Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimamo wao ni kutoshiriki uchaguzi wowote bila katiba mpyaNasubiri kuona kampeni za CHADEMA kwenye hili jimbo maana wananchi wanahasira sana kuanzia sakata la ardhi na sasa DPW. Muda utaongea CCM itaona upepo unaelekea wapi
RIP.
Libe yuko wapi?
Watambana uraia.Yuko US arudi achukue jimbo maana kule wanamkubali sana na huu upepo wa bandari atachukua mapema
Watambana uraia.
ni kutoka CCM kwahiyo haina haja ya mchango wabunge wa CCM wanaeleweka wote upande wao ktk hiliNatafuta mchango wake kuhusu mkataba ovu wa Bandari kisha nitatoa salamu zangu za rambirambi.
Mwenye kujua mchango wake atuwekee hapa.
Bodaboda vs pawatila pole ya wafiwaMbunge wa jimbo la Mbarali mkoani mbeya, Francis Mtega amefariki Dunia kwa ajali jimboni kwake Mbarali.
Mbunge huyo amefariki Dunia kwa ajali ya pikipiki iliyotokea maeneo ya Chimala wilayani Mbarali baada ya kugongana na Pawatila akiwa anatokea shambani.
Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa mbunge huyo alikuwa anatokea shambani kwake na ndipo akakumbana na ajali hiyo.
TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIA
Aisee!!Alale alipojiandalia ila kama alipitisha uuzaji wa bandari yetu basi jina la bwana lihimidiwe.
Hakuna kushiriki mpaka Tume huruR.I.P. Jimbo lipo wazi. Chadema mkajipime sasa.
Hii post ipewe maua yake. Tusiangalie tulipo angukia bali tulipo jikwaa. Upuuzi wote founder ni JPM maana alitengeneza bunge lake ambalo ni sumu kwa taifa na kizazi chake. RIH JPMDP World ni jini... litatumaliza sote tulikemee lipotelee mbali.
Msalimie Magufuli mwambie bunge aliloliunda kwaajili yake sasa limegeuka zimwi linalokula watu..
Hiyo ndiyo iwe SALA KUUI YA KILA MTANZANIA ANAYECHUKUA USHETANI WA KUUZA NCHI TULIYOPEWA NA MUUMBA WETUHii post ilifutwa, mods walipoona ukweli wameileta,
Mungu Asante, ccm kufika 2025 wote wawe wamefukiwa
Hili nalo mkalitizameTUNAMSHUKURU mama kwa hili.