Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Mkuu huyu ISISI anatofauti gani na yule wa Misri?
 
Nchi hii itatoka tu mikononi mwa shetani ngoja awaondoe kwanza vizazi vya kichawi


Mungu muumba mbingu na nchi atamalaki
 
Nchi hii itatoka tu mikononi mwa shetani ngoja awaondoe kwanza vizazi vya kichawi


Mungu muumba mbingu na nchi atamalaki
Mkuu itatoka au ndio inaelekea kwenye mikono ya Shetani.Ndugu yangu ujio wa Mpinga Kristo,the reincarnation of Satan or Satan in the body,is eminent na Covid-19 is the greatest tool the NWO cabal is using to achieve that.Nchi hii na Dunia kwa ujumla vitarudi kwa Mungu in Jesus Christ's 1000 year rule on Earth after the Great Tribulation au Dhiki Kuu,so bado.
 
alitamta neno hata nje ya mipaka yetu na si umulike nje ya mipaka yetu
 
Kukimbiza mwenge ni agenda ya kipepo kabisa.Tunapoteza fedha nyingi sana kwenye shughuli hii ambazo zingeweza kutuongezea madarasa ya shule za msingi,zahanati au kufanya shuhuli zingine za maendeleo.

Ukiangalia kwenye Satanic symbols utaona kwamba mwenge ni moja wapo ya satanic symbols.

Kama taifa nadhani hatuna budi kutafakari upya jambo hili na kuufuta.Ajenda yake ilikuwa ovu kabisa:kupumbaza wananchi.Sidhani kama ajenda hii bado serikali yetu inayo.

Sijui ndio maana Watanzania tupo kama tulivyo!?Natafakari tu.
 
Hii story niliipitia nikaona kama imekaa ki-propaganda zaidi na ki-danganyifu zaidi sababu kama ni kweli hao wazee walikuwa wana uwezo huo iweje tutawaliwe kwa muda mrefu kiasi hicho? Na pia iweje wajitokeze kipindi cha mwishoni wakati tunapambania uhuru wakati wangemaliza kazi before hata kutawaliwa?
 
FOROJO GANZE vipi hakuwa na watoto,Kama wapo, wapo wapi na wanafanya nini
 
Natamani hiyo historia ya kilwa,mkuu tuletee tafadhari au ni tag ukiweka uzi wake mpya
 
mapepo yalikuwepo kabla ya ADAM hajaumbwa
 
Rudia tena kusoma, bandiko linasema ni zindiko kwa rais Nyerere maana yake uhuru ulikuwa tayari, sio zindiko kwa ajiri ya kuwaondoa wakoloni, hata hivyo hao wakoloni mpaka wametucolonize maana yake walituzidi kila kitu mpaka nguvu za kichawi.
 
Rudia tena kusoma, bandiko linasema ni zindiko kwa rais Nyerere maana yake uhuru ulikuwa tayari, sio zindiko kwa ajiri ya kuwaondoa wakoloni, hata hivyo hao wakoloni mpaka wametucolonize maana yake walituzidi kila kitu mpaka nguvu za kichawi.
Hapa kuna hoja mbili mkuu kwa jinsi nilivyo elewa kutoka kwenye maandishi yako na kutoka kwenye maandishi yangu ya mwanzo.

1. Hoja ya pili ni kuwa zindiko lilikuwa ni kwa ajili ya Mwl pekee na ilikuwa ni baada ya uhuru,.. hii ina maana ya kuwa taifa halijazindikwa/ kuwekwa kwenye maagano na shetani kama mleta mada & wachangiaji kadhaa jinsi walivyodai,...... Swali,., mwenge ulionzishwa mbona umeanzishwa kwa ajili ya taifa na sii Mwl.? Na pia mbona inadaiwa mambo ya mazindiko yalianza hata kabla ya uhuru?

2. Hoja ya kwanza( kutoka kwenye andiko langu)---- Hao akina Forojo walianza kazi zao kabla ya kupata uhuru ila nchi ilikuwa kwenye harakati za kupata uhuru (rejea habari za wazee wa Pwani & Dar es salaam), .................... ilikuwaje washinde kufanya hayo mambo toka enzi za vita za majimaji au kabla ya hapo kama ni kweli mazindiko yao yalikuwa ni ya kweli? na yana uwezo huo unao zungumzwa hapa?
 
Uchawi wa kiafrika haufanyi kazi kwa Mzungu.
 
Ungeendelea kutujuza, sasa wewe unatupa somo kabla hatujajua linahusu nini unatuswalika maswali..!? ngoja waje wajuzi, mine is an ordinary mind...!
Labda alikata moto baada ya kuanza andiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…