Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Hii mienge hii ni ya kutilia shaka sana, huwa sipati ina maana gani! Maana hata huku Netherlands kuna jengo la chuo linaitwa Aula(Wageningen University) wanalitumia kwa ajili ya mahafali ya PhD na mbele ya hili jengo kuna mwenge unawaka kila siku na wakati wa kuingia wanabeba kitu kama siwa lile la bungeni... Yaani ni full of mysteries tunaishi na kufanya vitu tusivyovijua wala kuhoji mwanzo wake. Hatari sana
 
mh. My heart was racing reading all this.

Sasa hii story ya uhuru na mwenge imebaki tu kuwa oral tradition? Au kuna sehemu tunaweza kwenda kusoma?

Kunamtu kasema tukiuliza historians wa bagamoyo we can get the info. Sasa hii iko written kama other events ama yenyewe imebaki vinywani tu?

Twambieni nasi tujue kumbe nchi inashikiliwa na mashetani/miungu!! Nasikiaga hawa wazee wa Dar wanaomshauri rais, nilikuwa najiuliza kwanini wote waislamu! And i was wondering 'wazee wa Dar? Seriously? Badala yakutafuta educated people huko juu. Lol. Au ndo wana ''hekima''

sina amani!! Najuta kufungua thread.

unavyosema ni kweli haya matukio yapo orally hayajaandikwa bado,na mtu ambaye angekua ametufanyia haki kuiandika hii historia ni mwl .Nyerere kwan alishiriki katika mambo yote na alikua pia ni mwandishi wa vitabu sasa sielewi kwa nini hakutaka kuandika historia iliyotokea na hakuwahi kuandika harakati zake hata mpaka anakufa?

na alikua mwazi kuyasema hadharani,jaribu kufuatilia hotuba zake anasimulia kuhusu mambo aliyofanya wakati wa kuusaka uhuru

kuhusu wazee wa dar kumshauri raisi ni kitu cha kawaida tu kama wazee wenye busara na wanaoijua hii nchi kwani dar ndio kitovu cha harakat zote za uhuru ulipoanzia na kusambazwa mikoani halaf ukarudi tena dar na wanachomshauri siomambo ya economics of country kwani raisi ana washauri wake kwa mambo hayo

tafsiri unavyotaka kama nchi imekabidhiwa mashetan au mungu, ila kwa wazawa wa kweli na wenye kuujua utanzania na uafrika na watanzania wakweli kutoka rohoni na wanaoheshimu mababu zetu waliotuleta hapa dunian,wakatulisha,wakatuvisha wakatulinda na hatari zote kupitia kumuomba huyo mungu ambae watu wanasema ni shetani na kufanikiwa kuhimili maisha kwa kuomba kwa mungu ambaye alikua anatuletea mvua,anatuonesha siri zilizofichika machon,anatufunulia tiba za magonjwa mbalimbali kupitia njozi au njia zingine mpaka ukawepo leo hii. tunasema nchi imekabidhiwa kwa mungu wetu na sio mungu wa kigeni ambae babu zetu hata hawakumjua na aliyekuja akatupeleka utumwani,akatugeuza makoloni yake, huyo kwetu sio mungu ni shetani

na kuna maeneo matakatifu ndani ya hii nchi ambamo tunaenda kusali na tunafanikiwa

hujawahi kujiuliza kwanini viongozi wanakimbilia mlingotin

tafakari na uikimbie mental slavery
 
Ngoja na mimi nitohoe thiridi hapa hapa " NINI HASA MAANA YA YA MWENGE WA HURU NA HISTORIA YAKE INI IPI HASA KWA USHAHIDI ULIJITOSHELEZA?"

sasa mkuu unataka ushahidi wakati mwenge unauona kila mwaka ukitembezwa au unadhan watu wamejisikia tu kuutembeza mwenge? na historia ilivyoanza ushapewa ya forojo ganze
hivi huoni ajabu kwanini tuna amani toka uhuru wakati almost afrika nzima watu washapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe ?
angalia kenya na harambee yao hakuna vita, angalia bongo na mwenge wetu,halaf angalia nchi zote zilizoukana uafrika uone vita ama kupinduana kuanzia uganda,nigeria kwenda nchi zingine
 
Samahani kwa kwenda off topic kidogo. Ila mimi huwa nina amini kuwa kukosa "mawendeleo" kwetu wa Afrika kunatokana sana na kukana Mungu/miungu wetu na kupapatikia ya wenzetu.
Nchi zote zilizoendelea na zinazoendelea kwa kasi zina Miungu yao. Angalia, Americans, Europeans, Arabs, Chinese and Indians wote wana Miungu yao na wameendelea kuliko Wa Africa na wa Latino ambao kwa aslimia kubwa wameiga Miungu ya wenzao!

