Forex Trade imeniumiza

Forex Trade imeniumiza

Nilikuwa natumia inchimonku kinko hio kuwatisha watu wanuliza iyo nini alafu nakuA bize unyama ni EMA
NA MA30
Piga na smart money concert bro + Number theory broker atakupa pesa maisha yako yote,when you unlock the secrets you automatic win...Mimi nikiona chart niki check my number theory concept najua anakwenda wapi nabaki kutafuta entry Tu na where to exit
 
Sasa the difficult part ni huyu mwalimu,the trade ya kubuy lazima ishuke kwanza,na you cant put stop loss untill you know itashuka mpaka wapi,thats where the challenge comes in.
Kinachowasumbua watu wengi bro ni patience ya kusuburi correct entry,Mfano kama price iko bullish alafu wewe ukaingia wakati wa retracement Move na ukaweka stop loss itapigwa vibaya sana utaona broker amekuwinda,ila ukijifunza kuzifahamu impulsive na corrective moves plus Order blocks candles and the it's psychology behind of formation uka plus na Number theory concept utamkula sana broker
 
Tatizo hii sijui ndio foreksi ukisell inapanda, ukibuy inashuka, ukibuy na kusell simultineously inaenda sideway[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
No Mkuu ukiingia wakati wa corrective move utachezea chock just learn to identify the impulsive moves of the market price na confluence za kukuhakikishia price inapanda au inashuka,in short you should have a reason technically why is the price buying or selling...
Am out
 
Na cha Muhimu zaidi ni appropriate risk management pamoja na daily target yako..Yaani inapaswa ufikiri kwa mlengo mpana mfano kama unatafuta daily dollar 10 kwa 22 trading days ni dollar 220..Lakini una capital dollar 100 unataka return ya siku dollar 70 uta over trade na utaona ni Scam..Think in a long terma and grow your capital slowly ikiwa kubwa itafika mahali returns ya siku ni dollar 100 bila ku over trade na utaifurahia trading...haya yote utajifunza ndani ya miaka mingi baada ya kukosea sana
 
Niliacha kitambo kaka, kuna mshikaji anaitwa Gasper aliniuzia Robot lake linalotrade automatic...

Lilikuja likaunguza account yangu ya $4000.

Halafu tena kuna yule mshikaji anaitwa Gammy walikua pale Mlimani Tower, walinichomea account yangu ya $1000 walikua wanafanya Account Management mwisho wa mwezi tunagawana profit 60 to 40.

Mpaka leo sijainuka tena. Ndio nataka nirudi sasa.
Huyo Gasper ni mjinga mjinga Tu he knows nothing about Forex
 
VUNJA BEI: KUANDAA HESABU ZA KODI za makampuni; USAJILI WA MAKAMPUNI dakika za mwisho hizi..!!
0788104228
 
Kinachowasumbua watu wengi bro ni patience ya kusuburi correct entry,Mfano kama price iko bullish alafu wewe ukaingia wakati wa retracement Move na ukaweka stop loss itapigwa vibaya sana utaona broker amekuwinda,ila ukijifunza kuzifahamu impulsive na corrective moves plus Order blocks candles and the it's psychology behind of formation uka plus na Number theory concept utamkula sana broker
Hata Mimi Nina elimu kubwaa sanaa juu ya hili.
Nilianza forex tokea 2018 ila mpaka leo sijawahi enda live account na SIWEZI ENDA.

Acha tu nicheze na hii demo.

#YNWA
 
Wewe ni kama motivation speaker..!!
Kuna jamaa huko huwa anazunguka kwenye semina za vijana ili kuwahubiria vijana wajiajiri, ila yeye ni mwajiriwa wa Sido.

Kwahiyo Kazi yake ni kuhamasisha vijana wajiajiri kupitia jukwaa lililomwajiri yeye la SIDO.

#YNWA
 
 
Aisee maelezo yako yananipa wasiwasi kukuelewa we ni trader wa namna gani! Usd 1000 kufumba na kufumbua akaunti imenyaa! dah kwa mfano ukiingia labda na pair ya usdgbp au usdjpy ukafungua order moja labda ume buy ukaweka lotsize ya 0.01 hata ukiiacha bila kuweka stoplose au takeprofit inaweza kukaa hata mwaka mzima bila akaunti kuungua! Sasa wewe unaposema kufumba na kufumbua yaan umefungua ma order mengi malotsize ya kufa mtu yaan kama vile dereva aliyelewa chakali lazima gari litaacha njia tu
 
Aisee maelezo yako yananipa wasiwasi kukuelewa we ni trader wa namna gani! Usd 1000 kufumba na kufumbua akaunti imenyaa! dah kwa mfano ukiingia labda na pair ya usdgbp au usdjpy ukafungua order moja labda ume buy ukaweka lotsize ya 0.01 hata ukiiacha bila kuweka stoplose au takeprofit inaweza kukaa hata mwaka mzima bila akaunti kuungua! Sasa wewe unaposema kufumba na kufumbua yaan umefungua ma order mengi malotsize ya kufa mtu yaan kama vile dereva aliyelewa chakali lazima gari litaacha njia tu
Kawaida kabisa, dola 1000 ukitumia leverage ya 1:1000, halafu ufungue position kwa standard lot ,hiyo dollar 1000 hata nusu saa haifiki
Risk management, risk management
Hapo ndipo inapoanziaga shida
 
Hata Mimi Nina elimu kubwaa sanaa juu ya hili.
Nilianza forex tokea 2018 ila mpaka leo sijawahi enda live account na SIWEZI ENDA.

Acha tu nicheze na hii demo.

#YNWA
Hujaamua Tu in 2 days nimetengeneza 213$ na jumatatu na withdraw nitatuma hapa wale wa scam waendelee kupiga kelele
Screenshot_20220721-185050.jpg
 
Hiyo ni real maana hawachelew ni demo sijui nini...ninawafahamu watu wanapiga pesa zaidi ya 5k per month kupitia hii
Screenshot_20220721-163521.jpg
 
Amini kwamba kwa niaba ya wengi TA ni abbreviation ya Technical Analysis
 
Back
Top Bottom