joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
That is not GoK, Kenyans are too proud, will never axcept that.Probably raise taxes, cut spending in other non essential sectors.
That is not GoK, Kenyans are too proud, will never axcept that.
Mimi Mahali nipo ni two hours behind East african time. Wewe ndio unastahili kulala ni usiku sana huko. Lakini point yangu ni simple, kama wewe umekopa pesa na ukaamua hutanunua chakula nayo bali utalipa rent nayo. Shida iko wapi? Chakula mtu atajipanga tu. Lakini ni lazima Kenya tumalize hii mambo ya njaa once and for all. Around 3 million people ndio wako njaa in a country of 47 million na wewe uko hapa usiku na mchana ukisema wakenya wote wanakufa njaa.Kwahiyo wewe kama huna hela na unategemea kwenda kukopa unajihesabu una pesa?, nani anayehesabika hana pesa?, unataka kuchekesha watu waliolala wewe[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Jamaa unapenda nchi yako sana. Hapo ninakupa pongezi. Lakini Kenya inacheza ligi tofauti pamoja na mashida hayo yote.Kwahiyo wewe kama huna hela na unategemea kwenda kukopa unajihesabu una pesa?, nani anayehesabika hana pesa?, unataka kuchekesha watu waliolala wewe[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Ati ukope Kwa ajili ya SGR halafu utumie kulisha wenye njaa! Sijawahi ona! Unajua mikopo huwa na terms!?Kwahiyo wewe kama huna hela na unategemea kwenda kukopa unajihesabu una pesa?, nani anayehesabika hana pesa?, unataka kuchekesha watu waliolala wewe[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Nyinyi ni dumping ground ya SADC si hata Sukari mnaingiza 300,000 tonnes from hiyo block yenyu na vile mnajidai wakulima waliobobea tena tax free? You are a poor malnourished people whose major products are cassavas(poor man's starch filled bread)Tuna soko kubwa sana la vyakula vyetu katika nchi za SADC, kumbuka kwamba Tanzania tunalisha nchi tisa kusini mwa Afrika, Kenya ni soko dogo sana. Mikoa inayozalisha vyakula kwa wingi Tanzania ipo kusini, kwahiyo ni rahisi kufanya biashara na nchi za kusini kuliko kaskazini, hatulitegemei sana soko la kazkazini.
Pelekeni Kule SADC ama supply outstrips demand? Zambia wana Mahindi yao vile vile SA, Malawi na usisahau Botswana hawawezi nunua toka kwenu SA ikiwa, you are a useless foreigner to them. Ndio sababu Tz ni a poor country with lots of food with no one to sell to and with viwonders to process food products.Huyo bwege wao si afungue mipaka tuwapelekee mahindi huku yanaoza tu maghalani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Waacheni jamani wanalima maua chai na kahawa kuwalisha wazungu.
pole sana msee. umeandika kwa huruma sana.unataka 3 million wafe ndio ufurahi sio? akili za kima hizi
hasira hii. [emoji23] [emoji23]So pathetic that you look to divert attention with the thread title,4 million to die?Are you crazy or thick headed?
Tanzania Now Sole Beans Producer, Feeding 10 African CountriesNyinyi ni dumping ground ya SADC si hata Sukari mnaingiza 300,000 tonnes from hiyo block yenyu na vile mnajidai wakulima waliobobea tena tax free? You are a poor malnourished people whose major products are cassavas(poor man's starch filled bread)
UN agencies are failing severely malnourished children in Tanzania
https://www.twaweza.org/uploads/files/Fighting Malnutrition English(1).PDF
Hapo uko sahihi. Mikopo huwa ina terms.Ati ukope Kwa ajili ya SGR halafu utumie kulisha wenye njaa! Sijawahi ona! Unajua mikopo huwa na terms!?
