BUSARA ZANGU
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 779
- 1,269
Celebrity ni jukwaa la kujadili watu, ni SHILAWADU pekee ndio wanalipenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hili jukwaa sio la kisport sport aiseeHahaha mpaka uombe access
Umekua superstar,,mi hakuna wa kuja kukulalamikia [emoji23][emoji23][emoji23]ha ha ha Mama Sabrina utasababisha jamaa wanichukie sana... maana nimekuwa wanted kwa sasa....
Umempeleka wapi Stunter ?hili jukwaa sio la kisport sport aisee
sitaki hata, mie jukwaa langu kubwa na MMU na nina amani na furaha
Napata majibu ya maswali yangu yote, hao wakubwa wabaki tu huko
ok, asante mkuuJukwaa la wakubwa ndio Makapuku Forum mkuu.......
kuna project kapewa kazini nakuambia hata muda na mimi siku hizi sio kama zamaniUmempeleka wapi Stunter ?
Jukwaa la wakubwa tuachie sie
Anakudanganya huyo naeok, asante mkuu
sijawahi hata fikiria ujue
asante sana
Sasa mbona watu wananizungusha zungusha?
ngoja nikalione
Msalimie tu hakuna namna mwambie akujekuna project kapewa kazini nakuambia hata muda na mimi siku hizi sio kama zamani
najikuta nanyamaza tu maana nilishapenda
ila nimemuomba aje bhana watu wanammisi ameahidi kuja soon
hivi kanidanganya? nimejikuta nakubaliAnakudanganya huyo nae
Hahaha kajinga ee,hivi kanidanganya? nimejikuta nakubali
mie mjinga ujue
yaani sitaki tenaHahaha kajinga ee,
Mpaka umtumie pm moderator ndio anakufungulia unaanza kuliona "Jukwaa la wakubwa" limeandikwa hivyo hivyo
Hahahaj nenda kajioneeyaani sitaki tena
unihadithie kidogo unakuta nini huko?
vibaya hivyo, nidokeze tu bhanaHahahaj nenda kajionee
Vitu unavyofanyaga chumbani na s kule ndio vinawekwavibaya hivyo, nidokeze tu bhana
hahahahahahah uchokozi huoVitu unavyofanyaga chumbani na s kule ndio vinawekwa
biashara, uchumi na ujasiriamali mengine kelele tuAmani iwe juu yenu.
Jamii forum Ina viwanja vingi ambavo wataalam walivigawa kwa kujua wazi Kila mtu atakuwa na interest ya kupata info na mambo mbali mbali ya vitu au maswala anayoyapendelea.
Forum zipo nyingi kidogo mfano;
1.Habari na hoja mchanganyiko.
2.Cerebrity forum.
3. Mahusiano,mapenzi na urafiki.
Kwa upande wangu Mimi Jamvi ambalo lipendi kulitembelea kabisa Ni "Jukwaa la siasa".
Wewe je? Ni jukwaa gani hulipendi na hauna interest nalo kabisa.
KING.