Founder na aliekua CEO wa Open AI (chatGPT) Sam Altman amafukuzwa kazi na management

Founder na aliekua CEO wa Open AI (chatGPT) Sam Altman amafukuzwa kazi na management

Tetesi nikuwa
Kuna twitt za 2022 ambazo zinasemekana ni za dada yake kuwa alikiwa ana mtomasa tomasa wakiwa wadog ye altman akiwa na 13 na mdog wake wa kike akiwa na 4 .
Sasa wanahisa wake wansema hakuwambia ukweli kama alikiwa na kit kama hivho ndo imebid achie ngaz.

GOOD NEWS
NI kuwa hisa zake haziguswi na ye kuondolewa kweny uongiz wa kampuni ila inauma saaan mtoto wak anachukuliwa na huna cha kufanya zaid ya kwenda THERAPY.
Good thing vipi na Hana Hisa inasemekana
 
Haya sasa

Kumekucha huko marekani CEO wa chatgpt sama mda huu amafukuzwa kazi na management kwa kuonekana hayupo competent kwenye position ya uongozi ( CEO )

Ikumbukwe kwamba idea nzima ya chatGPT ilikua yake, development na programming amefanya yeye na rafiki zake


Kiufupi amafukuzwa kwenye kampuni yake mwenyewe


Pamoja na hayo Microsoft weme investment karibia $10 B, valuation ya openAi inakadiriwa kuwa $90 B. Mimi ni mmoja wa watu nilio tarajia microsoft wata ichukua openAI chini ya miaka miwili tokea product ya GPT iwe kwenye production



Funzo hapa kama wewe ni kijana kuwa makini mikataba unayoingia kama unashiriki hizi challenge za makampuni makubwa kama imbeju ya CRDB, Tigo Digital na ecobank ukienda kichwa kichwa ipo siku kampuni yako itaibiwa mchana kwepe na hautakua na lakufanya
Wanaoanyisha makampuni mara nyingi wanakuwa hawana uchungu na hela ya wawekezaji. Hata Steve alivyorudi aliiikuza apple kwa sababu aliwekeza hela yake mwenyewe kujiongezea hisa na kujipa mamlaka. Baada ya hapo kujua uchungu wa hela ndo apple ikawa kampuni kubwa. Ni sawa na kufungua biashara kwa hela yako kwa asilimia mia moja au kuweka nyumba collateral bank na kuitumia kuiendeleza biashara. Kuna njia moja itakufanya uwe makini na maamuzi ya kifedha kuliko nyingine.
 
Haya sasa

Kumekucha huko marekani CEO wa chatgpt sama mda huu amafukuzwa kazi na management kwa kuonekana hayupo competent kwenye position ya uongozi ( CEO )

Ikumbukwe kwamba idea nzima ya chatGPT ilikua yake, development na programming amefanya yeye na rafiki zake


Kiufupi amafukuzwa kwenye kampuni yake mwenyewe


Pamoja na hayo Microsoft weme investment karibia $10 B, valuation ya openAi inakadiriwa kuwa $90 B. Mimi ni mmoja wa watu nilio tarajia microsoft wata ichukua openAI chini ya miaka miwili tokea product ya GPT iwe kwenye production



Funzo hapa kama wewe ni kijana kuwa makini mikataba unayoingia kama unashiriki hizi challenge za makampuni makubwa kama imbeju ya CRDB, Tigo Digital na ecobank ukienda kichwa kichwa ipo siku kampuni yako itaibiwa mchana kwepe na hautakua na lakufanya
Altman sio Founder kwa uelewa wangu bali ni CEO wa muda toka 2019, ila Alivyofukuzwa huyu Jamaa Founder nae Kajiuzulu.