Nina swali kwako professor. Nauliza kwa heshima kubwa. Kama ingekuwa wewe ndio una uwezo wa kupanga bajeti ya Kenya, ungefanya nini ili kuimaliza shida ya njaa hapa Kenya chini ya miaka mitatu?Kumbuka njaa huwa sana sana kaskazini mwa Kenya kwa sababu ni jangwa. Ideas zako ni muhimu kwa huu mjadala, kama jirani mwemaTanzania Now Sole Beans Producer, Feeding 10 African Countries
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]
Very simple, kuachana na miradi mikubwa isiyo na umuhimu kwa sasa na kuwekeza nguvu katika miradi mikubwa ya umwagiliaji kama ule wa Galana.Nina swali kwako professor. Nauliza kwa heshima kubwa. Kama ingekuwa wewe ndio una uwezo wa kupanga bajeti ya Kenya, ungefanya nini ili kuimaliza shida ya njaa hapa Kenya chini ya miaka mitatu?Kumbuka njaa huwa sana sana kaskazini mwa Kenya kwa sababu ni jangwa. Ideas zako ni muhimu kwa huu mjadala, kama jirani mwema
Well I can just answer that all those projects are under way. Galana is in progress, the northern collector tunnels will supply water to Nairobi. The northern Kenya is affected because they are Pastoralists and rains have failed in three consecutive seasons. Huezi panda nyasi kwa irrigation. And finally TZ should be taking this opportunity to sell maize and empower farmers. There is a ready market but all you see in this forum is how you cannot sell. SMH.Very simple, kuachana na miradi mikubwa isiyo na umuhimu kwa sasa na kuwekeza nguvu katika miradi mikubwa ya umwagiliaji kama ule wa Galana.
Kenya needs only two big irrigation projects of the size of Gallana to be major producers of food in this region, those two projects hardly will cost Kenya $1.5B.
Why Lamu port now?, Mombasa port with current major expansion projects going on, can save the purose for the next 8 to 10yrs. Why Nairobi Mombasa high way, SGR and the current road with minor renovations are enough. Why spending too much on military hardware just to fight alshaabab who are using AK47?.
Why Nairobi roads are given too much attention while people of Nairobi have no water to drink and Turkana are dying of hunger?.
Sio lazima nchi nzima walime chakula, hata huku Tanzania sio kweli kwamba mikoa yote inalima chakula, kuna mikoa ni wavuvi na wengine wafugaji kama Turkana, ila wakulima wanazalisha chakula kingi cha kutosheleza nchi nzima na ziada tunauza nje ya nchi, wafugaji wanatosheleza mahitaji ya nchi nzima na ziada tunauza nje ya nchi, ndiyo maana ya specialization.
The lamu project came even before the current drought so... The msa highway? You have not see the jams when a mishap happens on that road.Very simple, kuachana na miradi mikubwa isiyo na umuhimu kwa sasa na kuwekeza nguvu katika miradi mikubwa ya umwagiliaji kama ule wa Galana.
Kenya needs only two big irrigation projects of the size of Gallana to be major producers of food in this region, those two projects hardly will cost Kenya $1.5B.
Why Lamu port now?, Mombasa port with current major expansion projects going on, can save the purose for the next 8 to 10yrs. Why Nairobi Mombasa high way, SGR and the current road with minor renovations are enough. Why spending too much on military hardware just to fight alshaabab who are using AK47?.
Why Nairobi roads are given too much attention while people of Nairobi have no water to drink and Turkana are dying of hunger?.
Sio lazima nchi nzima walime chakula, hata huku Tanzania sio kweli kwamba mikoa yote inalima chakula, kuna mikoa ni wavuvi na wengine wafugaji kama Turkana, ila wakulima wanazalisha chakula kingi cha kutosheleza nchi nzima na ziada tunauza nje ya nchi, wafugaji wanatosheleza mahitaji ya nchi nzima na ziada tunauza nje ya nchi, ndiyo maana ya specialization.
