pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
joto la jiwe hapa sasa ndo huwa unachapia zile link zako uchwara, za Kenya is a failed state! I laugh in Mandarin! 😀😀😀 Chizi kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuelewa kwasababu Ubongo wako ulikosa lishe bora ulipokua mtoto, njaa haikuanza leo huko Kenya, hayo ndiyo madhara ya muda mrefu yanayojitokea kama hukupata lishe bora ulipokua mtoto, ninakuletea link usome uone ni kwa kiasi gani Tanzania inauza chakula nchi za SADC baada ya Zimbabwe kuporomoka katika uzalishaji wa chakula.Eti mnalisha SADC? Maskini wa kutupwa kama Tz, analisha nchi tajiri zaidi yake. Mbona hizi hesabu ni kama zile za 1+1=11? 🙂
Yep! Pale Namanga nimeona unga kutoka Tanzania, ila zinaishia tu hapo hapo Namanga town. Nadhani ni kwa sababu ya bei, haileti faida kubwa. Bora ungonje hadi bei ya unga itakapopanda huku Kenya.Vipi inawezekana kuleta unga Kenya instead of mahindi?
Ameniambia nimwakilishe, anakuja hivi karibuni! 😀Kwenye mada kama hii yule kunguru mk254 huwezi kumuona[emoji23]
[emoji1] [emoji1] kwa hyo mahindi ya zambia ,Uganda na mexico hayatoshi?Nyinyi ndo mlisema hamtauza mahindi, eti mnatengeneza viwanda kwanza, ili muuze unga wa mahindi. Viwanda bado, sasa mahindi yakiharibika ndo mnataka Kenya iwe dampo? Wakati jirani zetu Uganda na pia Zambia, S.A na Mexico wana mahindi yao pia, ambayo yapo freshi na wanayauza kwa bei nafuu? Uswahili utawaua!
Africa: Tanzania Becomes Sole Beans Producer, Feeding 10 CountriesEti mnalisha SADC? Maskini wa kutupwa kama Tz, analisha nchi tajiri zaidi yake. Mbona hizi hesabu ni kama zile za 1+1=11? 🙂
joto la jiwe hapa sasa ndo huwa unachapia zile link zako uchwara, za Kenya is a failed state! I laugh in Mandarin! 😀😀😀 Chizi kabisa!
I think I should call myself a prophet! 😀Africa: Tanzania Becomes Sole Beans Producer, Feeding 10 Countries
Soma hiyo article utagundua Tanzania sio level yenu, wakati ninyi hamna uwezo hata kujilisha wenyewe.
Kwani Tz huwa manuza mahindi yenu yote? We jamaa bana, hiyo ni mifano tu ya nchi ambazo Kenya ina makubaliano ya kununua mahindi 'surplus' kwao, wakati wanayo. Sasa rudi ukalale, kojoa kwanza.[emoji1] [emoji1] kwa hyo mahindi ya zambia ,Uganda na mexico hayatoshi?
maana kuna njaa huko.
50% of your legumes comes from Tanzania, nine other southern African countries depend entirely on our legumes, banana, maize and fruits, Kenya you can't even feed your citizen leave alone Somalia and Ethiopia which are your close neighbours. StupidI think I should call myself a prophet! 😀
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] .kuna mdau kasema hapo juu mmewekeza kwenye chai na maua.ugali kwenu sio inshu.Kwani Tz huwa manuza mahindi yenu yote? We jamaa bana, hiyo ni mifano tu ya nchi ambazo Kenya ina makubaliano ya kununua mahindi 'surplus' kwao, wakati wanayo. Sasa rudi ukalale, kojoa kwanza.
watakunywa chai wamesema.50% of your legumes comes from Tanzania, nine other southern African countries depend entirely on our legumes, banana, maize and fruits, Kenya you can't even feed your citizen leave alone Somalia and Ethiopia which are your close neighbours. Stupid
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] hovyo sana hawa jamaa, kwenye uzalishaji wa chakula wanasingizia ukame, alshaabab, na vitu vingine, lakini chai na maua wanaendelea kuzalisha hawasingizii ukame.watakunywa chai wamesema.
Sidhani kama amekuelewa lakini. Kwake hilo ni fumbo kabisaMtanzania mwenzako anaulizia fursa za kibiashara, alafu we unamjibu kwa pumba. Anayemzuia asafirishe 'mahindi yake' hadi kwenye soko za Kenya ni wakenya? Jione!
Akili zao zinatosha tu kwenye magazeti ya umbea, wa sijui mondi na zari. Kwenye maswala ya fursa za kibiashara vichwa vyao huwa vinaanza kuuma! 😀Sidhani kama amekuelewa lakini. Kwake hilo ni fumbo kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nilijua mmeacha kununua.maana mlisema hayana hadhi kuliwa na wakenya.
Hahaha usinichekeshe. Hivi unadhani kuwa Tanzania imeendelea kiuchumi kushinda Kenya?Hivi wanajilinganisha kwa lipi na sisi?plz Kenyans,give us a break/
Kwani we hawala yake?Ameniambia nimwakilishe, anakuja hivi karibuni! 😀
Hahaha usinichekeshe. Hivi unadhani kuwa Tanzania imeendelea kiuchumi kushinda Kenya?
hivi maendeleo ya kiuchumi hayaendani na shibe za watu.?Hahaha usinichekeshe. Hivi unadhani kuwa Tanzania imeendelea kiuchumi kushinda Kenya?