Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Alinyoosha mkono kukubali hojaNatafuta mchango wake kuhusu mkataba ovu wa Bandari kisha nitatoa salamu zangu za rambirambi.
Mwenye kujua mchango wake atuwekee hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alinyoosha mkono kukubali hojaNatafuta mchango wake kuhusu mkataba ovu wa Bandari kisha nitatoa salamu zangu za rambirambi.
Mwenye kujua mchango wake atuwekee hapa.
bandari haijauzwa na wala haito uzwa.Waambie wauza bandari zetu!!!
Umeongea ukweli kabisa kifo hakikwepekiMaisha yanavoisha yanafikirisha sana, inatafutwa sababu tu ya kuondokea duniani, mbunge na boda boda wapi na wapi!
Amefariki kifo Cha kikatili sana
Yawezekana wewe ni mwehubandari haijauzwa na wala haito uzwa.
ila uwekezaji kwenye Bandari yetu ni jambo la muhimu kwa vizazi vyetu.
wacha Serikali iendelee na mchakato wa uwekezaji ili uchumi wa nchi yetu ukuwe.
tuache porojo.
bila kuwasahau wazushi wanao zusha kuwa Bandari imeuzwa.Waambie wauza bandari zetu!!!
Utawanga sana,We mmachame usijidanganye.
View attachment 2675221Nafuatilia breaking story hii ya kifo cha huyo jamaa hapo [emoji1489], naona watanzania wamechafukwa huko mitandaoni aseee!.
Yaani wanashangilia sana kifo cha huyu mbunge kisa ni mwanaccm, wakihusisha na issue ya bandari.
NO, tuwe na subra kidogo ndg watanganyika!.
Wewe ni miongoni mwa Wana chadema wachache Sana wasioweza hata kujaa kwenye kiganja wanaojitambua na wenye utu na ubinadamu na wanaotambua kuwa masuala ya kifo hayana chama na hayahitaji uchama.Pole kwa Wafiwa
Hakuna haja ya CDM kushiriki kwenye hizi chaguzi chini ya tume hii ya kihuni. Kushiriki ni kupoteza rasilimali fedha na muda.Nasubiri kuona kampeni za CHADEMA kwenye hili jimbo maana wananchi wanahasira sana kuanzia sakata la ardhi na sasa DPW. Muda utaongea CCM itaona upepo unaelekea wapi
Kagonga meza sio makofi, hawapigagi makofi mle ni kugonga meza mpk zikomeKapiga makofi uuzwaji wa bandari
Huyo aloyesababisha hiyo ajali atakuwa bado anatimua mbiyo maana njagu wetu huwa hawaangalii nani mwenye kosaWandugu jimbo la Mbarali limebakiwa na pengo baada ya Mbunge wa Mbarali mheshimiwa tajwa hapo juu kuaga dunia baada ya kugongwa na pawatila akiwa kwenye pikipiki maeneo ya shambani!
"Ajali haina kinga"
Unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa maana kawatakia dua njema majizi ya kura?Wewe ni miongoni mwa Wana chadema wachache Sana wasioweza hata kujaa kwenye kiganja wanaojitambua na wenye utu na ubinadamu na wanaotambua kuwa masuala ya kifo hayana chama na hayahitaji uchama.
Mwenyezi MUNGU mwingi wa Rehema na fadhila akubaliki kwa moyo wako wa uungwana na upendo,moyo wa utanzania,moyo wenye hofu ya Mwenyezi Mungu,moyo wa kujuwa Duniani tu wapitaji,moyo wa kujuwa masula ya vifo humkumba yeeyote na hutua popote bila Jodi na moyo wa kujuwa Mwenyezi MUNGU humchukua yeyote bila kujali chama chake.
Hongera Sana kwa moyo wako huo,Endelea hivyo kuujaza moyo wako upendo,utu, uungwana, ubinadamu,hofu ya Mwenyezi Mungu,utanzania na huruma.
Achana na wanaoshangilia kwa kuwa tu hakuwa wa chama chao,.
Wewe siku zote Roho yako Ni ya paka aliyetelekezwaUnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa maana kawatakia dua njema majizi ya kura?
Sijawahi kuwa na urafiki hata wa kinafiki na majizi ya ccm.Wewe siku zote Roho yako Ni ya paka aliyetelekezwa
Wakimaliza kikao kaulize gharama ya repolishing ni sawa na kuchonga meza mpya kadhaaKagonga meza sio makofi, hawapigagi makofi mle ni kugonga meza mpk zikome
Wapinzani wangeungana wakaweka mgombea 1 jimbo la Mbarali.Mbunge aliyekua akihudumu Kama mbunge wa kuchaguliwa kutoka Jimbo la Mbarali, ndugu Faransis Mtega amefariki Dunia Leo mchana Kwa ajali ya pikipiki iliyotokea asubuhi. Ndugu mtega alichaguliwa kuwa mbunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 alipokea kijiti toka Kwa Haroon pilimohamed. Ndugu mtega alizariwa 01/ 06/ 1959. Taarifa zaidi zitakujia kupitia hapa kwenye Uzi huu.
Mheshimiwa mtega amepata ajali akiwa na pikipiki yake aina ya TVS dhidi ya pwatila aina ya Siam Kubota. Mwili wa marehem umehamishwa toka hospital ya chimala na kupelekwa hospital ya wilaya kwaajili ya kuhifadhiwa.
Roho yake ipumzike mahala pema peponi.
View attachment 2675277