Frankie Maston - Kipaji chenye utata Sampuli ya Wanaume wa Dar

Frankie Maston - Kipaji chenye utata Sampuli ya Wanaume wa Dar

We acha tu. Tukiona hivi wenye watoto wadogo wa kiume unaumia roho na kuingiwa na woga.
Mungu hawaepushie mbali balaa hili watoto wetu.
Sana mkuu.Wakat naichek hiyo video basi katoto kangu ka kiume kakawa kanakuja ili kaangalie nikai cancel fasta na roho ikaniuma sana.Mungu atusaidiee .

Lakin kuhus huyu dogo mm nishakutana na habar zake kitambo kidogo from one my fellow worker ofcn.Yy ni closest person kwenye familia ya huyo Frankie
Ameish nao karib toka huyu dogo ni mtoto na kwakifup huyu dogo kazaliwa hivyo yan.Plus kwao kama sijasahau ni yy pekee ndio mtoto wa kiume the rest ni wanawake na yy ni kitu kama last born.
Hizo features alianza kuzi display toka utoton sana sana sasa sijui ni wazaz walipuuzia au hawakujua cha kufanya i dnt know.
My fellow workee alinionyesh mpaka picha za huyu dogo toka utoto, ni typically he was all like a her sisters na inaonekana he is transgender.All features and expression ni za KE but he got a Dick.Ndio maan hata sauti hiyo unaiskia sio kama ile ya mapunga tunavyoijua ..he typicall sounds like a girl sauti yake.

Ndivyo alivyo.HAJAANZIA UKUBWAN HIZO MAMBO.
 
Sana mkuu.Wakat naichek hiyo video basi katoto kangu ka kiume kakawa kanakuja ili kaangalie nikai cancel fasta na roho ikaniuma sana.Mungu atusaidiee .

Lakin kuhus huyu dogo mm nishakutana na habar zake kitambo kidogo from one my fellow worker ofcn.Yy ni closest person kwenye familia ya huyo Frankie
Ameish nao karib toka huyu dogo ni mtoto na kwakifup huyu dogo kazaliwa hivyo yan.Plus kwao kama sijasahau ni yy pekee ndio mtoto wa kiume the rest ni wanawake na yy ni kitu kama last born.
Hizo features alianza kuzi display toka utoton sana sana sasa sijui ni wazaz walipuuzia au hawakujua cha kufanya i dnt know.
My fellow workee alinionyesh mpaka picha za huyu dogo toka utoto, ni typically he was all like a her sisters na inaonekana he is transgender.All features and expression ni za KE but he got a Dick.Ndio maan hata sauti hiyo unaiskia sio kama ile ya mapunga tunavyoijua ..he typicall sounds like a girl sauti yake.

Ndivyo alivyo.HAJAANZIA UKUBWAN HIZO MAMBO.
Aseehhh!!!wazazi wake wanachukuliaje hii hali?yaani halafu mmegundua hii tabia wanawake ndani wakiwa wengi mtoto wa kiume alelewe kiume mkicheza mnamkosa
 
Sasa Yeye anapigwa pu. Mbu
Dah!inasikitisha,O-level nilisoma na chalii mmoja wa kichaga ana sura ya kike bonge la shepu na hipsi za maana tu,babilon kishezi hataki marafiki yuko kivyakevyake,sema alikua anapiga judo mixer kick boxer,mwili umekaza kweli kweli na ni mbabe vibaya,ukianzisha nae vita ujue haviishi.hakuna aliyethubutu kumtania,ole wako ujaribu utajuta.
 
Sana mkuu.Wakat naichek hiyo video basi katoto kangu ka kiume kakawa kanakuja ili kaangalie nikai cancel fasta na roho ikaniuma sana.Mungu atusaidiee .

Lakin kuhus huyu dogo mm nishakutana na habar zake kitambo kidogo from one my fellow worker ofcn.Yy ni closest person kwenye familia ya huyo Frankie
Ameish nao karib toka huyu dogo ni mtoto na kwakifup huyu dogo kazaliwa hivyo yan.Plus kwao kama sijasahau ni yy pekee ndio mtoto wa kiume the rest ni wanawake na yy ni kitu kama last born.
Hizo features alianza kuzi display toka utoton sana sana sasa sijui ni wazaz walipuuzia au hawakujua cha kufanya i dnt know.
My fellow workee alinionyesh mpaka picha za huyu dogo toka utoto, ni typically he was all like a her sisters na inaonekana he is transgender.All features and expression ni za KE but he got a Dick.Ndio maan hata sauti hiyo unaiskia sio kama ile ya mapunga tunavyoijua ..he typicall sounds like a girl sauti yake.

Ndivyo alivyo.HAJAANZIA UKUBWAN HIZO MAMBO.
Dah mkuu imenisikitisha kweli hii habari, IG page amepost picha ambapo amevaa nguo za kike kabisaa, kama ulivyosema pengine wazaz wake walipuuzia au hawakujua cha kufanya. Ila huu ni mtihani mkubwa sana kwa wazazi wake na si vizuri kuwalaumu maana najiuliza je ingebidi wampeleke hosp then aanze kutumia hormones za kiume kwa wingi toka utotoni ili kupunguza na hata kuondoa hizo features za kike? je matokeo yake yangekuwaje? je wazazi wake walikuwa na uwezo huo kipindi hicho cha kununua hayo mahormones na madawa mengine? Dah inauma huyu kijana ni ngumu kufanya tendo na mwanamke to the fullest, sasa hatimaye utakuta ashakuwa gay pengine. Aliwahi kuhojiwa na the Citizen ikaandikwa hivi

"Maston has big dreams, he wants to become an established artiste. “I’d like to fly around the world representing my country musically,” he says. But first, he wants to let his message of self-acceptance resonate with people. “I believe deep inside we all have things we do not understand, our own tribulations that we are trying to overcome or come to terms with,” he says.
As an artiste, and human being, he believes that self-acceptance is important. “Everyone is perfect in their own way. Believing in yourself and your abilities will enable you to trample over any doubts that you might have or that are cast your way,” Maston says."
 
Hii sio ya zamani hii ni mpya kabisa, mabishoo wa siku hizi unaweza ukakaa nao maskani ukajikuta umedisa,

mara eleni mara vipensi vya kuchanika dunia inatisha wanaume wanatamanisha.
 
Hivi sisi wa Dar es salaam tumewakosea nini lakini? Yaani unataka kuwaambia watu sisi tuko hivyo kweli? Dah!
 
Back
Top Bottom