NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Hilo hilo unalo waza ndio jema lenyewe kwa mfumo ulivopanga !coz hata vichaa kwenye taifa Wana kazi yake!!Makonda hawezi kuwa ktk accomplishment ya jambo lolote jema. Labda kama kuna ubaya unasukwa na yeye aje akatumika.
MkuuSidhani kama huu utabiri utatimia....
Ni kweli Mkuu, lakini naona zimebaki siku chache sana 3 iwe 4!Mkuu
Hawa jamaa hutoa taarifa baada ya kukamilisha mission!
Hivi taarifa inaweza kuwa hata Ina mwaka ndio inakuja kuandikwa!!
Ukipita wa desember bas!yoga anasema December!Ni kweli Mkuu, lakini naona zimebaki siku chache sana 3 iwe 4!
Otherwise hicho kipengele cha last digit (3 na 5), won't apply.
Au nilielewa vibaya?
Operation kusitishwa ilikua march 28,2021!huu Uzi ni WA January 2022!halafu juzi mwezi wa Saba akaja na ule usaliti wa jemedari wa marekani!akaandika JL1 is done 2 and 3 are next!!Huu utabiri ukitimia nipigwe ban Jf.
Haukuwa utabiri, ulikuwa mpango mkakati.Sidhani kama huu utabiri utatimia....
Wanazungumzia nini!?..kila nikizoom macho sielewiHuu utabiri ukitimia nipigwe ban Jf.
Kubinafsisha SGR.Wanazungumzia nini!?..
DecemberWakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
.December
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Mimi nahisi Deep state walibadilisha mipango yao waende tu na Mkojani fc hadi 2025.Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Uliusoma uzi wa mwisho waTumia akili kabla haujanyofolewa hapa?Mimi nahisi Deep state walibadilisha mipango yao waende tu na Mkojani fc hadi 2025.
Hapana sikuupata,Uliusoma uzi wa mwisho waTumia akili kabla haujanyofolewa hapa?
Uzi ulikua unasemaje mkuuUliusoma uzi wa mwisho waTumia akili kabla haujanyofolewa hapa?
Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
BT mshika rimoti? Soma alama kwa utulivu mkuu. Huyo mzee anasingiziwa tu. Ngoma ngumu kila upande!, watu wapo busy mezani huku wakiangalia kwa kengeza na wengine kwa mawani. Rimoti haina mwenyewe!Hapana sikuupata,
Nilisikia sikia comment za watu za kuunga unga wakiungusia.
Mission Desert naona ziiiii, bado miezi 2 mwaka tarajiwa uishe.
Halafu kingine BT naye ni mzee wa Dipu siteti na yeye ndiye mshika rimoti kwa sasa huku, so mipango ya Dipu siteti anajua na kutonya huku kwa mkojani fc.
Kwa mbali naona mission za BT kwa PK