Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Amisa ajiandae kisaikolojia ee duu!!

Kuna mtu atatuongoza for 12 years kwa sababu katiba inadai mtu akishika nafasi ya uraisi for 2 years haiwi kaunted kama Term so anaweza kugombea 2 good terms.

Nahofia Mtu kuondoka na taifa kuingia tena kwenye Msiba wa kiongozi wa juu kabisa
 
Mpango au dr.husein Mwinyi!!
Last digit za miaka ya FDR ni 3 na 5, kwetu zita'comply na mwaka 2023 na 2035 ile kuleta hiyo miaka 12.

Raisi Mwinyi anakujaje kuwa tena Raisi Mwakani ?

Naichukua sana picha ya Jiwe ,
Unamanisha tutapata kiongozi mpya mwaka 2023, hafu atagombea awamu zijazo , swali ni who?
Asking who ? Is simple question sababu ni kama multiple choices unaweza kubashiri na kupatia. The question is How operation 'next stage' is going to be executed ? ama How is this operation 'next stage' is executed ?, Sababu pengine execution was already granted. Hayo ndio maswali
 
Amisa ajiandae kisaikolojia ee duu!!

Kuna mtu atatuongoza for 12 years kwa sababu katiba inadai mtu akishika nafasi ya uraisi for 2 years haiwi kaunted kama Term so anaweza kugombea 2 good terms.

Nahofia Mtu kuondoka na taifa kuingia tena kwenye Msiba wa kiongozi wa juu kabisa
Itatokea tu kama chenge akiwa speaker...... Samahani nimevujisha mchongo.....msimkate bana
 
Last digit za miaka ya FDR ni 3 na 5, kwetu zita'comply na mwaka 2023 na 2045 ile kuleta hiyo miaka 12.

Raisi Mwinyi anakujaje kuwa tena Raisi Mwakani ?


Asking who ? Is simple question sababu ni kama multiple choices unaweza kubashiri na kupatia. The question is How operation 'next stage' is going to be executed ama How is this operation 'next stage' is executed, Sababu pengine execution was already granted
Spika wa bunge---> Mabadiliko ya katiba-----> ?????
Mbona kama kuna namna 'tunasonga mbele' alafu sijui!!!
 
Kwa hio next stage operation itakuwa executed si mlisitisha nyie???au makubaliano namba 11 ya mikopo mliokubaliana nae amekiuka??ngoja tuone!!
Halafu siku nyingine acheni kufanya Mambo kwao kubahatisha hv mlifikiri nini kumpa Mwendazake nchi??na kwanini mkamuacha bi hangaya aendelee kuvurunda ???
 
Last digit za miaka ya FDR ni 3 na 5, kwetu zita'comply na mwaka 2023 na 2035 ile kuleta hiyo miaka 12.

Raisi Mwinyi anakujaje kuwa tena Raisi Mwakani ?


Asking who ? Is simple question sababu ni kama multiple choices unaweza kubashiri na kupatia. The question is How operation 'next stage' is going to be executed ? ama How is this operation 'next stage' is executed ?, Sababu pengine execution was already granted. Hayo ndio maswali
IMG_20220120_141800.jpg
 
Back
Top Bottom