Turudi kwenye topic ya Mwenge! Japo sijawahi shiriki maandamano pia sijawahi tafakari sana undani wake. Hoja humu za leo zimenifanya nipate hamu ya kujua zaidi! JF 4 life. Ndio mana niko since 2006!
 
SAMAHANI, I DONT MEAN TO CAUSE HARM, naombeni kuuliza, waarabu walipokuja watakuwa walikuja na mashetani yao eh?

Au uchawi in these lands of ours have always been there hata kabla ya waarabu?

Watu wakiongelea a 'typical african', anaongelea mtu anayeabudu miti, mawe,milima, jua. Sijawahi kusikia habari ya mapepo, wala ufanyaji miujiza.

ENLIGHTEN MEE, OOHH U ENLIGHTENED ONES

suala la wao kuja na mambo yao ni kama wazungu walivyokuja na mambo yao

na sio kweli kwamba waafrika tulikua tunaabudu jiwe au miti bali tunaamini kuna maeneo ambapo nguvu za mungu ni kubwa zaidi kuliko maeneo mengine ni sawasawa na kusema

waislamu wanaabudu jiwe lile la makka?

jews wanaamin mlima wa sinai au hekalu la sulemani ndio mungu ?

wakristo wanaamin ule msalaba wa yesu ambao upo makanisani ndio mungu?

je wao wanaamini ndio mungu yao?
 
Hii mienge hii ni ya kutilia shaka sana, huwa sipati ina maana gani! Maana hata huku Netherlands kuna jengo la chuo linaitwa Aula(Wageningen University) wanalitumia kwa ajili ya mahafali ya PhD na mbele ya hili jengo kuna mwenge unawaka kila siku na wakati wa kuingia wanabeba kitu kama siwa lile la bungeni... Yaani ni full of mysteries tunaishi na kufanya vitu tusivyovijua wala kuhoji mwanzo wake. Hatari sana

Mkuu Kuberwa,
Baba Monaa nakusalimia !
 
Samahani kwa kwenda off topic kidogo. Ila mimi huwa nina amini kuwa kukosa "mawendeleo" kwetu wa Afrika kunatokana sana na kukana Mungu/miungu wetu na kupapatikia ya wenzetu.
Nchi zote zilizoendelea na zinazoendelea kwa kasi zina Miungu yao. Angalia, Americans, Europeans, Arabs, Chinese and Indians wote wana Miungu yao na wameendelea kuliko Wa Africa na wa Latino ambao kwa aslimia kubwa wameiga Miungu ya wenzao!


Turudi kwenye topic ya Mwenge! Japo sijawahi shiriki maandamano pia sijawahi tafakari sana undani wake. Hoja humu za leo zimenifanya nipate hamu ya kujua zaidi! JF 4 life. Ndio mana niko since 2006!

unayosema ni kweli kabsa na ndio maana waafrika wengi hawana uzalendo na nchi yao kwani roho zao zimeshauzwa kwa miungu ya kigeni.
saiz hapa tunapiga kelele za kujifanya tunaipenda nchi yetu lakin mioyo yao immeelekea kwa wageni hebu jarb kuona mwislamu anavyobabaika kwa mwarabu angalia wakristo kwa wazungu na wayahudi
 
Daa! Amazing! Kwanini mwananthropolojia na NSWECKY Msikae chini na kutunga/kuandika kitabu ambacho mnaweza kukipa jina la HISTORIA ILIYO SAHAULIKA au jina jingine lolote lile? Binafsi nimependa masimulizi yenu ingawaje yanahitaji ushahidi kidogo. Nawasilisha
Huyu kweli bwana Forojo amesahaulika maana ukiingia google unaikuta hii habari
 
Last edited by a moderator:
hivi huu mwenge huwa unaenda na zanzibar au wao wanao wao!!
 
