myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Aisee..Natafuta mchango wake kuhusu mkataba ovu wa Bandari kisha nitatoa salamu zangu za rambirambi.
Mwenye kujua mchango wake atuwekee hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee..Natafuta mchango wake kuhusu mkataba ovu wa Bandari kisha nitatoa salamu zangu za rambirambi.
Mwenye kujua mchango wake atuwekee hapa.
Atapewa mjaneKwa haraka haraka ameacha milioni 658,000,0000
Ya mshahara, mafao na posho kwa miaka 2 na nusu iliyobaki mpaka 2025
Wazuri hawafi - mwisho wa kunukuu..😎Poleni saana sana ila kumbe na CCM nao wanakufA
Siyo mbaya amekufa siku ya birthday yakeSalaam,
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
View attachment 2675227
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
View attachment 2675242
Unadhani kuna Mbunge wa ccm anayempinga Mwenyekiti wao Samia?.Kwenye swala la bandari alihusika ?? . Tujue kabla hatujatoa tamko.
pole kwa wafiwa hiv yupo kwenye ile listi ya dubaiSalaam,
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
View attachment 2675227
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
View attachment 2675242
Kuna Jf member anashuhulikia kupata clip zake mkuu.pole kwa wafiwa hiv yupo kwenye ile listi ya dubai
Majimbo yote kupitia jiwe yako wazi mkuu.Wakati Upande mmoja (familia Inasikitika,) upande wa pili.....kuna makada wanafurahia hii...Jimbo liko Wazi sasa!
Atakosekanaje hakuna wa kumpinga Samia.pole kwa wafiwa hiv yupo kwenye ile listi ya dubai
Nawe muda mfupi ugomvi wetu mungu atautatuaAtakosekanaje hakuna wa kumpinga Samia.
Wabunge hawana njaa shida ni walafi.Kwa haraka haraka ameacha milioni 658,000,0000
Ya mshahara, mafao na posho kwa miaka 2 na nusu iliyobaki mpaka 2025