Zina range Kati ya laki na 20 Hadi 90 soko likiwa baya kwa tilapia na Kati ya sh 80 Hadi 60 soko likiwa baya

Kilombero Arusha

Bei za samaki sokoni Zina range Kati ya shilingi laki na 40 Hadi 90 soko likiwa baya kwa tilapia na Kati ya sh 80 Hadi 70 kwa kambale

kuuza kwa kg
ndoo moja ya sato au tilapia Ina kg 18kila kilo moja ni sh 7000 ukiuza kwa kilo unapata avarage ya 130000 kwa kila ndoo ya tilapia na ndoo ya kambale Ina kilo 20 kila kilo no sh 3800 ukiuza kwa kilo kila ndoo unapata 76000
changamoto ya kuuza kwa kilo no kupata mteja was kununua kg zote na kukulipa kwa cash wengi wanaopenda kukopa
kwann tufanye biashara ya samaki

ni biashara ambayo ipo real ukinunua ukifungasha ukisafirisha unajua ushakua unapata faida gani na kwa muda gani

ni biashara ambayo ukiwa nje unaweza kuwaona watu ni wajinga wanuka shombo lkn ukiingia ndani ya field Kama una mtaji nlokutajia hapo juu utapata faida haraka zaidi ya biashara yoyote


kwann nahitaji partner
niliiibiiwa mtaji Kati ya mwezi wa 8 na 9 hivyo nimeshindwa kurudi kwenye pick Kama nlivyokua mwanzoni

mawasiliano nicheki dm
mkuu nikiwa na 1m naweza ifanya hyo biashara ikanipa matokeo mazuri??

mwongozo please
 
Alietengeneza kile ki device mt4 sijui alitumia modal gani, kinajua kula tu pesa

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚kile ni Kama Cha tatu mzuka au dubwii mnachagua nambazenu wee za bahati arafu kinafanya simulation ya kuacha faida kwa brokers & big sharks ๐Ÿฆˆ
 
Back
Top Bottom