Four million people in middle income Kenya are to die of hunger

joto la jiwe hapa sasa ndo huwa unachapia zile link zako uchwara, za Kenya is a failed state! I laugh in Mandarin! 😀😀😀 Chizi kabisa!
 
Eti mnalisha SADC? Maskini wa kutupwa kama Tz, analisha nchi tajiri zaidi yake. Mbona hizi hesabu ni kama zile za 1+1=11? 🙂
Huwezi kuelewa kwasababu Ubongo wako ulikosa lishe bora ulipokua mtoto, njaa haikuanza leo huko Kenya, hayo ndiyo madhara ya muda mrefu yanayojitokea kama hukupata lishe bora ulipokua mtoto, ninakuletea link usome uone ni kwa kiasi gani Tanzania inauza chakula nchi za SADC baada ya Zimbabwe kuporomoka katika uzalishaji wa chakula.
 
Vipi inawezekana kuleta unga Kenya instead of mahindi?
Yep! Pale Namanga nimeona unga kutoka Tanzania, ila zinaishia tu hapo hapo Namanga town. Nadhani ni kwa sababu ya bei, haileti faida kubwa. Bora ungonje hadi bei ya unga itakapopanda huku Kenya.
 
[emoji1] [emoji1] kwa hyo mahindi ya zambia ,Uganda na mexico hayatoshi?
maana kuna njaa huko.
 
[emoji1] [emoji1] kwa hyo mahindi ya zambia ,Uganda na mexico hayatoshi?
maana kuna njaa huko.
Kwani Tz huwa manuza mahindi yenu yote? We jamaa bana, hiyo ni mifano tu ya nchi ambazo Kenya ina makubaliano ya kununua mahindi 'surplus' kwao, wakati wanayo. Sasa rudi ukalale, kojoa kwanza.
 
Kwani Tz huwa manuza mahindi yenu yote? We jamaa bana, hiyo ni mifano tu ya nchi ambazo Kenya ina makubaliano ya kununua mahindi 'surplus' kwao, wakati wanayo. Sasa rudi ukalale, kojoa kwanza.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] .kuna mdau kasema hapo juu mmewekeza kwenye chai na maua.ugali kwenu sio inshu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…