TANZIA Frank Malecela, dereva wa RAS Dodoma afariki dunia

TANZIA Frank Malecela, dereva wa RAS Dodoma afariki dunia

Ni huzuni kubwa hapa dodoma mtu wa watu Mr Frank Malecela dreva wa RAS-Dom hatunae Tena amefariki taarifa zinasema Jana alikuwa ofsini baadae akawa anajisikia vibaya hv usiku hali ikawa mbaya akakimbizwa hospitali lkn ikawa bahati mbaya akaaga dunia.

Poleni wafiwa,huu mwili haukua na mazoezi na haukua na mfumo mzuri wa ulaji .

Hata hivyo kufa ni faradhi ,bwana ametoa ,bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe
 
Akiwa chato mnasema kakimbia,akiwa Dodoma mnasema kakimbia,akiwa dar Pia mnasema kakimbia.
Hatujasema amekimbia,ila itakuwa vyema apatikane ikulu dodoma.ikulu ya mkoani dar si imehamia makao ya nchi.haya Mambo ya kuendelea kuonekana mkoani tena ,si vyema Sana.
 
Ni huzuni kubwa hapa dodoma mtu wa watu Mr Frank Malecela dreva wa RAS-Dom hatunae Tena amefariki taarifa zinasema Jana alikuwa ofsini baadae akawa anajisikia vibaya hv usiku hali ikawa mbaya akakimbizwa hospitali lkn ikawa bahati mbaya akaaga dunia.


Apumzike kwa amani.

Sera mufilisi kuliko maelezo. Acha wa kufa wafe wa kuishi waishi.

Hapana kufanya jitihada yoyote.

Kesho wengine itakuwa zangu yetu.
 
Back
Top Bottom