Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Mleta mada ni zuzu la chadema
Na huyu siyo Chadema kbs, Chadema haijawahi kushika dola. Huyu ni CCM damu japo ni shabiki wa Jiwe maana mwenye uhusiano miradi hiyo inayozungumziwa na siyo Hangaya na wewe uliyemjibu ni shabiki wa Hangaya. Labda kuwasaidia wote,FDR aliheshimu haki za binadamu na alijenga taasisi imara za kibunge na mahakama,kwetu hatuna mwenye sifa hiyo ukimuondoa Nyerere aliyechukua nchi kutoka kwenye vumbi.
Ambacho hujaelewa hapo ni nini? Fungua ubongo huo
Siyo kweli ingekuwa angejiita ni wa awamu ya tano. Sasa yeye ni awamu ya Sita.Na kila awamu Ina vipindi viwili.
 
Na huyu siyo Chadema kbs, Chadema haijawahi kushika dola. Huyu ni CCM damu japo ni shabiki wa Jiwe maana mwenye uhusiano miradi hiyo inayozungumziwa na siyo Hangaya na wewe uliyemjibu ni shabiki wa Hangaya. Labda kuwasaidia wote,FDR aliheshimu haki za binadamu na alijenga taasisi imara za kibunge na mahakama,kwetu hatuna mwenye sifa hiyo ukimuondoa Nyerere aliyechukua nchi kutoka kwenye vumbi.

Siyo kweli ingekuwa angejiita ni wa awamu ya tano. Sasa yeye ni awamu ya Sita.Na kila awamu Ina vipindi viwili.
Ndio maana nimekuambia fungua ubongo, ila bado umeupiga kufuli.
Mama Samia kaanza 2021 anaaishia 2030 kwa mijibu wa katiba, hapo Ni miaka mingapi?
 
Aisee halafu strategy wanayotumia Sasa Ni Ile ya kuteua watoto wao waendelee pale wazee waliposhindwa.
Angalia majina ya WATENDAJI wa kata. Majina yanajirudia rudia tu.
Kamati zote za Kata zinaongozwa na wale wale wanaouza ardhi ya vijiji.
Duh!
 
Next stage execute opereshen. huyu jamaa alishawai leta mada kama hii badae akasema imestishwa na Leo anasema ipo inakuja manake kwa hesabu zake hii ya miaka 12 ni mwaka ujao 2023 ndo itakua .Mambo ni mengi kama ni hivo basi atkua Mpango.
Wapiga ramli ??!
 
Next stage execute opereshen. huyu jamaa alishawai leta mada kama hii badae akasema imestishwa na Leo anasema ipo inakuja manake kwa hesabu zake hii ya miaka 12 ni mwaka ujao 2023 ndo itakua .Mambo ni mengi kama ni hivo basi atkua Mpango.
Afya ya Mpango kizungumkuti!!this time hawatafanya ujinga wa kucheza patapotea!!!!
 
Lkn FDR angalau alikuwa intelligent man, hakubomoa USA bali alijenga USA, FDR alijenga Hoover Dam Bwawa la kuzalisha umeme wa Maji, kwetu Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu hata mwishowe kubomolewa, alijenga US Highway System ambayo alikopi kutoka NAZI Germany na mengine mengi, FDR hakukata umeme USA bali aliboresha, FDR hakuwaambia Viongozi wa USA waibe na kubomoa USA kwa kula kwa urefu wa kamba bali alikemea corruption na kujenga USA.

Hivyo wakati mwingine kuwa muangalifu unapojaribu kulinganisha mambo, kuna vitu havilingani na siyo sawa kuvilinganisha.
Wewe ndio hujaelewa mkuu, tafuta uzi mwingine huu ni mwendelezo wake!
 
Wakuu

Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.

Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc

Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.

Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.

Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Lakini nyie the state mnatukosea Sana!!kwanini mnafanya majaribio ya Maisha ya watu??kama hiki ulichoandika ndio halisi kwanini msingempa madaraka mtu wenu mapema hapo 2015 mkampa yule ambaye mlimuexcute Baada ya maumivu ya watz ya muda mrefu?? sasa leo mnataka kuanzia upya mageuzi kwanini wakati mageuzi ni machungu Sana??? Sasa hapo ni kama tunaanza mwanzo kabisa wakati nchi hii inamiaka 60 tangu tupate uhuru!!!mmeiacha ccm kama chama Cha mauaji na genge la mafisadi yanayobebana na kuitafuna nchi!!!Kama hayo mageuzi yanakuja basi yaje kwa nembo mpya ya chama coz CCM Ina damu nyingi Sana na kukosa uhalali wa kuendelea kupendwa na watz!!
 
Kwa mujibu wa ibara hizo.

2023 Rais ni Philip Mpango.

Atagombea tena 2025-2035

Ni kufanya miaka kuwa 12
Afya ya Mpango tangu apigwe na covid-19 nadhani sio ya kutegemea!ya Edo tuyaache kabisa!! LAKINI kwa series za vifo vya viongozi wa umma vilivyotokea Mpango hawezi akategemewa kutuvusha hadi hapo 2035 !!Labda Mwinyi junior ndio mwenye sifa tajwa kuwa intelligent,humble,patriotic etc!! Mkonga mpya wa Taifa wa network kule zenji unambeba Kama sifa tajwa za Tumia akili!!!
 
Mama anafanya kazi nzuri tunaona kuna neema kubwa huko mbeleni.
Najua chawa Wake wapo humu wakimtafuta wa kumvisha kengele!! LAKINI ukweli ni kwamba Mama amekiuka maagizo aliyopewa mwanzoni kabisa Operation ilipositishwa!! Nenda Kasome upya maagizo 18 aliyopewa mwanzoni kabisa!! amekiuka agizo la 11 kuhusu mikopo mikubwa!!Ndugai alitumwa aseme lakini IQ ndogo ya Mama hakutambua Ndugai kapata wapi ujasiri ule!!kaingia mkenge!!kama alivoingia mkenge kwenye gazeti la uhuru kuhusu kugombea kiti hapo 2025!!
 
Najua chawa Wake wapo humu wakimtafuta wa kumvisha kengele!! LAKINI ukweli ni kwamba Mama amekiuka maagizo aliyopewa mwanzoni kabisa Operation ilipositishwa!! Nenda Kasome upya maagizo 18 aliyopewa mwanzoni kabisa!! amekiuka agizo la 11 kuhusu mikopo mikubwa!!Ndugai alitumwa aseme lakini IQ ndogo ya Mama hakutambua Ndugai kapata wapi ujasiri ule!!kaingia mkenge!!kama alivoingia mkenge kwenye gazeti la uhuru kuhusu kugombea kiti hapo 2025!!

Nimekosa mimi nimekosa mimi nimekosa sana, hakutumwa na yeyote...ubaya ni upi kuona watoto wamejengewa madarasa? Miradi iliyoanzishwa ilikuwa mingi sana tena saana itaendelezwaje bila kukopa?

At least hata anatuambia kuwa tunakopa na anasema anafanyia nini.
 
Back
Top Bottom