Forex Trade imeniumiza

Forex Trade imeniumiza

Umemaliza mkuu asipoelewa hapa basi. Na ni kweli anaonekana mgeni wa game YAANI $1000 kuwaka moto unachanganyikiwa asee??? Wengine tukikueleza tuliyopitia katika forex kuamini kwako itakuwa vigumu sana.
Haha the trading journey is a rollercoaster,we just have to enjoy the ride I hope ameelewa mkuu
 
Habari Wakuu,

Baada ya kusoma soma sana na kujifunza Forex, na kuona mwenzangu amefanikiwa sana na Forex Trade, niliamua na mimi niingie kuyaoga haya maji kwani hamna mtu hapendi ma isha mazuri.

Nikaanza vyema na 300 USD kwa wale wanaofahamu dowjones. Nilifanikiwa kwa kweli mpaka balance ikawa kubwa 1000 USD.

Pale ndipo balaa lilipoanza kwani kabla sijfunga na kufungua macho, week iliyopita siku ambayo sitaki kuikumbuka, pale nilipofunga na kufumba na kufumbua macho, trade ilienda tofauti kabisa na kufuta balance yangu yote.

Hapa nilipo sina hamu tena ya hii kitu

Naombeni ushauri nirudi upya na nguvu au nikalime tu.

Mmc
Ushafika USD 1000, kwanini hukutoa capital yako ili ubaki nayo ile faida ndo ufanye mtaji ?
 
Kumbuka kuweka stop-loss na pia usirisk mtaji wako zaidi ya 2%! Alafu wengi wanakosea kuweka wanawekaga entries zao karibu na pullbacks aisee haya huwa yanachoma account faster mno kama hujui kuya tredi.

Big Boys sio mafala wale, ni wakwenda nao kwa akili mno yaani katika biashara zinazohitaji kutumia akili nzuri timamu na umakini mkubwa sambamba na ku monitor psychology yako mwenyewe basi ni hii ya Forex...
 
Kumbuka kuweka stop-loss na pia usirisk mtaji wako zaidi ya 2%! Alafu wengi wanakosea kuweka wanawekaga entries zao karibu na pullbacks aisee haya huwa yanachoma account faster mno kama hujui kuya tredi.

Big Boys sio mafala wale, ni wakwenda nao kwa akili mno yaani katika biashara zinazohitaji kutumia akili nzuri timamu na umakini mkubwa sambamba na ku monitor psychology yako mwenyewe basi ni hii ya Forex...
Mnajipaga sana matumaini mkisha pigwa. Endeleeni kupigwa tu na vijichange zenu hamna namna kwasabab hamsikii. Ungekuwa mjanja ungelima hata kabustani kambogamboga uwani kwa shemeji yako ungetoka kiaina na kukuweka busy.
 
Habari Wakuu,

Baada ya kusoma soma sana na kujifunza Forex, na kuona mwenzangu amefanikiwa sana na Forex Trade, niliamua na mimi niingie kuyaoga haya maji kwani hamna mtu hapendi ma isha mazuri.

Nikaanza vyema na 300 USD kwa wale wanaofahamu dowjones. Nilifanikiwa kwa kweli mpaka balance ikawa kubwa 1000 USD.

Pale ndipo balaa lilipoanza kwani kabla sijfunga na kufungua macho, week iliyopita siku ambayo sitaki kuikumbuka, pale nilipofunga na kufumba na kufumbua macho, trade ilienda tofauti kabisa na kufuta balance yangu yote.

Hapa nilipo sina hamu tena ya hii kitu

Naombeni ushauri nirudi upya na nguvu au nikalime tu.

Mmc
Forex ni kamali. Hata usome vipi utaunguza tu! Hakuna biashara ya hivyo.
 
Kwani unafikiri kilimo hakiwapigi watu mkuu..? Hakuna biashara isiyo na hasara chakufanya Kama unamoto na forex just focus on it uangalie ulipokosea kwanza hapo tu yaonyesha ulifanya makosa maana mpk kwenda yote so hukuweka stop loss..? Chengine baada ya kuona unapiga faida ukajiamini zaidi huku ukisahau hiyo biashara inamatokea mawili.

Naamini mafanikio yapo kwenye focus so ukiwa focus kwenye kitu sahihi na kwa usahihi yatatoka matokeo sahihi,Sasa wewe fikiri kilimo hakina hasara ndugu uje ulime nyanya sokoni ukute tenga ni alfu tatu! Nawakati nyanya zilipokuwa shambani ukifatilia bei unaambiwa bei ishirini alfu..[emoji16]

Hivi crypto currency inatofauti gani na mtu alielima mpunga na kuhold hayo magunia kwa miezi sita akisubiri bei ipande auze..? Mkuu fanya unachoweza kufanya but kuwa focus kwa kitu sahihi.
Hasara ya kilimo au biashara nyingine ni tofauti na ya forex. Forex unaunguza mtaji wote wakati wowote lkn biashara nyingine angalau waweza kupata hasara lkn kuna mtaji utasalia.
 
Forex is not a holy grail! It's a profession like any other kutokana na maelezo yako inaonekana bado hauna muda mrefu kwenye game,forex ni biashara na ni pana,forex inahitaji KNOWLEDGE which covers all aspects of trading,kuanzia technical analysis, fundamentals trading psychology, risk management,strategy inayokufaa,risk management na mengine na inahitaji kuwekeza MUDA wako mwingi in trading, watu wanapozungua ni kuona kama forex ni sehem ya kutajirika haraka,which is wrong ukiingia kwenye hii game inahitaji moyo wa chuma na uvumilivu kwenye kipindi cha kujifunza the maana the pain of losing money is tough,kufanikiwa kwenye hii industry inatokana na mtu na mtu the minimum time mtu anaweza tumia kumaster trading ni kama miezi 6(Achana na kuwa profitable) hiyo ni safari nyingine but muhimu ni Ku master the art of trading the rest will come,so invest kwenye knowledge kwanza find your suitable strategy well kabla sijasahau unaweza ukatafuta mentor atakae kuongoza in trading (angalia usije kupigwa mentors wengi saiv ni scammers) tafuta mentor Legit wapo hapa bongo wengi tu, na Kama umechoma account moja tu unakuja kuandika uzi huku basi forex haikufai this industry requires emotional toughness.Forex is not for the weak,kila la kheri mkuu
Forex ni kamali, FULL STOP.
Kuna watu wanajiita wataalam na wamefanya hiyo kitu miaka mingi na bado wanaunguza mara kwa mara! Bora kubeti.
 
Kumbuka kuweka stop-loss na pia usirisk mtaji wako zaidi ya 2%! Alafu wengi wanakosea kuweka wanawekaga entries zao karibu na pullbacks aisee haya huwa yanachoma account faster mno kama hujui kuya tredi.

Big Boys sio mafala wale, ni wakwenda nao kwa akili mno yaani katika biashara zinazohitaji kutumia akili nzuri timamu na umakini mkubwa sambamba na ku monitor psychology yako mwenyewe basi ni hii ya Forex...
Forex siyo biashara, ni kamari.
 
Hasara ya kilimo au biashara nyingine ni tofauti na ya forex. Forex unaunguza mtaji wote wakati wowote lkn biashara nyingine angalau waweza kupata hasara lkn kuna mtaji utasalia.
Unaunguzaje acct yote kwa pamoja?
 
Back
Top Bottom