Forum gani humu hujawai kutamani kuitembelea hata kidogo?

Antennah

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
6,754
Reaction score
8,750
Amani iwe juu yenu.

Jamii forum Ina viwanja vingi ambavo wataalam walivigawa kwa kujua wazi Kila mtu atakuwa na interest ya kupata info na mambo mbali mbali ya vitu au maswala anayoyapendelea.

Forum zipo nyingi kidogo mfano;
1.Habari na hoja mchanganyiko.
2.Cerebrity forum.
3. Mahusiano,mapenzi na urafiki.

Kwa upande wangu Mimi Jamvi ambalo lipendi kulitembelea kabisa Ni "Jukwaa la siasa".

Wewe je? Ni jukwaa gani hulipendi na hauna interest nalo kabisa.

KING.
 
Huwa sipend kulisikia wala kuliona jukwaa la wakubwa
 
hili nililomo
 
east africa na yale mengine ya english big NO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…