Frankie Maston - Kipaji chenye utata Sampuli ya Wanaume wa Dar

Frankie Maston - Kipaji chenye utata Sampuli ya Wanaume wa Dar

Mmeongea yoote mmemaliza,lakini tatizo ni hizi nguo nazo vipi??,Mungu bado anaendelea kuhusika hapa!!!!!
 
huyu dogo nilimuacha pale udsm..nadhani ni.amezaliwa hivyo alivyo..Ana homoni za kike kabisa..Mungu amsaidie tu.
 
Na nyie Wazazi wenye vijisenti msiwape Raha sana watoto wenu mpaka mkawaharibu,.Waacheni watoto wapate Shuruba kwa kazi za nyumbani,Mara panda juu ya Dari kalete hiki mara Kajenge Banda la kuku au hata Kulima na Kazi zozote Ngumu.Siyo Mtoto kidogo tu mara Mlimani City kula Ice cream mara Kameenda picnick Zanzibar sijui kameenda Tution ya kichina Mara oooh Kanaliwa.
 
Na nyie Wazazi wenye vijisenti msiwape Raha sana watoto wenu mpaka mkawaharibu,.Waacheni watoto wapate Shuruba kwa kazi za nyumbani,Mara panda juu ya Dari kalete hiki mara Kajenge Banda la kuku au hata Kulima na Kazi zozote Ngumu.Siyo Mtoto kidogo tu mara Mlimani City kula Ice cream mara Kameenda picnick Zanzibar sijui kameenda Tution ya kichina Mara oooh Kanaliwa.
Mkuu sometimes homoni zinazingua
 
Back
Top Bottom