View: https://twitter.com/tomwarren/status/1725668952527753473
 
Haya sasa

Kumekucha huko marekani CEO wa chatgpt sama mda huu amafukuzwa kazi na management kwa kuonekana hayupo competent kwenye position ya uongozi ( CEO )

Ikumbukwe kwamba idea nzima ya chatGPT ilikua yake, development na programming amefanya yeye na rafiki zake


Kiufupi amafukuzwa kwenye kampuni yake mwenyewe


Pamoja na hayo Microsoft weme investment karibia $10 B, valuation ya openAi inakadiriwa kuwa $90 B. Mimi ni mmoja wa watu nilio tarajia microsoft wata ichukua openAI chini ya miaka miwili tokea product ya GPT iwe kwenye production



Funzo hapa kama wewe ni kijana kuwa makini mikataba unayoingia kama unashiriki hizi challenge za makampuni makubwa kama imbeju ya CRDB, Tigo Digital na ecobank ukienda kichwa kichwa ipo siku kampuni yako itaibiwa mchana kwepe na hautakua na lakufanya
Kuanzisha na kuendesha ni vitu viwili tofauti. Unaweza ukaanzisha hata chama cha siasa wakaja kuendesha wengine.
Steve Job nguli wa teknolojia aliwahi fukuzwa na Apple member.
Wazungu hawaendeshi biashara kama sisi waswahili.
Altiman sio msomi ni mjuzi wa programming na ni drop college out.
Siku hizi huko mbele senior research scuentist anatakiwa awe na PhD.
Board ya wakurugenzi huendeshwa na watu wenye hisa kubwa na ndio waamuzi. Sasa yeye mmoja atashindana na wenye pesa ?
Angekuwa mjanja angeuza startup at eary stage halaf angenunua hisa kama wale waliouza wasap.
Elimu inayokosekana kwa scientists weng ni management skill.
Bill gate alisoma vitabu vingi sana vya uongozi na fedha ili kubaki kuwa manager.
Mnaosoma sayansi na teknolojia hakikisheni mnasoma na finance and leaderdhip ni skill muhimu sana.
Vile vile mambo ya drop out ni kujiweka mbdli na ufanisi. Ugunduzi peke ake hauwezi kukufanya uwe competent kwenye uendeshaji wa kampuni.
Hata hivyo Altman sio mgunduzi ni mmojawapo wa waanzilishi, AI in makorokoro mengi yaliogunduliwa na wanasaysnsi tofauti tofauti.
 
So huyo jamaa ali Co-found na nani
Kingereza nacho ni janga mkuu, Altman na Musk ni Board members wa Mwanzo kabisa walikuwepo kwenye uanzishaji wa Kampuni ila hawakuwa watengenezaji wa Bidhaa wao na baadhi ya watu wengine Wali donate hela, Pengine ndio maana jamaa anadai mpunga wake. So naweza kuwa sipo sahihi juu sijajua Founder kama inatumika kwenye donation pia.

The organization was founded in December 2015 by Ilya Sutskever, Greg Brockman, Trevor Blackwell, Vicki Cheung, Andrej Karpathy, Durk Kingma, Jessica Livingston, John Schulman, Pamela Vagata, and Wojciech Zaremba, with Sam Altman and Elon Musk serving as the initial board members.

Kwenye Bold ni founders kwa maana waliotengeneza product yenyewe. Na karibia wote ni big shot wa makampuni makubwa.
 
This Sam Altman timeline:

-OpenAi board fires Sam Altman

-The public/investor goes nuts

-Microsoft is furious and steps in

-OpenAi employees protest and promise to resign.

-Sam Altman, OpenAI board negotiate his comeback

-The ENTIRE board offers their resignation

-The ENTIRE board waffles on their decision and stays in power.

-Sam Altman gives OpenAi board a Sunday, 8:00 pm est deadline

-OpenAi interim CEO offers Altman a temporary position

-To be continued

============
Update


Sama amerudishwa kuwa CEO baada ya mazugumzo
 
Update tena::

≈==========
Kurudi kwa sama openAi bado ni sitofahamu. OpenAi wame announce Emmett Shear kuwa CEO, Alikua ceo wa Twitch


 
Screenshot_20231120-144629_X.jpg
This Sam Altman timeline:

-OpenAi board fires Sam Altman

-The public/investor goes nuts

-Microsoft is furious and steps in

-OpenAi employees protest and promise to resign.

