Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujingaSasa kakimbia nini kumbe? Au unafikir wote humu ni watoto wenzio?
Anaefuata atakua mtumiaji wa TECNO KA7 na anaetembea na Waume za watu vibabu
Mtoto wa Malecela? PM mstaafu... dereva tu tena wa DAS ila kama afisa fulani hivi wa UN! RIP.
Poleni wafiwa,huu mwili haukua na mazoezi na haukua na mfumo mzuri wa ulaji .Ni huzuni kubwa hapa dodoma mtu wa watu Mr Frank Malecela dreva wa RAS-Dom hatunae Tena amefariki taarifa zinasema Jana alikuwa ofsini baadae akawa anajisikia vibaya hv usiku hali ikawa mbaya akakimbizwa hospitali lkn ikawa bahati mbaya akaaga dunia.
Kanuni zipi mkuu? nimeona body yake sukari+ BP inaweza kuwa alikuwa navyoAlikua anafuata kanuni?
Likizo ni haki ya mfanyakazi yoyote yuleNinavyomjua sasa hivi ataenda likizo![emoji23]
Everyday is Saturday............................... 😎
RIP Frank Malecela.Haya matatizo ya kupumua,inaelekea hapa Dodoma hapajatulia
Joe kakimbiria Dar
Kwani barakoa inazuia ugonjwa ganiii??Halafu anahamasisha wenzie wapuuze barakora akitoka huko break ni CHATO
Hatujasema amekimbia,ila itakuwa vyema apatikane ikulu dodoma.ikulu ya mkoani dar si imehamia makao ya nchi.haya Mambo ya kuendelea kuonekana mkoani tena ,si vyema Sana.Akiwa chato mnasema kakimbia,akiwa Dodoma mnasema kakimbia,akiwa dar Pia mnasema kakimbia.
Dodoma virus wapo sana sana.Duh Dodoma huko jichungeni
Mdogo wa Lemutuz? R.I.PNi huzuni kubwa hapa dodoma mtu wa watu Mr Frank Malecela dreva wa RAS-Dom hatunae Tena amefariki taarifa zinasema Jana alikuwa ofsini baadae akawa anajisikia vibaya hv usiku hali ikawa mbaya akakimbizwa hospitali lkn ikawa bahati mbaya akaaga dunia.
May be you or your sibling,it is His secret.
Ni huzuni kubwa hapa dodoma mtu wa watu Mr Frank Malecela dreva wa RAS-Dom hatunae Tena amefariki taarifa zinasema Jana alikuwa ofsini baadae akawa anajisikia vibaya hv usiku hali ikawa mbaya akakimbizwa hospitali lkn ikawa bahati mbaya akaaga dunia.