Hakumalizia kuwa anawakubalia ama la? Ila nlisikia anadate na watasha tuAmeandika huko Twitter hivi, mnanisema vibaya wakati baba zenu na kaka zenu wanapigana vikumbo huko DM kwangu kunitongoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakumalizia kuwa anawakubalia ama la? Ila nlisikia anadate na watasha tuAmeandika huko Twitter hivi, mnanisema vibaya wakati baba zenu na kaka zenu wanapigana vikumbo huko DM kwangu kunitongoza
Acha Uk.....a weweKuna mashoga hutak hata kuwaangalia lakn huyu na hiyo shape kama toto la kinyayusa [emoji3]
Mikono alivoiweka [emoji706][emoji706][emoji2961][emoji2961]hapa kajitahid kidogo
Upuuzi ni kubisha jambo ambalo hujaelewa. Ungeelewa nilichomaanisha usingepoteza muda kubishana. Punguza mihemko.acha kutetea upuuuzi....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na awaumbue tyuuh. Wa TZ kwa unafiki hawajambo lol.Ameandika huko Twitter hivi, mnanisema vibaya wakati baba zenu na kaka zenu wanapigana vikumbo huko DM kwangu kunitongoza
Kino mzee. Sio Dar yote.Wanaume wa Dar
Mwenyewe unajiona umepatia sana kwa vile umeandika kizungu? Huyo ni shoga kama mashoga wengine.He is good person in general, he wasn't gay then. Still I don't believe he is. He used to hang out with girls and was artistic in music. I think we shouldn't judge .Seen alot of negativity about him lately, ila in person ni mwana sana. He is more of a dragqueen than gay. He even had a girlfriend backthen, things were fine. Unless you know time and courage.
Frank Maston picha zake zinanipa shida kuamini ninachokiona
Nimeziona baadhi ya picha za mtanzania mwenzetu na mwanaume mwenzetu Frank Maston. Ambae pia ni mwanamuziki. Picha zake zinanipa shida kubwa sana na sijui how ntarecover na nachokiona. Sikubaliani na hii kitu, wala sitaki pia kuhukumu lakini naamini jamii inaweza kutoa msaada kumtoa huko alipo...www.jamiiforums.com
Ameshapita hatua ya kuogopa mabomba yanayochepushwaHuyo apate vijana walioshiba ugali wamtatuwe rinda mpaka ajambe maji mbona atavaa kiume
Inashangaza sana wanaume dizaini hiiKwa hiyo wewe unakula hiyo mervy
Ukishajua? Ni mhaya..Naomba kuuliza huyu jamaa ni mwenyeji wa wap?,pls naomba nijibiwe
Kwanini wazazi walaumiwe... huyu unaambiwa kazaliwa hivyo na hormones za kike nyingi, sasa kama wazazi wana kosa gani? Hapa ni kumshukuru Mungu tu, usiombee ikutokee.. huyu sio kama hawa wengine unaona kabisa wanajifanyisha kwa ajili ya njaa, au waliharibiwa wakiwa watoto.Kabisa,
Wazazi wanapswa kulaumiwa,
Pia hata hizi shule zenye uzungu mwingi Ni Changamoto sana
Huenda ana Jinsia mbili. Iliyo active Sasa hivi ni ya Kike.Sema huyu ata tulipokuwa pale Tusiime alikuwa ni kama dem tu, anavyoongea, anavyotembea, anavyokimbia, marafiki zake, club aliyokuwa ni designing ambayo ni ya madem tu, ata ukimuona kwa mala ya kwanza ni kama unaona dem, walikuwa mbele yetu sana ila alikuwa dem tu tangu mwanzo, naskia hakuwa na mambo ya kishoga ila sahv na hizo picha 'mmmhhhh!!'
Ukisikia Woman trapped in man's body ndo huyu sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahAmeshapita hatua ya kuogopa mabomba yanayochepushwa
Some times huwa zinadundaa, na TZ Haipo hiyo, ni Nairobi pekee kwa East Africa inapatikana, gharama zake sasa ndo mtihani.Frank case yake ni abnormal kabisa.
Sema sijajua kwann familia yake hawakuchukua juhudi za matibabu. Maana kwao ni well-off family. Sijawahi kumdhihaki. Huyu ni tatizo toka utoto wake.
Sema nasikia zile sindano za kuboresha hormones ni aghali sana..kwetu hapa nchini sidhani kama zinapatikana.