Cad Nezar
Member
- Dec 13, 2021
- 6
- 5
mpaka unasema umetegewa wewe tu Why always me ๐๐๐๐ฅ๐What happen is
Unasema "daah hapa nimekosea kidogo, ngoja niweke nideposit tena, safari hii nitakua makini"
And you become fucked up again
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpaka unasema umetegewa wewe tu Why always me ๐๐๐๐ฅ๐What happen is
Unasema "daah hapa nimekosea kidogo, ngoja niweke nideposit tena, safari hii nitakua makini"
And you become fucked up again
Sio urisiIkiwa zilikuwa za urisi kwa hiyo aendeleze maombi ili apate misiba zaidi au sio?
Keep going trade withdrawal mtaji endelea taratibumpaka unasema umetegewa wewe tu Why always me ๐๐๐๐ฅ๐
Yaan nilichoka na majibu Yao nikapuuza,ukiona mtu anaponda indicator bc kashindwa kuitumiaAchana na hawa waliokaririshwa na mamentor kwamba indicator ni useless ktk fx. Hakuna best strategy kwenye fx kila strategy ina work. Kikubwa ni saikolojia yako tu.
Dah mkuu unanitoa mate, mpunga mrefu.Kama ingekuwa rahisi kila mtu agekuwa tajiri muda huu kikubwa ni kupambana tu mwanzo utapigwa mpaka akili ikae saawa ikikaa vyema utarecover zote na utaenjoy
Witydrawal
View attachment 2187540
Nilikuwa natumia inchimonku kinko hio kuwatisha watu wanuliza iyo nini alafu nakuA bize unyama ni EMAYaan nilichoka na majibu Yao nikapuuza,ukiona mtu anaponda indicator bc kashindwa kuitumiw
K la mama yako wazazi wangu wanaingiaje hapa msssenge wewe!Sio urisi
Urithi
Hivi mtu unawezaje kusoma madarasa saba ya msingi na manne au sita ya sekondari na bado hujui kuandika?
Wazazi wako walikuwa yani hawajali lolote la shule yako, wanakuangalia tu ?
Cdhan m indicator moja tu inwz kutosha,ni vzr ktumia indicator zaidi ya moja kupqta strategy yakoNilikuwa natumia inchimonku kinko hio kuwatisha watu wanuliza iyo nini alafu nakuA bize unyama ni EMA
NA MA30
Yeah im seeing changesKeep going trade withdrawal mtaji endelea taratibu
Elimu yote hiyo lakini bado hukujua kuandika neno "urithi" ?K la mama yako wazazi wangu wanaingiaje hapa msssenge wewe!
What do you know about my education background? I have far better education than the whole of your ancestors combined!
Maisha haya yenyewe kamari kuna kuzaliwa,kuishi na kufaForex ni kama kamari ya kistaarabu, kuna kupata na kupoteza.
EMa30 na MA 20 na MA 200, ilA kwa pCdhan m indicator moja tu inwz kutosha,ni vzr ktumia indicator zaidi ya moja kupqta strategy yako
Mimi nasikitikia zaidi walio neglect kukufunza adabu na kubakia kutukana watu tu unnecessarily na ikapelekea kuwatukanisha na wao.Elimu yote hiyo lakini bado hukujua kuandika neno "urithi" ?
Unasema "urisi" kwenye jamvi la wazi kama hili, halafu ubishe kwamba usomeshwaji wako haukuwa neglected ?
Mimi nasikitikia zaidi walio neglect kukufunza adabu na kubakia kutukana watu tu unnecessarily na ikapelekea kuwatukanisha na wao.
Uwache ujinga wa kutukana watu ovyo, kama kweli unajiona umeelimika!
mkuu nikiwa na 1m naweza ifanya hyo biashara ikanipa matokeo mazuri??natafuta partner wa biashara ya samaki anayeweza kufanya biashara na Mimi ya Samaki kutoka ruvu upande was Simanjiro Manyara
Sifa
awe na uzoefu wa biashara ya Samaki ayajue masoko
awe na usafiri unaoweza kubeba kuanzia Tani moja( Noah dume townace au Hilux)
awe tayari kuingia moja kwa moja kwenye eneo la kutafuta samaki
awe na mtaji Kama wa kwangu au ulionizidi kidogo
Upatikanaji wa Samaki
Samaki Aina ya tilapia/Sato au perege wanapatikana kwa wingi eneo linaloitwa Zambia Mazinde Hadi Remiti wilayani Simanjiro
huku wanauza kwa ndoo ndoo moja ya tilapia ni Kati ya elf 70 Hadi 80 catfish au kambale ni Kati ya elf 40 Hadi 55
mAsoko;
tunaweza kuuza kwenye mAsoko nliyozoea kupeleka samaki
Manyema
Bei za samaki sokoni Zina range Kati ya laki na 20 Hadi 90 soko likiwa baya kwa tilapia na Kati ya sh 80 Hadi 60 soko likiwa baya
Kilombero Arusha
Bei za samaki sokoni Zina range Kati ya shilingi laki na 40 Hadi 90 soko likiwa baya kwa tilapia na Kati ya sh 80 Hadi 70 kwa kambale
kuuza kwa kg
ndoo moja ya sato au tilapia Ina kg 18kila kilo moja ni sh 7000 ukiuza kwa kilo unapata avarage ya 130000 kwa kila ndoo ya tilapia na ndoo ya kambale Ina kilo 20 kila kilo no sh 3800 ukiuza kwa kilo kila ndoo unapata 76000
changamoto ya kuuza kwa kilo no kupata mteja was kununua kg zote na kukulipa kwa cash wengi wanaopenda kukopa
kwann tufanye biashara ya samaki
ni biashara ambayo ipo real ukinunua ukifungasha ukisafirisha unajua ushakua unapata faida gani na kwa muda gani
ni biashara ambayo ukiwa nje unaweza kuwaona watu ni wajinga wanuka shombo lkn ukiingia ndani ya field Kama una mtaji nlokutajia hapo juu utapata faida haraka zaidi ya biashara yoyote
kwann nahitaji partner
niliiibiiwa mtaji Kati ya mwezi wa 8 na 9 hivyo nimeshindwa kurudi kwenye pick Kama nlivyokua mwanzoni
mawasiliano nicheki dm
๐๐๐๐kile ni Kama Cha tatu mzuka au dubwii mnachagua nambazenu wee za bahati arafu kinafanya simulation ya kuacha faida kwa brokers & big sharks ๐ฆAlietengeneza kile ki device mt4 sijui alitumia modal gani, kinajua kula tu pesa
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app