Founder na aliekua CEO wa Open AI (chatGPT) Sam Altman amafukuzwa kazi na management

Founder na aliekua CEO wa Open AI (chatGPT) Sam Altman amafukuzwa kazi na management

Ingekuwa bongo, ukifukuzwa kazi, kuna kenge wanakuambia kwanini usiende kujiajiri tu, au kuna wale mbulu kenge wanaoumiza vichwa vijana wetu walimaliza vyuo na shahada zao za uhandisi, IT, computa, kwa maneno, nendeni mjiajiri msisubili kuajiliwa.
Sasa huko majuu,mbobezi wa IT kafukuzwa kazi kampuni, Moja, kaenda kuajiliwa nyingine, sasa jiulize kwanini asijiajiri, maana kama mpunga anao wa kutosha!
Hili liwe somo,kwa hapa bongo, kwamba mkiona sie na maujuzi yetu tunaajiliwa, sio kwamba hatuwezi kujiajili, ni kwamba sokoni kuna fulsa zinazohitaji watu wenye ujuzi na uzoefu kama wetu, kiasi kwamba hatuna mshindani!
Unaujuzi Gani lofa wewe wa kujilinganisha na Sam Altaman! Yani umeajiriwa sehemu huko Halmashauri unakuja kuropoka hapa eti na yeye kaajiriwa!


Mtu alikuwa Moja ya waanzilishi wa Open AI unakuja kusema alikuwa kaajiriwa!


Tangu lini mtu alieajiriwa akawa na Hisa!


Wewe hapo halmashauri ya urambo una Hisa ?
 
Sama amejiajiri kwa kuanzisha OpenAi kilichotokea ni mayokeo ya EXIT PLAN yake alovyoiweka
Lipumbavy Hilo halielewi hayo ndio mapumbavu yamejazana serikalini.


Halijui hata Open AI ilianza vipi
 
Haya sasa

Kumekucha huko marekani CEO wa chatgpt sama mda huu amafukuzwa kazi na management kwa kuonekana hayupo competent kwenye position ya uongozi ( CEO )

Ikumbukwe kwamba idea nzima ya chatGPT ilikua yake, development na programming amefanya yeye na rafiki zake


Kiufupi amafukuzwa kwenye kampuni yake mwenyewe


Pamoja na hayo Microsoft weme investment karibia $10 B, valuation ya openAi inakadiriwa kuwa $90 B. Mimi ni mmoja wa watu nilio tarajia microsoft wata ichukua openAI chini ya miaka miwili tokea product ya GPT iwe kwenye production



Funzo hapa kama wewe ni kijana kuwa makini mikataba unayoingia kama unashiriki hizi challenge za makampuni makubwa kama imbeju ya CRDB, Tigo Digital na ecobank ukienda kichwa kichwa ipo siku kampuni yako itaibiwa mchana kwepe na hautakua na lakufanya



==============
Quick update:

Sama na Greg wamerudi OpenAI, Ilya ameondoka kwenye board ya OAI kama chairman

Adam D'Angelo amebaki kwenye board za chini chini zinasema huyu jamaa nio chanzo cha yote, alikua ana-push sama atolewe


______
Employee wa openAI walitishia kuondoka kwa sababu kwenye contracts zao sama halihahidi kuwa atawapa share za openAI zenye thamani kati ya 10-50M USD, Kama sama angeondoka basi share zote zingekua worthless.

Chief AI engineers & researcher wote walio kuwa wamesha resign wamerudi.


-----
AI/ML/DL model zina kua build na mathematical model, kama umesoma statistics, mathematics for economics au econometrics una nafasi kubwa ya kuwa AI researcher maana model zinafanana sana, ukiongeza ujizi wa programming hasa PY, R na C++ unaweza kua na nafasi kwenye fild ya AI
amefukuzwa kwenye management, amefukuzwa kazi au vyovyote, endapo hisa zake bado zipo humo kuna shida gani? kama kuna watu wengine wameweka hela yao hapo unafikiri watakubaliana na uzembe wake ili pesa yao waliyowekeza ipotee? watamfukuza tu. ila cha msingi ni kwamba anafukuzwa kwenye management ila hisa zake bado zipo. hakuna shida hapo. hata Billgate unaambiwa kuna kipindi almanusura afukuzwe microsoft.
 
Elon Musk na Microsoft wamemuwekea kunguni kijana.Sema kijana ni shoga ila ana akili nyingi sijui vile ni myahudi?
Pigia mstari wayahudi kwenye science na teknolojia , sector ya fedha wapo mbele kuliko jamii zote.
 
Pigia mstari wayahudi kwenye science na teknolojia , sector ya fedha wapo mbele kuliko jamii zote.
Hapo ni kweli,wale wana akili sema kwenye mafanikio wapo tayari kufanya lolote ili mambo yao yaende sawa.
 
Hapo ni kweli,wale wana akili sema kwenye mafanikio wapo tayari kufanya lolote ili mambo yao yaende sawa.
Duniani wenye mafanikio makubwa sana ni wale wanaopambana sana na walio tayari kurisk. Angalia makazini mara nyingi waliopata vyeo vya juu kabisa sio kwamba ni kuchapa kazi tu kumechangia kuna mengine pia....
Kinachonishangaza kwa wayahudi yaani pamoja na kuwa kuna wajapani, wahindi, waingereza, wachina na wengi kutoka jamii hizo wana akili sana still hawawafikii wayahudi hata....
Hii inaonyesha lazima wamepewa cha ziada na Mungu.
Yaan jews vyuo kama Stanford, IMIT ni nyumbani kwao na huwa wanadrop vilevile na kuendelea kuleta mapinduzi makubwa ya teknolojia.
Nilifanya kazi na mdada mmoja myahudi but alikuwa na uraia wa UK aisee alikuwa na akili nyingi mnoo yaan waingereza wenyewe walikuwa wanamshangaa halaf alikuwa mdogo tu kiumri.
 
Elon Musk na Microsoft wamemuwekea kunguni kijana.Sema kijana ni shoga ila ana akili nyingi sijui vile ni myahudi?
Not Microsoft, Labda yule kaburu Elon, na mashoga ndio mabilionea wa Silicon Valley na Hollywood, na nyuma ya makampuni yote makubwa duniani ni mashoga na wayahudi tuu
 
Hizo kazi ni za Watu wa Computer Science.. hizo course zingine ulizoweka hapo ni mbwembwe tu..
Watu wa Mathematics/ statics wanasoma ili kutumia tu.. Application of R/ python
Nilisoma regression, binary model (probit and logit) pamoja na tools za economic za measurement za data fitness R-squred, Chi, mambo ya distribution (normal etc), hadi characteristics za error term pamoja etc hayo yote nayajua tumesoma kwenye module moja, lecture alikua department ya business

Kama engineering tumesoma hayo yote ndani ya miezi 4, je aliosoma economics itakuaje?
 
Back
Top Bottom