Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

Haiwezekani awe UDSM hata iweje, huyo ni kijana tu matokeo yametoka kafaulu basi anatafuta ujiko kwa wenzake aonekane anajua sana...



angalia hizo selection afu waambie wenzio
 

unasoma tu bhaaana hata usogope
 
Matokeo yangu ni phys D Chemistry B Math C Div 3 point 12...je naweza chaguliwa Civil au Mining pale UDSM???
 

Aya mdogo wang masomo mema ila kwa staili hiyo uko chuoni unakoenda hata wakigundisha syllabus yote na superglue uko kichwani kwako huo ujinga ulionao hautakutoka kwa sababu ni kipaji chako ulichozaliwa nacho,endelea kukitumia vivyo hivyo tusikitumie kwa kubishana humu jf ni kupotezeana mda tuu
 

kaka jelema usidhan chuo sikijui nakijua A to Z but sina maana each and everything kwa vile vidogo i need kushare na wanaijali kama uhusiki ka pemben

na usijikute chuo unasoma peke ako hata mbwa wangekuwa wanasoma wangefika chuo

huna shidaa kaa kando mmama
 

kaka jelema usidhan chuo sikijui nakijua A to Z but sina maana each and everything kwa vile vidogo i need kushare na wanaijali kama uhusiki ka pemben

na usijikute chuo unasoma peke ako hata mbwa wangekuwa wanasoma wangefika chuo

huna shidaa kaa kando mmama
 
Matokeo yangu ni phys D Chemistry B Math C Div 3 point 12...je naweza chaguliwa Civil au Mining pale UDSM???

ds una ngap na tokeo la o level lipo poa
 
Mamndenyi asije akawadanganya huyu bwana mdogo, kuapply ni kitu kimoja na kuchaguliwa ni kitu kingine, nimeshtuka pale alipouliza mdau mmoja huko juu eti kama matokeo yake ya O'level yako vizuri atapata.

Kitu cha muhimu sana kuzingatia mkumbuke inayochagua ni system na sio watu, chuo huweka vigezo na idadi ya watu inaowahitaji hivyo kuwapa vijana fursa ya kuapply endapo anavigezo na kama hana vigezo system inamkatalia, mfano kama cut point ya medicine MUHAS ni 7, hii inamaanisha vijana wote wenye B na B+ wanavigezo.

Tuchukulie chuo kimetoa nafasi 200, na uzingatie watu wengi sana wanavyo vigezo sasa kutokana na kutokutambua namna ambavyo system inafanya kazi wote watakimbilia kuapply MUHAS kisa anavigezo na mwisho wa siku anajikuta anakosa chuo.

Ni vipi atakosa chuo?
Katika kuapply TCU unapewa nafasi tano, nafasi ya kwanza ndo unajaza priority kozi yako, tuchukulie mfano unamatokeo hayo ya B na B+, chuo kinahitaji watu 200 na mpaka deadline wameapply watu 700 kama priority namba 1, kati ya hao 700 zaidi ya 250 wana A na A wengine A na B+ wengine B+ na B+, automatically system inakutema inaenda kuangalia kwenye kozi uliyoipa priority namba 2, hivyo hivyo mpaka utapofit.

Kwa hiyo ni rai yangu kwa vijana wazingatie sana hili na wasidanganywe na hawa watu wasiojua chochote wakajikuta wanapoteza nafasi kwa mfano mwenye matokeo hayo angeweza kukipa priority UDOM ambayo wengi huwa hawaiweki priority 1 moja kwa moja angepata.

0714600060; Kwa msaada zaidi.
 
Last edited by a moderator:
GS nina D..tokeo la Olevel nilipata two ya 18... Phy: B Chem: B Math A..kwenye Olevel hiyo..mwaka 2011 matokeo


hapo kijana unakuwa na point 5.5 na minimum point za pale ni 2 ko had hapo umepass sasa kuchaguliwa with reference kwa mwaka jana walishia 6.5 kwa civil engineering ni watu 44 katika 175 waliochukuliwa so kwa hizi big result probability ni 60% ya kuchukuliwa if u adimer hizo course we jaza come mmefaulu sana na principal wamepandisha na matokeo yako ya o level yako poa iyo itakusaidia
 

Nina point 6 kaka...sio 5.5...alafu nahofu kuchagua civil kwasababu kila mtu anaifikiria hiyo..
 
Nina point 6 kaka...sio 5.5...alafu nahofu kuchagua civil kwasababu kila mtu anaifikiria hiyo..

Tatizo lenu mnadanganyana hapa wadogo zangu, kumbukeni chuo kikuu zinatakiwa prinsipo mbili tu na sio tatu na hata kwenye kuhesabu cut point ya kozi unahesabu points za masomo mawili tu uliyofanya vizuri zaidi yanayohitajika na kozi husika, mfano PCB umepata CCB, C ni 2 na B ni 3, kwa kuwa una C mbili na B moja points zako hapo ni 5 na si 7 somo moja halihesabiki.
 


tunashukuru kwa kelimisha uma mwa UDOM wewe ndo maana tumeandika wa wale wa UDSM mwanachama muende chuo cha katani

afu ukome kuniita mwiziii dat y cjatoa namba yangu ya cm we mbona umeweke ndo unataka kuwaibia me ni swagger tu c weki no

ni utapeli unatakafanya utapeli kupitia mimi

unakihebede mshenziiiii ww

mbona watu wana ask majibu wanapewa comment kwenye majibu ka uongo


jicho limekutoka unazan nitasema tuma 50000 nikuappy tcu

cwez fanya hivoo
 
Last edited by a moderator:
madudy nimekusamehe sio kosa lako nadhani ni umri, hakuna sehemu nimekuita mwizi mdogo wangu.
 
Last edited by a moderator:
madudy nimekusamehe sio kosa lako nadhani ni umri, hakuna sehemu nimekuita mwizi mdogo wangu.


etii wasio jua lolote ko we c unajua ndo wakupigie kwenye no yako uwalie pesa sio mtanzania ww usijifanya unajuuuu dat y tupo kuelimishana afu yaaa umri yanatoka wap tenaaaa

cjui nikutusi kwa bibi ako ndo utaacha fanya yako big tuache wana ud na DARUSO yetu we wa kata nenda katanii
 
Last edited by a moderator:
somaaaa iyoo picture usipoelewa comments tena

je TIA kinatambulika na udsm? maana kwa udsm u
mtu wa diploma uwezi kusoma udsm kama chuo chako akitambuliwi na senita ya udsm.
 
jauge????? kweli hizi product za UDSM ni tatizo katika maendeleo ya nchi! ningekuwa karibu na ww ningekuchapa makofi..


ndo maana hukuweza kuja broo kwenye chuo cha nne AFRICA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…