TANZIA Francis Mtega, Mbunge wa Mbarali afariki dunia kwa ajali ya bodaboda

TANZIA Francis Mtega, Mbunge wa Mbarali afariki dunia kwa ajali ya bodaboda

Mbunge aliyekua akihudumu Kama mbunge wa kuchaguliwa kutoka Jimbo la Mbarali, ndugu Faransis Mtega amefariki Dunia Leo mchana Kwa ajali ya pikipiki iliyotokea asubuhi. Ndugu mtega alichaguliwa kuwa mbunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 alipokea kijiti toka Kwa Haroon pilimohamed. Ndugu mtega alizariwa 01/ 06/ 1959. Taarifa zaidi zitakujia kupitia hapa kwenye Uzi huu.

Mheshimiwa mtega amepata ajali akiwa na pikipiki yake aina ya TVS dhidi ya pwatila aina ya Siam Kubota. Mwili wa marehem umehamishwa toka hospital ya chimala na kupelekwa hospital ya wilaya kwaajili ya kuhifadhiwa.

Roho yake ipumzike mahala pema peponi.

View attachment 2675277
Lema aliposema Bodaboda ni kazi ya Laana CCM walimshambulia Kwa Matusi na Kejeli
 
Sio ajabu, majuu Waziri mkuu anatembelea baiskeli kabisa
David Cameron PM wa England (mstaafu) alikua anatumia baiskeli kutoka nyumbani kwake North Kensington mpaka kazini kwake Westminster.(Jiji la Ofisi za Serikali)
 

Attachments

  • cameron-cycle-415x488.jpg
    cameron-cycle-415x488.jpg
    28.4 KB · Views: 5
Alikua mbunge wa CCM sio mbunge wa Mbarali kwani hakuchaguliwa kwa haki.
The devil is a liar.
 
Back
Top Bottom