Amen. Mungu anatupenda sana TANZANIA, hawezi ruhusu udhalimu kutamalaki.Mkuu nimefuatilia comment zako nimeshindwa kupita bila kusema chochote..
Mungu akubariki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen. Mungu anatupenda sana TANZANIA, hawezi ruhusu udhalimu kutamalaki.Mkuu nimefuatilia comment zako nimeshindwa kupita bila kusema chochote..
Mungu akubariki.
Hakika Mungu ni yeye jana hata milele....Amen. Mungu anatupenda sana TANZANIA, hawezi ruhusu udhalimu kutamalaki.
Nimekufuatilia comment zako mwisho nimegundua unafanana sana na mwalimu wa neno la MunguAmen. Mungu anatupenda sana TANZANIA, hawezi ruhusu udhalimu kutamalaki.
Naona aina ya kina Gwajima NDIO hio!!kama kigezo ni MUNGU!!ngoja Tuone!!Ukipitia
Ukitumia Njia hiyo ya kumuuliza MUNGU atakuonyesha hata huyo ajaye hutaumiza sana KICHWA kumjua.
[emoji23][emoji23][emoji23] Shetani ata .......hata walio wateule[emoji23][emoji23][emoji23].Aliyepo anaenda kukabidhi kiti hicho Kwa aliepitishwa na Aliye juu, Mungu kutawala maana yake ni Kuwa Atakalia kiti mtu ambaye atamuuliza Mungu ktk kila jambo ktk kuwaongoza watu wake.
Ok!tarehe 3/3/2023 kwamba:-wimbi la corona litakapokuwa kali Sana!na Wenye Dunia yao watakaposhinikiza chapa ya mnyama chanjo ipokelewe na kutumika Hapa nchini !!Naam :-na mama atakapo pingwa vilivyo kuhusu kupokea chanjo HIYO ndipo atakuwa under pressure na mzigo ukawa MZITO Sana na ataomba msaada wa kukabidhi mzigo huo!!Ndipo aliejuu atamchagua mjoli Wake Ili ashike nafasi hiyo!!Same date ifuatilie Kwa makini next yr.
Unaongea nini wewe!?Kwako wewe elimu ni vile vyeti eti?Mngekuwa na elimu kweli,nchi ingekuwa inajitegemea katika nyanja nyingi sana kitekinolojia,lakini ni hakuna kitu.Nikuambie kitu ambacho ujui sasa ni kwamba,yes mimi nimeajiria as a driver lakini nimefunga wiring katika majumba,ofisi na viwanda mbalimbali.Ni mmiliki wa kampuni ya ufundi umeme ndani ya Tz hii.Sasa usipende kuonesha ujinga wako kwa watu wenye akili zao.Ushauri
Ukiona mada zimekuzidi uwezo usiwe unachangia. Jf ni kwa GT's only.
Kwa elimu uliyo nayo na hiyo kazi yako ya udereva mengi humu utaona kama unaonewa. Hii thread hipo coded, GT ataweza kung'amua.
Sasa wewe kama umeshindwa kung'amua tu kuwa huo udereva wangu ni code yangu,ndiyo unaweza kweli kujiona unaelimu?Yaani wewe ni mweupe kama walivyo weupe kichwani watumishi wengi wa halmashauri huko pamoja na kujitangaza daily eti wana MAPHD.Ushauri
Ukiona mada zimekuzidi uwezo usiwe unachangia. Jf ni kwa GT's only.
Kwa elimu uliyo nayo na hiyo kazi yako ya udereva mengi humu utaona kama unaonewa. Hii thread hipo coded, GT ataweza kung'amua.
Tarehe hiyo Ina flat 333Ok!tarehe 3/3/2023 kwamba:-wimbi la corona litakapokuwa kali Sana!na Wenye Dunia yao watakaposhinikiza chapa ya mnyama chanjo ipokelewe na kutumika Hapa nchini !!Naam :-na mama atakapo pingwa vilivyo kuhusu kupokea chanjo HIYO ndipo atakuwa under pressure na mzigo ukawa MZITO Sana na ataomba msaada wa kukabidhi mzigo huo!!Ndipo aliejuu atamchagua mjoli Wake Ili ashike nafasi hiyo!!
NGOJA NIONE MAAJABU HAYA MUNGU UTUPE UZIMA!!!
Tarehe hiyo Ina flat 333
HALAFU mkuu personality kama hizi zinawaza unachowaza!!?Yaani kama Hawa :-kikwete,Rostam,kinana,Mama mwenyewe,Mabeyo,na vigogo wengi Sana waliopo na wasiopo KWENYE SERIKALI Hii!!?Yaani WANAWAZA Hayo au hawajui na wanaendelea na yao tu!!!Tarehe hiyo Ina flat 333
Mkuu kama mwendazake alimsikiliza Mungu kama Mungu halafu Mwisho wa siku akakosana na wenye NCHI yao ikawa historia je huyo mjoli AJAYE akimsikiliza Mungu kama mwendazake si atakosana na Wenye NCHI YAO wanaodai eti badala ya kujenga Taifa yeye alikazana kujenga NCHI!!unadhani atatoboa kweli KWENYE makuccha ya wenye NCHI yao!!??ninavoelewa wenye NCHI wanaongozwa na secret societies hasa shetani Sasa sijui KABISA!!!Naona mapambano Kati ya wenye Dunia wanaongozwa NCHI zote na kwenye Mbingu muumba wa vyote!!!KAZI KWELI kweli!!Ukipitia
Ukitumia Njia hiyo ya kumuuliza MUNGU atakuonyesha hata huyo ajaye hutaumiza sana KICHWA kumjua.
