Forum gani humu hujawai kutamani kuitembelea hata kidogo?

Mi natembela yote... Haswa nikiwa na apps ya jamii forum kwenye kipengere cha New pale napata kila aina ya mambo... Siasa, mapenzi kila kitu nipo sibagui na sichagui ndio maana ata kwenye magroup ya whatsapp nakuaga wa mwisho kuleft..
Una magroup mangapi ya WhatsApp mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…