Founder na aliekua CEO wa Open AI (chatGPT) Sam Altman amafukuzwa kazi na management

Unaujuzi Gani lofa wewe wa kujilinganisha na Sam Altaman! Yani umeajiriwa sehemu huko Halmashauri unakuja kuropoka hapa eti na yeye kaajiriwa!


Mtu alikuwa Moja ya waanzilishi wa Open AI unakuja kusema alikuwa kaajiriwa!


Tangu lini mtu alieajiriwa akawa na Hisa!


Wewe hapo halmashauri ya urambo una Hisa ?
 
Sama amejiajiri kwa kuanzisha OpenAi kilichotokea ni mayokeo ya EXIT PLAN yake alovyoiweka
Lipumbavy Hilo halielewi hayo ndio mapumbavu yamejazana serikalini.


Halijui hata Open AI ilianza vipi
 
amefukuzwa kwenye management, amefukuzwa kazi au vyovyote, endapo hisa zake bado zipo humo kuna shida gani? kama kuna watu wengine wameweka hela yao hapo unafikiri watakubaliana na uzembe wake ili pesa yao waliyowekeza ipotee? watamfukuza tu. ila cha msingi ni kwamba anafukuzwa kwenye management ila hisa zake bado zipo. hakuna shida hapo. hata Billgate unaambiwa kuna kipindi almanusura afukuzwe microsoft.
 
Elon Musk na Microsoft wamemuwekea kunguni kijana.Sema kijana ni shoga ila ana akili nyingi sijui vile ni myahudi?
Pigia mstari wayahudi kwenye science na teknolojia , sector ya fedha wapo mbele kuliko jamii zote.
 
Pigia mstari wayahudi kwenye science na teknolojia , sector ya fedha wapo mbele kuliko jamii zote.
Hapo ni kweli,wale wana akili sema kwenye mafanikio wapo tayari kufanya lolote ili mambo yao yaende sawa.
 
Hapo ni kweli,wale wana akili sema kwenye mafanikio wapo tayari kufanya lolote ili mambo yao yaende sawa.
Duniani wenye mafanikio makubwa sana ni wale wanaopambana sana na walio tayari kurisk. Angalia makazini mara nyingi waliopata vyeo vya juu kabisa sio kwamba ni kuchapa kazi tu kumechangia kuna mengine pia....
Kinachonishangaza kwa wayahudi yaani pamoja na kuwa kuna wajapani, wahindi, waingereza, wachina na wengi kutoka jamii hizo wana akili sana still hawawafikii wayahudi hata....
Hii inaonyesha lazima wamepewa cha ziada na Mungu.
Yaan jews vyuo kama Stanford, IMIT ni nyumbani kwao na huwa wanadrop vilevile na kuendelea kuleta mapinduzi makubwa ya teknolojia.
Nilifanya kazi na mdada mmoja myahudi but alikuwa na uraia wa UK aisee alikuwa na akili nyingi mnoo yaan waingereza wenyewe walikuwa wanamshangaa halaf alikuwa mdogo tu kiumri.
 
Elon Musk na Microsoft wamemuwekea kunguni kijana.Sema kijana ni shoga ila ana akili nyingi sijui vile ni myahudi?
Not Microsoft, Labda yule kaburu Elon, na mashoga ndio mabilionea wa Silicon Valley na Hollywood, na nyuma ya makampuni yote makubwa duniani ni mashoga na wayahudi tuu
 
Hizo kazi ni za Watu wa Computer Science.. hizo course zingine ulizoweka hapo ni mbwembwe tu..
Watu wa Mathematics/ statics wanasoma ili kutumia tu.. Application of R/ python
Nilisoma regression, binary model (probit and logit) pamoja na tools za economic za measurement za data fitness R-squred, Chi, mambo ya distribution (normal etc), hadi characteristics za error term pamoja etc hayo yote nayajua tumesoma kwenye module moja, lecture alikua department ya business

Kama engineering tumesoma hayo yote ndani ya miezi 4, je aliosoma economics itakuaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…