witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maniner zako...mbwehaaa lizeeAnaefuata atakua mtumiaji wa TECNO KA7 na anaetembea na Waume za watu vibabu
Hahahahaaaa weekend hii njoo Kivule uone wakurya wanavyofuga kuku na kulima mboga za majani kitaalam
jaman katkat ya msiba,mmeanza maneno magumu tena[emoji20][emoji35][emoji51]
Hakunaga mnachokosa kusema, hata angekuwa hapo hapo Dodoma mngekuja na maneno mengine.
Your next,... ni lazima ufe, chezea changamoto ya upumuaji[emoji1787][emoji1787][emoji23]Hahahahaaaa weekend hii njoo Kivule uone wakurya wanavyofuga kuku na kulima mboga za majani kitaalam
Sifa nyingine ya madanga ya uswazi mbali na umiliki wa TECNO Ni lugha zao. Hawana lugha ya staha na hupendelea kusikia Fulani kafa.
Madinda alikuwa Dereva wizara ya Kilimoenzi za jk. jina lake lilitajwa sana na wanamziki wa dansi, sikujua kuwa ni dereva, nilijua ni mfanyabiashara fulani mkubwa. Rip kwake.
nakumbuka pia hata fikiri madinda alikuwa ni dereva tu wa maliasili ila umaarufu wake haukuwa wa mchezomchezo.
Ndiyo huyo MubossMuboss Frank Malecela, sjui ndo yeye
Mslizia Mubosi!Pumzika kwa amani Frank Malecela
Jobu yuko wapiPumzika kwa amani Frank Malecela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwambie akitoka huko moja kwa moja Dodoma hakuna kwenda Chattle.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Anaefuata atakua mtumiaji wa TECNO KA7 na anaetembea na Waume za watu vibabu
Kujipenda gani na hilo tumbo alilonalo brathey?Da mshikaji alikuwa anajipenda vizuri sn
Ajari ya CoronaAjali ya gari dodoma au..?!
Liftin unapenda flat bell au six packs?😊Kujipenda gani na hilo tumbo alilonalo brathey?