Mkuu!Haya mambo ya Mungu utaka mtu utulie sana na akili ifikiri kwa kina sana ili kupata ukweli.Mifano hii miwili itakupa picha ya upi ni ufalme wa Mungu na upi ni ufalme wa Shetani:-Yesu asema"Ufalme wa Mungu ni wa mbinguni,kilicho cha Kaisari apewe Kaisari".Kisha pitia kisa cha siku 40 nyikani hasa pale Yesu alipopelekwa na Shetani kuoneshwa miliki ya ulimwengu huu. Aisee!Si rahisi sana kuutabiri mpango wa Mungu katika ulimwengu huu.Mkuu kama mwendazake alimsikiliza Mungu kama Mungu halafu Mwisho wa siku akakosana na wenye NCHI yao ikawa historia je huyo mjoli AJAYE akimsikiliza Mungu kama mwendazake si atakosana na Wenye NCHI YAO wanaodai eti badala ya kujenga Taifa yeye alikazana kujenga NCHI!!unadhani atatoboa kweli KWENYE makuccha ya wenye NCHI yao!!??ninavoelewa wenye NCHI wanaongozwa na secret societies hasa shetani Sasa sijui KABISA!!!Naona mapambano Kati ya wenye Dunia wanaongozwa NCHI zote na kwenye Mbingu muumba wa vyote!!!KAZI KWELI kweli!!
Kiti kitakuwa cha moto kweli kweli kiasi kwamba watajikuta wanaanza kukibembeleza ili kiwaruhusu kukikalia lakini hakuna hata mmoja atakayeweza.Ndugu Tunakoelekea TANZANIA inasukwa upya Ili atawale Mwenye mamlaka. KATIBA ndo muhimu Kwa sasa kuliko hata mtu atakaekalia kiti hicho. KITI hicho ni Cha moto, hakikaliki. Ktk hao wa2 hayupo wa kukaa hapo!
Kumtegemea Mungu haitokani na hali halisi uliyonayo wewe bali ni kuamini kile unachoambiwa na kuamini.Uchaguzi wa mwaka 2015 usiku wa kuamkia siku ya uchaguzi nikaota ndoto sauti kubwa ikiniambia ETI nimekuchagua kama nilivomchagua Magufuli nilishangaa sanaa!!Huwa si sahau HIYO ndoto hadi leo!!japo kwa Sasa kwa Dunia Hii kutawala kwa kutegemea MUNGU ni ngumu Sana !!ngoja Tuone!!
Ukiwa unaomba usitumie nguvu zako wala akili zako. Ukiona unafanya hivyo jua siyo muda sahihi wa kuomba au mahali sahihi.MAOMBI mzigo MZITO wenye kuchosha Sana!Naweza ingia nikaomba KAWAIDA Sana tena bila nguvu nyingi!!Mungu Huwa mbali Sana wakati Mwingine!!
Iwapo huyu atakuja atakuwa yuko timamu sana kiroho kiasi kwamba atajulishwa mambo mengi yajayo ya maadui zake na kuyapangua, hapo ndipo wapanga mipango wataanza kumuogopa na kukubali kutii.Mkuu kama mwendazake alimsikiliza Mungu kama Mungu halafu Mwisho wa siku akakosana na wenye NCHI yao ikawa historia je huyo mjoli AJAYE akimsikiliza Mungu kama mwendazake si atakosana na Wenye NCHI YAO wanaodai eti badala ya kujenga Taifa yeye alikazana kujenga NCHI!!unadhani atatoboa kweli KWENYE makuccha ya wenye NCHI yao!!??ninavoelewa wenye NCHI wanaongozwa na secret societies hasa shetani Sasa sijui KABISA!!!Naona mapambano Kati ya wenye Dunia wanaongozwa NCHI zote na kwenye Mbingu muumba wa vyote!!!KAZI KWELI kweli!!
Naona kuna kufunga swaumu Hapa!!KAZI ipo AISEH!!Kumtegemea Mungu haitokani na hali halisi uliyonayo wewe bali ni kuamini kile unachoambiwa na kuamini.
Kuambiwa na Mungu na kutokea kwa ulichoambiwa inategemea juhudi zako binafsi katika utii na kuisikia sauti yake na kufuata maelekezo yake.
Unaweza kuambiwa na kusikia vizuri kabisa lakini kama huna bidii unaweza kukwamishwa vile vile. Wapingaji ni wengi sana mkuu , wengine wanaonekana kwa macho ya damu na nyama lakini wengine hawaonekani kabisa na hawa ndio wabaya zaidi.
Hivyo basi usiache kutia nia na juhudi kujua maana halisi ya ndoto yako.Kwasababu hata huo mwaka 2015 kuna ndoto tuliota imekuja kutokea 2021.Ndoto zina maana kubwa sana katika ulimwengu wa roho kwa ajili ya matokeo ya ulimwengu wa mwili.
Aseee , kweli kwenye ulimwengu wa roho kuna mambo yanaendelea ambayo n ngumu machoni kwa mwanadamu kuonaNdugu Unabii huo ulitimia,ingawa Si kama mlivotegemea, ni tarehe hiyo hiyo usiku MBOWE aliitwa Ikulu na kesho yake ulisikia NENO HAKI likitamkwa na viongozi wote. Na Akawa HURU!!!!
Kabisa mkuu ni kufunga kweli kweli.Lakini uwe na uhakika kwamba unajisikia kufunga na hujisikii kula tofauti na hapo utaumwa vidonda vya tumbo. Haya mambo huenenda kwa hekima na siyo kuiga.Naona kuna kufunga swaumu Hapa!!KAZI ipo AISEH!!