Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Headprefect
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Headprefect
Jamaa alikuwa mfuasi mkubwa wa mitano tena.Ni huzuni kubwa hapa dodoma mtu wa watu Mr Frank Malecela dreva wa RAS-Dom hatunae Tena amefariki taarifa zinasema Jana alikuwa ofsini baadae akawa analalamika kifua kinambana hv usiku hali ikawa mbaya akakimbizwa hospitali lkn ikawa bahati mbaya akaaga dunia.
ushasikia kifua kilikuwa kinambana unauliza tenaUsikute ni COVID-19
Au picha imekosewa ni ya RAS hiyo?Da mshikaji alikuwa anajipenda vizuri sn
Wapi nmeuliza?ushasikia kifua kilikuwa kinambana unauliza tena
Itakuwa ndiyo RAS mwenyewe huyoAu picha imekosewa ni ya RAS hiyo?
Rudia maelezo upya kusomaAu picha imekosewa ni ya RAS hiyo?
Hakunaga mnachokosa kusema, hata angekuwa hapo hapo Dodoma mngekuja na maneno mengine.Joe kakimbiria Dar
Dereva wa ma RAS wengi waliofanya kazi DodomaItakuwa ndiyo RAS mwenyewe huyo
Tuna tofauti gani na weye?Hakunaga mnachokosa kusema, hata angekuwa hapo hapo Dodoma mngekuja na maneno mengine.
Alikua anafuata kanuni?Da mshikaji alikuwa anajipenda vizuri sn
... dereva tu tena wa DAS ila kama afisa fulani hivi wa UN! RIP.Da mshikaji alikuwa anajipenda vizuri sn
Ndiyo Ukweli WenyeweDuh Dodoma huko jichungeni
Daah mkuu!!!sisi madereva wenzake tutamkumbuka