Forex traders naombeni msaada tafadhari

Forex traders naombeni msaada tafadhari

It's only in trading endeavor where others declare to love their human beings. While in this capitalism world aka dog eats πŸ•. Unaambiwa ama unahubiriwa upendo ukishaamini unaliwa kilaini mno.
Mchungaji anawahubiria upendo na maisha ya milele yenye Bata huku yeye akiwanyonya akiishi maisha ya raha hapa hapa duniani. The same to politicians kuwa nitawaletea maendeleo. Pia bila ya kusahau sangoma hata wazungu wanakupa misaada utatue tatizo ambalo wamelitengeneza wao wenyewe so ili uzidi kuwa mtumwa wao. Jiulize misaada yao hawataki ujenge kiwanda uzalishe ukawauzie bidhaa.
Wangekuwa wanatupa misaada tunachimba madini tunauza wenyewe baadaye tunawalipa.
Unampigisha demu sound kuwa unampenda kumbe una lako Jambo.

Hujawahi jiuliza why mtetea akiwa anaatamia ama akiwa na vifaranga hapewi chakula na jogoo jamani.
Ila akianza kuzaa mayai nakuambia jogoo atampetipeti Ile mbaya.

What I know nothing is free ie everything is Trading aka we interchange the values to gain more values from what I give you and I get from you.

Utasema jua linakupenda Kuna kitu linapata tokea kwako the same na wewe unapata kitu tokea kwa jua. Hata miti na wanyama Wana trade hewa aka Kuna exchanges of gases.
Yaani everything is calculated mkuu. Hata upendo unaotoa inabidi baadaye uupate ili ubalansi mzani.
Dunia uzito wake Ni ulel ule tokea kuumbwa halijawahi ongezewa uzito mwingine la sivyo uta disturb it's balansi.
Energy can't be neither created nor destroyed.yaani tunaishi dunia ya zero sum game whether you like or not. Wapo wajanja wanajua kuzichanga karata wanawatoa wengine wanajiongezea wao zaidi na zaidi.

Yaani unalima nanunua nauza sudani ama wakati wa njaa so napiga superprofit.

Ukidharauliwa lazima nawewe utatoa Ile dharau uliyopewa ama uliyotoa.
Ukitoka heshima na wewe utarudishiwa heshima ili uzibe lile pengo ulilotoa.

This is my firm believe in life.
Hata mie napoandika hapa nazidi kushindilia ama kuwa confident with my mind.
Hata wewe hapo unapofundisha you're gaining something sio useme kuwa umeshatoa traders wengi. Mbona hatujaona hata wanatokea Forbes,CNN, Bloomberg,etc wakakiri kuwa wametoka mikononi mwako
Ni kweli hakuna kitu cha bure.
Ukiamua kutoa bure, wanakudharau.
Sema kuna wengine hawavuni chochote sokoni ila wanapiga mentorship.
Kuna mdau kupitia mentorship anakusanya mpaka 20 million ila in reality anatumia demo.
Dunia ina siri sana.
 
It's only in trading endeavor where others declare to love their human beings. While in this capitalism world aka dog eats πŸ•. Unaambiwa ama unahubiriwa upendo ukishaamini unaliwa kilaini mno.
Mchungaji anawahubiria upendo na maisha ya milele yenye Bata huku yeye akiwanyonya akiishi maisha ya raha hapa hapa duniani. The same to politicians kuwa nitawaletea maendeleo. Pia bila ya kusahau sangoma hata wazungu wanakupa misaada utatue tatizo ambalo wamelitengeneza wao wenyewe so ili uzidi kuwa mtumwa wao. Jiulize misaada yao hawataki ujenge kiwanda uzalishe ukawauzie bidhaa.
Wangekuwa wanatupa misaada tunachimba madini tunauza wenyewe baadaye tunawalipa.
Unampigisha demu sound kuwa unampenda kumbe una lako Jambo.

Hujawahi jiuliza why mtetea akiwa anaatamia ama akiwa na vifaranga hapewi chakula na jogoo jamani.
Ila akianza kuzaa mayai nakuambia jogoo atampetipeti Ile mbaya.

