Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Mmmmh rimoti haina mwenyewe?BT mshika rimoti? Soma alama kwa utulivu mkuu. Huyo mzee anasingiziwa tu. Ngoma ngumu kila upande!, watu wapo busy mezani huku wakiangalia kwa kengeza na wengine kwa mawani. Rimoti haina mwenyewe!
Yupo korea kapumzika!mwaka Jana alikua israel!tetesi.sio za kweli.zile!Kuna habari gani huko?
Nani huyo!Yupo korea kapumzika!mwaka Jana alikua israel!tetesi.sio za kweli.zile!
Bado tuna siku 27 zimebaki Mkuu.So uzi huu umefeli??
Sawa wacha tuoneBado tuna siku 27 zimebaki Mkuu.
Wanasema lolote linaweza tokea wakati wowote kwenye siasa.
Team ya Mkojani Fc ni wachawi na wapenda waganga hatari,Bado tuna siku 27 zimebaki Mkuu.
Wanasema lolote linaweza tokea wakati wowote kwenye siasa.
Nani huyo!
Jamaa gani aliyesema?Jana jamaa kasema eti katelephone ndio namba mbili halafu doto ndio pm!kwahio kumbe FDR ni katelephone!!?Sasa mbona TEC itakubali!!?
We huoni kutakua na mzozo!?
Hata mimi nasubiri.Jamaa gani aliyesema?
Kuna tetesi ......ndiye namba 2.Si huyo namba mbili!!?tetesi za yule jamaa!!
Mkuu Cha ajabu
Jana jamaa kasema eti katelephone ndio namba mbili halafu doto ndio pm!kwahio kumbe FDR ni katelephone!!?Sasa mbona TEC itakubali!!?
We huoni kutakua na mzozo!?
π ββοΈπ
Kama mama anavyoinenga nchi kwa kasi sana licha ya miluzi ya kumrudisha nyuma. Lakini nashukiru kwamba hasikii kelele za wapumbavu kama.weweLkn FDR angalau alikuwa intelligent man, hakubomoa USA bali alijenga USA, FDR alijenga Hoover Dam Bwawa la kuzalisha umeme wa Maji, kwetu Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu hata mwishowe kubomolewa, alijenga US Highway System ambayo alikopi kutoka NAZI Germany na mengine mengi, FDR hakukata umeme USA bali aliboresha, FDR hakuwaambia Viongozi wa USA waibe na kubomoa USA kwa kula kwa urefu wa kamba bali alikemea corruption na kujenga USA.
Hivyo wakati mwingine kuwa muangalifu unapojaribu kulinganisha mambo, kuna vitu havilingani na siyo sawa kuvilinganisha.