-Sam Altman, OpenAI board negotiate his comeback

-The ENTIRE board offers their resignation

-The ENTIRE board waffles on their decision and stays in power.

-Sam Altman gives OpenAi board a Sunday, 8:00 pm est deadline

-OpenAi interim CEO offers Altman a temporary position

-To be continued

============
Update


Sama amerudishwa kuwa CEO baada ya mazugumzo
Ameajiriwa na Microsoft
 
This Sam Altman timeline:

-OpenAi board fires Sam Altman

-The public/investor goes nuts

-Microsoft is furious and steps in

-OpenAi employees protest and promise to resign.

-Sam Altman, OpenAI board negotiate his comeback

-The ENTIRE board offers their resignation

-The ENTIRE board waffles on their decision and stays in power.

-Sam Altman gives OpenAi board a Sunday, 8:00 pm est deadline

-OpenAi interim CEO offers Altman a temporary position

-To be continued

============
Update


Sama amerudishwa kuwa CEO baada ya mazugumzo
Bora asee
 
Quick update:

Sama na Greg wamerudi OpenAI, Ilya ameondoka kwenye board ya OAI kama chairman

Adam D'Angelo amebaki kwenye board za chini chini zinasema huyu jamaa nio chanzo cha yote, alikua ana-push sama atolewe


______
Employee wa openAI walitishia kuondoka kwa sababu kwenye contracts zao sama halihahidi kuwa atawapa share za openAI zenye thamani kati ya 10-50M USD, Kama sama angeondoka basi share zote zingekua worthless.

Chief AI engineers & researcher wote walio kuwa wamesha resign wamerudi.


-----
AI/ML/DL model zina kua build na mathematical model, kama umesoma statistics, mathematics for economics au econometrics una nafasi kubwa ya kuwa AI researcher maana model zinafanana sana, ukiongeza ujizi wa programming hasa PY, R na C++ unaweza kua na nafasi kwenye fild ya AI
 
Quick update:

Sama na Greg wamerudi OpenAI, Ilya ameondoka kwenye board ya OAI kama chairman

Adam D'Angelo amebaki kwenye board za chini chini zinasema huyu jamaa nio chanzo cha yote, alikua ana-push sama atolewe


______
Employee wa openAI walitishia kuondoka kwa sababu kwenye contracts zao sama halihahidi kuwa atawapa share za openAI zenye thamani kati ya 10-50M USD, Kama sama angeondoka basi share zote zingekua worthless.

Chief AI engineers & researcher wote walio kuwa wamesha resign wamerudi.


-----
AI/ML/DL model zina kua build na mathematical model, kama umesoma statistics, mathematics for economics au econometrics una nafasi kubwa ya kuwa AI researcher maana model zinafanana sana, ukiongeza ujizi wa programming hasa PY, R na C++ unaweza kua na nafasi kwenye fild ya AI
 
Haya sasa

Kumekucha huko marekani CEO wa chatgpt sama mda huu amafukuzwa kazi na management kwa kuonekana hayupo competent kwenye position ya uongozi ( CEO )

Ikumbukwe kwamba idea nzima ya chatGPT ilikua yake, development na programming amefanya yeye na rafiki zake


Kiufupi amafukuzwa kwenye kampuni yake mwenyewe


Pamoja na hayo Microsoft weme investment karibia $10 B, valuation ya openAi inakadiriwa kuwa $90 B. Mimi ni mmoja wa watu nilio tarajia microsoft wata ichukua openAI chini ya miaka miwili tokea product ya GPT iwe kwenye production



Funzo hapa kama wewe ni kijana kuwa makini mikataba unayoingia kama unashiriki hizi challenge za makampuni makubwa kama imbeju ya CRDB, Tigo Digital na ecobank ukienda kichwa kichwa ipo siku kampuni yako itaibiwa mchana kwepe na hautakua na lakufanya



==============
Quick update:

Sama na Greg wamerudi OpenAI, Ilya ameondoka kwenye board ya OAI kama chairman

Adam D'Angelo amebaki kwenye board za chini chini zinasema huyu jamaa nio chanzo cha yote, alikua ana-push sama atolewe


______
Employee wa openAI walitishia kuondoka kwa sababu kwenye contracts zao sama halihahidi kuwa atawapa share za openAI zenye thamani kati ya 10-50M USD, Kama sama angeondoka basi share zote zingekua worthless.