What I know nothing is free ie everything is Trading aka we interchange the values to gain more values from what I give you and I get from you.

Utasema jua linakupenda Kuna kitu linapata tokea kwako the same na wewe unapata kitu tokea kwa jua. Hata miti na wanyama Wana trade hewa aka Kuna exchanges of gases.
Yaani everything is calculated mkuu. Hata upendo unaotoa inabidi baadaye uupate ili ubalansi mzani.
Dunia uzito wake Ni ulel ule tokea kuumbwa halijawahi ongezewa uzito mwingine la sivyo uta disturb it's balansi.
Energy can't be neither created nor destroyed.yaani tunaishi dunia ya zero sum game whether you like or not. Wapo wajanja wanajua kuzichanga karata wanawatoa wengine wanajiongezea wao zaidi na zaidi.

Yaani unalima nanunua nauza sudani ama wakati wa njaa so napiga superprofit.

Ukidharauliwa lazima nawewe utatoa Ile dharau uliyopewa ama uliyotoa.
Ukitoka heshima na wewe utarudishiwa heshima ili uzibe lile pengo ulilotoa.

This is my firm believe in life.
Hata mie napoandika hapa nazidi kushindilia ama kuwa confident with my mind.
Hata wewe hapo unapofundisha you're gaining something sio useme kuwa umeshatoa traders wengi. Mbona hatujaona hata wanatokea Forbes,CNN, Bloomberg,etc wakakiri kuwa wametoka mikononi mwako
Forbes ya nini mtu akiweza kukidhi mahitaji yake na kuzikaribia ndoto zake ni mwanzo wa ushindi, mi nikifundisha bure huwa sipungukiwi na chochote wala kuongezeka chochote zaidi tu nakuwa na marafiki wengi
 
Hii hata mie naweza nikaichukua nikaituma mahala Kama wewe ulivyotuma mkuu sijakukatalia.
Listen show us that withdraw from your Trading account even show us your one name, au ficha two names ionyeshe zile initial. Zen show up that withdraw amount in your bank account ama uweke hapa your investor password Kama wewe Ni mwanaume. Hasa hasa weka investor password ndio inaondoa mzizi wa fitina. I know all shits in this game Probabily 60%. Hapo nitaamini kweli kuwa unawapenda watu na sio bure na mie nitakupΓ tia wengi uwafundishe na watakulipa. Show us your investor password na pia jina lako ikiwekazana toa photo ya id uliyotumia. Hapo utachukua points tatu muhimu.hata jina la benki umeficha ama ewallet umeficha hatutaki jina lako. Ama niwekee pm
 
nikifundisha bure huwa sipungukiwi na chochote wala kuongezeka chochote zaidi tu nakuwa
Hao marafiki Ni gains pia na wewe unaongeza ujuzi zaidi unapofundisha ,yaani Kama unajua kitu kifundishe ndipo kinapokukaa zaidi una uhakika nacho. Ila weka hapa investor password even at my pm ili nijue wewe Kama sio Kama wasauzi wapakistani na wahindi fulani, Bangladesh, Singapore etc
 
Hao marafiki Ni gains pia na wewe unaongeza ujuzi zaidi unapofundisha ,yaani Kama unajua kitu kifundishe ndipo kinapokukaa zaidi una uhakika nacho. Ila weka hapa investor password even at my pm ili nijue wewe Kama sio Kama wasauzi wapakistani na wahindi fulani, Bangladesh, Singapore etc
Na lengo langu la kufundisha ni kugain more
 
Na lengo langu la kufundisha ni kugain more
Umekubali kuwa nothing is free lakini. Everything is Trading, you've to accept it whether you like or not.
But bear in mind money Trading isn't about the matter of having more knowledge or best analytical skills.
Taking money out of the market takes more something very BIG than Trading knowledge.
Yaani is just admission fee or entry cost then you've to dive or be surfer in ocean waves.

