Frankie Maston - Kipaji chenye utata Sampuli ya Wanaume wa Dar

Frankie Maston - Kipaji chenye utata Sampuli ya Wanaume wa Dar

Mnatoka mbwinde huko na matatizo yenu mnakuja Dar kutafuta soko, hapa mnakutana na maluuni wenzenu wanawavuruga halafu mnajiita wanaume wa Dar #@%^^^*)(&^*^
Kweli Mkuu..

Wanatoka Mbwinde mbwinde Mswekeni....Sangakurunyese...
 
Duuu nadhani ni Ke kasoro matiti tu.... Mana nimerudia rudia video kuangalia hata hapo mbele Kwa Martin Kadinda kama panaishara kama ya Me sijaona naona flat kama kwa Madame Sepenga au yule Bossled wa Uganda
 
Huyu angekutana na yule jamaa kirindo wa TRA Zenj mambo yangekuwa hivi
 
daa huyu jamaa nilikuwa namuona pande za UDBS Mara nyingi, na alikuwa ananishangaza sana kuanzia uvaaji wake na Mara nyingi alikuwa anaongozana na wanafunzi wa kike tu, na amehitimu 2015 pale kama sijakosea.
 
Alitokea mkoa gani kabla ya kuja Dar? Tusiwaonee wanaume wa Dar kumbe tunaanza kuharibikia huku huku mikoani kwetu!
Nikirudi kwa huyu kiumbe, mimi namuona kama ni mwanamke mwenye ndevu na sio mwanaume. Labda kama kuna anayemfahamu kiundani atujuze.
 
Back
Top Bottom