Tatizo lenu mnadanganyana hapa wadogo zangu, kumbukeni chuo kikuu zinatakiwa prinsipo mbili tu na sio tatu na hata kwenye kuhesabu cut point ya kozi unahesabu points za masomo mawili tu uliyofanya vizuri zaidi yanayohitajika na kozi husika, mfano PCB umepata CCB, C ni 2 na B ni 3, kwa kuwa una C mbili na B moja points zako hapo ni 5 na si 7 somo moja halihesabiki.
Daahhh...Asante sana kaka kwa kunielewesha..nilikuwa sijui ilo...asante sana...