Nadhani aliyeuliza swali alikuwa na maana yake, ninahisi amenielewa vizuri sana. Mimi sijauliza swali lolote kwahiyo sikutegemea kujibiwa, lakini kama maelezo yako yangekuwa yanaendana na mahitaji ya muuliza swali la msingi ningeyabeba, lakini inaonekana upo nje kabisa ya mjadala huu, jaribu kurudi katika swali la Tony254, kisha uje kivyengine, kumbuka kwamba, njaa na upungufu wa chakula Kenya ni miaka yote, tangu Kenya ipate Uhuru wake, hiyo draught unayosema wewe imekuja tu kuongezea makali, Kenya haijawahi kujitosheleza kwa chakula.Well I can just answer that all those projects are under way. Galana is in progress, the northern collector tunnels will supply water to Nairobi. The northern Kenya is affected because they are Pastoralists and rains have failed in three consecutive seasons. Huezi panda nyasi kwa irrigation. And finally TZ should be taking this opportunity to sell maize and empower farmers. There is a ready market but all you see in this forum is how you cannot sell. SMH.
Ubandance of food needs to be complemented by good road transport otherwise food will go to waste along the way. Hizi point zako ni mingi but lack depth of facts . If you are the most reasonable Tanzanian in JF,I pity your vijiweni brothers. Education is the Key .Very simple, kuachana na miradi mikubwa isiyo na umuhimu kwa sasa na kuwekeza nguvu katika miradi mikubwa ya umwagiliaji kama ule wa Galana.
Kenya needs only two big irrigation projects of the size of Gallana to be major producers of food in this region, those two projects hardly will cost Kenya $1.5B.
Why Lamu port now?, Mombasa port with current major expansion projects going on, can save the purose for the next 8 to 10yrs. Why Nairobi Mombasa high way, SGR and the current road with minor renovations are enough. Why spending too much on military hardware just to fight alshaabab who are using AK47?.
Why Nairobi roads are given too much attention while people of Nairobi have no water to drink and Turkana are dying of hunger?.
Sio lazima nchi nzima walime chakula, hata huku Tanzania sio kweli kwamba mikoa yote inalima chakula, kuna mikoa ni wavuvi na wengine wafugaji kama Turkana, ila wakulima wanazalisha chakula kingi cha kutosheleza nchi nzima na ziada tunauza nje ya nchi, wafugaji wanatosheleza mahitaji ya nchi nzima na ziada tunauza nje ya nchi, ndiyo maana ya specialization.
Hio ni jibu nzuri sana na inaonyesha kwamba kama ungekuwa kiongozi, ungeleta mabadiliko mema. Inaonyesha pia wewe ni mtu mwenye akili. Nakubaliana na wewe kwa kila kitu umesema. Sasa, sisi waafrika tuna shida sana maana tunajua jambo tunalostahili kulifanya lakini huwa hatulifanyi. Usijali, ideas tunazo lakini, nchi nyingi zitazidi kuwa masikini kwa sababu viongozi hawajali masilahi ya wananchi wao. Naamini hii inaaply kwa nchi karibia zote za Afrika.Very simple, kuachana na miradi mikubwa isiyo na umuhimu kwa sasa na kuwekeza nguvu katika miradi mikubwa ya umwagiliaji kama ule wa Galana.
Kenya needs only two big irrigation projects of the size of Gallana to be major producers of food in this region, those two projects hardly will cost Kenya $1.5B.
Why Lamu port now?, Mombasa port with current major expansion projects going on, can save the purose for the next 8 to 10yrs. Why Nairobi Mombasa high way, SGR and the current road with minor renovations are enough. Why spending too much on military hardware just to fight alshaabab who are using AK47?.
Why Nairobi roads are given too much attention while people of Nairobi have no water to drink and Turkana are dying of hunger?.
Sio lazima nchi nzima walime chakula, hata huku Tanzania sio kweli kwamba mikoa yote inalima chakula, kuna mikoa ni wavuvi na wengine wafugaji kama Turkana, ila wakulima wanazalisha chakula kingi cha kutosheleza nchi nzima na ziada tunauza nje ya nchi, wafugaji wanatosheleza mahitaji ya nchi nzima na ziada tunauza nje ya nchi, ndiyo maana ya specialization.
Kwahiyo tuendelee kupokea food donation kutoka nchi zenye jangwa nchi nzima, hadi yesu atakaporudiUbandance of food needs to be complemented by good road transport otherwise food will go to waste along the way. Hizi point zako ni mingi but lack depth of facts . If you are the most reasonable Tanzanian in JF,I pity your vijiweni brothers. Education is the Key .