Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 666
- 1,255
Jikoni kuna chochote kinachopikwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana mana naona kampuni inatoa maboko hata raia wameanza kuichoka kampuni yaoHadi January tutaanza kupata picha HALISI! Wakati mvua za masika za mwanzo zinaanza tutaanza kujua uhalisia wa hii kitu!!
Watu wengi hàwajaweza fumbua hili gumbo may be 2025.!Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Fumbua japo kidogoWatu wengi hàwajaweza fumbua hili gumbo may be 2025.!
Wenye akili hawawezi kufikiria kumpigia chapuo January makamba, He is inept leader ever, corrupt and a bandwagon of irresponsibilityWakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Huyo TA inasemekana ni swahiba wa baba yake na huyo tapeli uliyemtajaWenye akili hawawezi kufikiria kumpigia chapuo January makamba, He is inept leader ever, corrupt and a bandwagon of irresponsibility
Mama yupo kwenye siku za mwisho mwisho za Urais wakeBila shaka ni huyu ninaemfikiria.
2023 - 2025 ( 2yrs ) na ile kumi 2025 - 2035
Mpaka 2030 😆😆Mama yupo kwenye siku za mwisho mwisho za Urais wake
Achana na hizo ndoto.Joto linazidi kuongezeka jikoni. Sitoshangaa lolote likitokea muda wowote kutoka sasa.
Jamaa ana signal shughuli ya kumsimika FDR itaanza muda wowote sio!?Achana na hizo ndoto.
Hapana MkuuMwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani
Mwaka 2023 mpaka mwaka 2025
Philipo I. Mpango.
Nimezingatia last digit.