Chief AI engineers & researcher wote walio kuwa wamesha resign wamerudi.


-----
AI/ML/DL model zina kua build na mathematical model, kama umesoma statistics, mathematics for economics au econometrics una nafasi kubwa ya kuwa AI researcher maana model zinafanana sana, ukiongeza ujizi wa programming hasa PY, R na C++ unaweza kua na nafasi kwenye fild ya AI
Ingekuwa bongo, ukifukuzwa kazi, kuna kenge wanakuambia kwanini usiende kujiajiri tu, au kuna wale mbulu kenge wanaoumiza vichwa vijana wetu walimaliza vyuo na shahada zao za uhandisi, IT, computa, kwa maneno, nendeni mjiajiri msisubili kuajiliwa.
Sasa huko majuu,mbobezi wa IT kafukuzwa kazi kampuni, Moja, kaenda kuajiliwa nyingine, sasa jiulize kwanini asijiajiri, maana kama mpunga anao wa kutosha!
Hili liwe somo,kwa hapa bongo, kwamba mkiona sie na maujuzi yetu tunaajiliwa, sio kwamba hatuwezi kujiajili, ni kwamba sokoni kuna fulsa zinazohitaji watu wenye ujuzi na uzoefu kama wetu, kiasi kwamba hatuna mshindani!
 
Ingekuwa bongo, ukifukuzwa kazi, kuna kenge wanakuambia kwanini usiende kujiajiri tu, au kuna wale mbulu kenge wanaoumiza vichwa vijana wetu walimaliza vyuo na shahada zao za uhandisi, IT, computa, kwa maneno, nendeni mjiajiri msisubili kuajiliwa.
Sasa huko majuu,mbobezi wa IT kafukuzwa kazi kampuni, Moja, kaenda kuajiliwa nyingine, sasa jiulize kwanini asijiajiri, maana kama mpunga anao wa kutosha!
Hili liwe somo,kwa hapa bongo, kwamba mkiona sie na maujuzi yetu tunaajiliwa, sio kwamba hatuwezi kujiajili, ni kwamba sokoni kuna fulsa zinazohitaji watu wenye ujuzi na uzoefu kama wetu, kiasi kwamba hatuna mshindani!
Sama amejiajiri kwa kuanzisha OpenAi kilichotokea ni mayokeo ya EXIT PLAN yake alovyoiweka
 
Ingekuwa bongo, ukifukuzwa kazi, kuna kenge wanakuambia kwanini usiende kujiajiri tu, au kuna wale mbulu kenge wanaoumiza vichwa vijana wetu walimaliza vyuo na shahada zao za uhandisi, IT, computa, kwa maneno, nendeni mjiajiri msisubili kuajiliwa.
Sasa huko majuu,mbobezi wa IT kafukuzwa kazi kampuni, Moja, kaenda kuajiliwa nyingine, sasa jiulize kwanini asijiajiri, maana kama mpunga anao wa kutosha!
Hili liwe somo,kwa hapa bongo, kwamba mkiona sie na maujuzi yetu tunaajiliwa, sio kwamba hatuwezi kujiajili, ni kwamba sokoni kuna fulsa zinazohitaji watu wenye ujuzi na uzoefu kama wetu, kiasi kwamba hatuna mshindani!
Ni mmoja wa co-founder wa OAI, sama amejiajiri.
Sama amejiajiri kwa kuanzisha OpenAi kilichotokea ni mayokeo ya EXIT PLAN yake alovyoiweka
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom