Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Haya maneni yanatoka kwako au nasoma vibayamsiba hauzoeleki.
tuishi kwa kutenda mema maana hujui siku wala saa roho yako itatolewa.
tuache ujeuri, kiburi, fitina na roho mbaya kwa binaadamu wenzako.
Mjuze mwarabu wa Dubai ashughulikiwe mazishi ya chawa huyoSalaam,
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
View attachment 2675227
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
Duuh...we jamaa mbona waongea lugha kali hivyo?Hii post ilifutwa, mods walipoona ukweli wameileta,
Mungu Asante, ccm kufika 2025 wote wawe wamefukiwa
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani mbeya, Francis Mtega amefariki Dunia kwa ajali jimboni kwake Mbarali.
Mbunge huyo amefariki Dunia kwa ajali ya pikipiki iliyotokea maeneo ya Chimala wilayani Mbarali baada ya kugongana na Pawatila akiwa anatokea shambani.
Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa mbunge huyo alikuwa anatokea shambani kwake na ndipo akakumbana na ajali hiyo.
Taarifa zaidi zitawajia hapa
Acha uchokoziR.I.P. Jimbo lipo wazi. Chadema mkajipime sasa.
😭Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani mbeya, Francis Mtega amefariki Dunia kwa ajali jimboni kwake Mbarali.
Mbunge huyo amefariki Dunia kwa ajali ya pikipiki iliyotokea maeneo ya Chimala wilayani Mbarali baada ya kugongana na Pawatila akiwa anatokea shambani.
Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa mbunge huyo alikuwa anatokea shambani kwake na ndipo akakumbana na ajali hiyo.
TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIA
MagambaChama gani?
Ahaaa hawa wazee wa DP wapumzike panapostahili,Ampelekee salamu Baba wa Taifa kuwa kule tushaa uza bandari bado mlima klm tu.Magamba