TANZIA Fr. Privatus Karugendo amefariki dunia

Mbona kwa msiba wa Magufuli mlitoa dhihaka na hamkupewa ban. Kunya anye kuku akinya bata kaharisha. Muombeeni Lissu maisha marefu aisee la sivyo mtapasuka siku hio
MOD: Dhihaka ya NYANI NGABU kwenye msiba wa Padri Privatus Karugendo imetufadhaisha wengi. Kwa mujibu wa taratibu za jf anastahili BAN ili tuomboleze kwa utulivu.
 
Mkoani huko mkuu,japo nilimkoseaga sana Padre,ila naamini alishanisamehe
Amina,mimi nimekuwa nae jirani huku tabata,pia amekuwa karibu na familia yetu kule karagwe mpaka nikadhani ni mnyambo
 
Amina,mimi nimekuwa nae jirani huku tabata,pia amekuwa karibu na familia yetu kule karagwe mpaka nikadhani ni mnyambo
Sijui Kabila lake ila najua ni mtu wa Kagera,alikua bado na anaishi na yule mke wake Dr?
 
Sijui Kabila lake ila najua ni mtu wa Kagera,alikua bado na anaishi na yule mke wake Dr?
Bado anaishi nae ndio wakifunga ndoa kabisa ,yule ni mhaya ila alikuwa jimbo la Rulenge-ngara
 
Bado anaishi nae ndio wakifunga ndoa kabisa ,yule ni mhaya ila alikuwa jimbo la Rulenge-ngara
Nampa pole sana Dr Rose kwani walianza mahusiano yule binti akiwa mdogo sana mpaka pale mtaani tulikua twashangaa sana,mara ya mwisho nilimuona Dr Temeke Hosp ila sikupata nafasi ya kuongea
 
Nampa pole sana Dr Rose kwani walianza mahusiano yule binti akiwa mdogo sana mpaka pale mtaani tulikua twashangaa sana,mara ya mwisho nilimuona Dr Temeke Hosp ila sikupata nafasi ya kuongea
Bado yuko Temeke,Mungu ampe nguvu
 
MOD: Naendelea kukushangaa na kujiuliza huu kitamaduni wa JF wa kudharau maiti mpaka lini. Piga BAN wanaokiuka utamaduni huu tuomboleze salama.
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…