Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona maelezo ni ya utatanishi? Mara alikuwa anaendesha mwenyewe mara alikuwa anaendeshwa nk nk
Mbona majeruhi wengine wa ajali hawatajwi?
Unajidanganya.Nawe muda mfupi ugomvi wetu mungu atautatua
Andika hapa ndoto zako za usiku ili kukicha uweze kutafsiriwaUnajidanganya.
Mkuu nyuzi zako mbn hatuwezi view maana Mimi huwa naptia hapo Juu profile kuongeza MAARIFA Sasa umefunga nadhani ungetufikiria kuhusu Jambo hili.Wanadamu hakuna tulijualo kuhusiana na maisha yetu. Nadhani tunayoyapanga siyo mipango bali ni matamanio. Mipango anayo aliyetuumba.
Poleni sana wafiwa. Hata katika nyakati ngumu kama hizi msipungukiwe na rehema za Mungu.
[emoji25][emoji25]Poleni saana sana ila kumbe na CCM nao wanakufA
We mmachame usijidanganye.Andika hapa ndoto zako za usiku ili kukicha uweze kutafsiriwa
Ndio utata uliopoMimi toka namjua,hajawahi kuendeshwa halafu wamegongana yeye alikua peke ake
Huyo ni mkulima wa miaka yote ndio maisha yakeUbahili wake bhana,mtu unaacha v8,range rover,pathfinder,rav4,pajero zote zipo parking unaenda kuchukua TVS..