Frank Maston picha zake zinanipa shida kuamini ninachokiona

Mwenyewe unajiona umepatia sana kwa vile umeandika kizungu? Huyo ni shoga kama mashoga wengine.
 
Frank case yake ni abnormal kabisa.
Sema sijajua kwann familia yake hawakuchukua juhudi za matibabu. Maana kwao ni well-off family. Sijawahi kumdhihaki. Huyu ni tatizo toka utoto wake.
Sema nasikia zile sindano za kuboresha hormones ni aghali sana..kwetu hapa nchini sidhani kama zinapatikana.
 
Kabisa,
Wazazi wanapswa kulaumiwa,
Pia hata hizi shule zenye uzungu mwingi Ni Changamoto sana
Kwanini wazazi walaumiwe... huyu unaambiwa kazaliwa hivyo na hormones za kike nyingi, sasa kama wazazi wana kosa gani? Hapa ni kumshukuru Mungu tu, usiombee ikutokee.. huyu sio kama hawa wengine unaona kabisa wanajifanyisha kwa ajili ya njaa, au waliharibiwa wakiwa watoto.
 
bila shaka wazazi wake wanajisikia raha sana.
Soon watapokea mahari..
 
Huenda ana Jinsia mbili. Iliyo active Sasa hivi ni ya Kike.
 
Some times huwa zinadundaa, na TZ Haipo hiyo, ni Nairobi pekee kwa East Africa inapatikana, gharama zake sasa ndo mtihani.

Mweeeeeeh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…