Na ndio Mana nikakuambia weka investor password hapa ili tuone kweli unafanya
 
You've the Trading knowledge mzuri kabisa ambayo kila mtu anayo Ila huna what takes to take money out of the market na ndio Mana umeona Bora ufundishe.yaani kuchukua hela from sokoni bana zinakuwaga za Moto yaani unaziona Ila kuzichukua Ni mbinde kinyama so utakimbilia kufundisha strategy,rm,ta ,fa na mind utagusia kwa juu juu mno. Ndio Mana kwenye game hii Kuna educators wengi mno kuliko traders wenyewe Ni sawa huwa nikienda stendi ya mabasi nawaambia wale wapiga debe kuwa mbona nyie wenyewe Ni wengi kuliko abiria ,yaani mkiamua kusafiri wenyewe mnajaza mabasi yote haya na mnabakia wengine mmekosa usafiri

Yaani umemeza PDF zA kutosha so una feel you're likely to succeed Ila you can't. You just smell it but is very difficult to reach there what I know. Watauza signals,VIP subscription program.yaani bana trading inafurahisha kinyama.

We read and get education of Trading from high grade suckers of this game.

Ukiulizwa your 5yrs Trading history utaanza kutetea kuwa sio lazima nicheze mpira kufundisha mpira ama sio lazima niwe car racer ili kujua anahitaji gari ya Aina gani.


Haya bana hii makitu Ni ya Moto mzazi nadhani imeshakulia hela so upo unapooza
Boss nyie ndio mliokata tamaa njiani upo out na uhalisia
 
Mkuu mi sio mentor ila napenda kufundisha tangu nasoma ,Nimetoa traders wengi sana wala sijawahi omba at mia yao,well unasema kuchukuwa pesa sokoni ni ngumu yes ni ngumu ndio haswa. Inahitaji usiwe na uhitaji nazo ndio unazichukuwa vyema ila ukiwa na pupa hata sent uchukuwi, alafu kupoteza kawaida mi nshapoteza miezi mfululizo no profit ila tatizo iikuwa sikolojia, alafu saiv trading sio kama zamani kuna funding acc nami ndo nina trade sana izo 100k funded na nipo up 10percent
Uyo bado mshamba[emoji23][emoji23]msamehe bure kachapika huko anakuja kukatisha tamaa bigners
 
Hii hata mie naweza nikaichukua nikaituma mahala Kama wewe ulivyotuma mkuu sijakukatalia.
Listen show us that withdraw from your Trading account even show us your one name, au ficha two names ionyeshe zile initial. Zen show up that withdraw amount in your bank account ama uweke hapa your investor password Kama wewe Ni mwanaume. Hasa hasa weka investor password ndio inaondoa mzizi wa fitina. I know all shits in this game Probabily 60%. Hapo nitaamini kweli kuwa unawapenda watu na sio bure na mie nitakupΓ tia wengi uwafundishe na watakulipa. Show us your investor password na pia jina lako ikiwekazana toa photo ya id uliyotumia. Hapo utachukua points tatu muhimu.hata jina la benki umeficha ama ewallet umeficha hatutaki jina lako. Ama niwekee pm
Hivi kutoa investors password haipelekei mtu kuwa hacked hapo baadaye?
 
So unaniona nawaza mbususu sio?
Nimeongea nikiwa na Mana kuwa hao jamaa wako konki sio Kama black people tunaowaza mbususu na kula kimasihara,mpira na mziki masaa 24 baadaye tunauza bandari ama nchi yetu kamaa mbuga ,madini,na kila kitu. Wale watu wanawaza kuhamishia watu huko mars even to reach Jupiter and other galaxies
 
Hii fx inanichanganya sana mm Kuna jamaa yangu broker wake ni MTFE na ishu ya signal anatumia robot ndo linatrade,ananishawishi niingie huko lkn moyo wangu umekuwa ngumu sana nawaza robot ndo linitengenezee pesa?je kitu hiki ni possible?nahofia inaweza kuwa kudiposit ni simple ila kuwithdraw ikawa nongwa

Jamaa hao ndo zao utaona wanapata sana ww ukiingia ww za kichwa unakula
 
Back
Top Bottom