Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Huu utabiri ukitimia nipigwe ban Jf.
Operation kusitishwa ilikua march 28,2021!huu Uzi ni WA January 2022!halafu juzi mwezi wa Saba akaja na ule usaliti wa jemedari wa marekani!akaandika JL1 is done 2 and 3 are next!!

Yoga anajaribu kuandika desember mwaka huu!

Ngoja tuone!

To me makonda is a game changer!
 
December
 
Uliusoma uzi wa mwisho waTumia akili kabla haujanyofolewa hapa?
Hapana sikuupata,
Nilisikia sikia comment za watu za kuunga unga wakiungusia.
Mission Desert naona ziiiii, bado miezi 2 mwaka tarajiwa uishe.
Halafu kingine BT naye ni mzee wa Dipu siteti na yeye ndiye mshika rimoti kwa sasa huku, so mipango ya Dipu siteti anajua na kutonya huku kwa mkojani fc.
Kwa mbali naona mission za BT kwa PK
 
 
BT mshika rimoti? Soma alama kwa utulivu mkuu. Huyo mzee anasingiziwa tu. Ngoma ngumu kila upande!, watu wapo busy mezani huku wakiangalia kwa kengeza na wengine kwa mawani. Rimoti haina mwenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…