  • Thanks
Reactions: cpt
unavyosema ni kweli haya matukio yapo orally hayajaandikwa bado,na mtu ambaye angekua ametufanyia haki kuiandika hii historia ni mwl .Nyerere kwan alishiriki katika mambo yote na alikua pia ni mwandishi wa vitabu sasa sielewi kwa nini hakutaka kuandika historia iliyotokea na hakuwahi kuandika harakati zake hata mpaka anakufa?

na alikua mwazi kuyasema hadharani,jaribu kufuatilia hotuba zake anasimulia kuhusu mambo aliyofanya wakati wa kuusaka uhuru

kuhusu wazee wa dar kumshauri raisi ni kitu cha kawaida tu kama wazee wenye busara na wanaoijua hii nchi kwani dar ndio kitovu cha harakat zote za uhuru ulipoanzia na kusambazwa mikoani halaf ukarudi tena dar na wanachomshauri siomambo ya economics of country kwani raisi ana washauri wake kwa mambo hayo

tafsiri unavyotaka kama nchi imekabidhiwa mashetan au mungu, ila kwa wazawa wa kweli na wenye kuujua utanzania na uafrika na watanzania wakweli kutoka rohoni na wanaoheshimu mababu zetu waliotuleta hapa dunian,wakatulisha,wakatuvisha wakatulinda na hatari zote kupitia kumuomba huyo mungu ambae watu wanasema ni shetani na kufanikiwa kuhimili maisha kwa kuomba kwa mungu ambaye alikua anatuletea mvua,anatuonesha siri zilizofichika machon,anatufunulia tiba za magonjwa mbalimbali kupitia njozi au njia zingine mpaka ukawepo leo hii. tunasema nchi imekabidhiwa kwa mungu wetu na sio mungu wa kigeni ambae babu zetu hata hawakumjua na aliyekuja akatupeleka utumwani,akatugeuza makoloni yake, huyo kwetu sio mungu ni shetani

na kuna maeneo matakatifu ndani ya hii nchi ambamo tunaenda kusali na tunafanikiwa

hujawahi kujiuliza kwanini viongozi wanakimbilia mlingotin

tafakari na uikimbie mental slavery

Mwananthropologia, i think umeassume mimi ni mkristo labda? Me si mkristo, wala muislamu. Sina dini. And sijui kama mungu yupo au hayupo na sitaki kujishughulisha nae kwa sababu fulani.

LAKINI, yes it would be realy interesting nikijua 'my' background, kama sign yako inavyosema. I read about the history of religions, and funny enough, leo ndo nagundua kwamba whenever i read about ancient religions in africa, i just read about Egypt. Imani za waafrika wengine hazijatiiliwa maanani na wasomi.

Wewe ni anthropologist kitaaluma? Au ID tu? Lol. I'll appreciate to hear what u have to say on imani za mababu zetu. Nani bado wanazipractice? Ndo hawa tunawaita wachawi? How many gods are there? Was there a 'religion'? Waliamini nini hasa? Hellfire? Heaven? Incarnation? Spirit? Ni kama thread nyingine sasa.

Lakini aim yangu ya kuhusisha uislamu na kina forojo (kulingana na mlivyomsimulia), ni sababu alikufa utafkiri yuko possesed, and my imagination of imani za mababu zetu, hakukuwa na such incidents za spirits and all. What i said got no basis at all. Ignore it.

Kwahiyo, kama ni kuwa 'labeled' na majority leo, they would call u a pagan right?

Heeh, na 'mlingotin' ndo nasikia leo. Ni wapi?? Umeelemewa? Angalu nijibu hili, yaache mengine. Lol
 
suala la wao kuja na mambo yao ni kama wazungu walivyokuja na mambo yao

na sio kweli kwamba waafrika tulikua tunaabudu jiwe au miti bali tunaamini kuna maeneo ambapo nguvu za mungu ni kubwa zaidi kuliko maeneo mengine ni sawasawa na kusema

waislamu wanaabudu jiwe lile la makka?

jews wanaamin mlima wa sinai au hekalu la sulemani ndio mungu ?

wakristo wanaamin ule msalaba wa yesu ambao upo makanisani ndio mungu?

je wao wanaamini ndio mungu yao?

ooohhh....thanks for ellaborating. Sasa unaona jinsi watu walivyokuwa misled. I thought they pray 'to' rocks not 'on' rocks

haha niliuliza kama waislamu wamekuja na mapepo au na mapepo walikuwepo huku toka zamani? Siajabu hata maana yangu ya mapepo ni tofauti na yako
 
ndugu,miti mikubwa,mawe,mapango n.k ni venue za ibada tu accrdng to mwl wng wa din 4m 5 enzi hz ktk ATR{african tradition religion}!!waafrika wengi tuliamin kwa MUNGU mmoja na alikua na jina lake!
 
Back
Top Bottom