Forum gani humu hujawai kutamani kuitembelea hata kidogo?

Forum gani humu hujawai kutamani kuitembelea hata kidogo?

hili jukwaa sio la kisport sport aisee
sitaki hata, mie jukwaa langu kubwa na MMU na nina amani na furaha
Napata majibu ya maswali yangu yote, hao wakubwa wabaki tu huko
Umempeleka wapi Stunter ?
Jukwaa la wakubwa tuachie sie
 
kuna project kapewa kazini nakuambia hata muda na mimi siku hizi sio kama zamani
najikuta nanyamaza tu maana nilishapenda
ila nimemuomba aje bhana watu wanammisi ameahidi kuja soon
Msalimie tu hakuna namna mwambie akuje
 
Ile forum wanayoongea kizungu kila muda wote, huwa naipita na speed ya 4G kama vile sina beak.

Sina interest nako kabisa japo naweza kusoma, kuelewa na kuandika.
 
Amani iwe juu yenu.

Jamii forum Ina viwanja vingi ambavo wataalam walivigawa kwa kujua wazi Kila mtu atakuwa na interest ya kupata info na mambo mbali mbali ya vitu au maswala anayoyapendelea.

Forum zipo nyingi kidogo mfano;
1.Habari na hoja mchanganyiko.
2.Cerebrity forum.
3. Mahusiano,mapenzi na urafiki.

Kwa upande wangu Mimi Jamvi ambalo lipendi kulitembelea kabisa Ni "Jukwaa la siasa".

Wewe je? Ni jukwaa gani hulipendi na hauna interest nalo kabisa.

KING.
biashara, uchumi na ujasiriamali mengine kelele tu
 
Back
Top Bottom