chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
r.i.p comrade,so sad.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You
Hio R ungeiweka kwa kerufi kubwa kuonwsha msisitizo. RIP dereva wetuJoe kakimbiria Dar
Mwambie akitoka huko moja kwa moja Dodoma hakuna kwenda Chattle.Hakunaga mnachokosa kusema, hata angekuwa hapo hapo Dodoma mngekuja na maneno mengine.
[emoji23][emoji23],anapitapita humu.ataupata ujumbe.naunga mkono hoja,akae dodoma maswala ya chattle tena,[emoji51][emoji20]Mwambie akitoka huko moja kwa moja Dodoma hakuna kwenda Chattle.
Joe kakimbiria Dar
Nini tatzo hasa la kifo chake?Ni huzuni kubwa hapa dodoma mtu wa watu Mr Frank Malecela dreva wa RAS-Dom hatunae Tena amefariki taarifa zinasema Jana alikuwa ofsini baadae akawa anajisikia vibaya hv usiku hali ikawa mbaya akakimbizwa hospitali lkn ikawa bahati mbaya akaaga dunia.
Kwa nani? Kwa nini?Mbona hamueleweki?
Sijazungumuzia wara kutaja mambo ya coronaKwahiyo dar hamna corona?
Kwa nani? Kwa nini?
Umeelewa nilichoandika au unawashwa tu? Acha kujistukiaAkiwa chato mnasema kakimbia,akiwa Dodoma mnasema kakimbia,akiwa dar Pia mnasema kakimbia.