Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Hapana Mkuu

2025-2023=2 yrs

2035-2025=10yrs

Then 2yrs+10yrs=12 ya FDR kutawala Tz

Yaani 2035-2023=12yrs

Kama Mpango ni timamu kimwili atapewa!kama sio can't see happening!

Lazima muhusika awe kwenye forties au early fifties not beyond 57!!

Yule kijana mpya wa wizara ya ulinzi,labda jabali kama kukiwa na mnyukano Lazima atokee ziwa nyanza kukamilisha maono ya mtangulizi!

Wakishindwa kabisa wanaweza nitafuta mimi wakijua wa idodomya,Ili na kanda ya Kati itoe kukata kiu ya ukanda uliodumu KWA Muda mrefu na SISI kina matonya,warangi,wanyaturu,wanyiramba nasi tuandike historia coz tumesahaulika Sana tangu heka heka za malechela! Ili kumalizia miradi ya maendeleo ya Dodoma na kuenzi maono ya BABA wa taifa Dodoma Kuwa makao makuu na kuhama rasmi Dar na kubaki makumbusho kama 0101 wanavotaka!!

"Nayaweza yote Katika YEYE anitiaye NGUVU"

Labda wataona Hao jamaa na kutilia maanani komenti hii!!

MAWAZO HURU HAYA!
2023 - 2025
(Hapa lazima Rais aliyepo apate matatizo ambayo yatasababisha asiendelee na Urais kama Katiba inavosema Makamu wake ndiye atakaye apishwa kua Rais)

2025 - 2035
 
Haya yamemshinda "Bi Tozo" na wajuba wanapita nae juu kwa juu.

10. Miradi ya SGR na Stiegler's iendelezwe pamoja na ile ya barabara lakini upembuzi ufanyike ili ikiwepo isiyo na tija iachwe.

11. Kuna tatizo kubwa sana deni la taifa.. angalau punguza sasa kukopa na weka mazingira ili uvutie wawekezaji na hasa wale wa ndani ambao wameficha matrilioni ardhini na nje ya nchi.

12. Uchunguzi huru ufanyike kwa yale matukio yote ya utekaji, mauaji na mashambulizi dhidi ya binadamu.

13. Ondoa elimu bure kwasababu inajenga taifa lenye 'irresponsible' minds. Angalia namna ya kubadilisha mfumo wa elimu ili uendane na nyakati tulizonazo.
 
Hapana Mkuu

2025-2023=2 yrs

2035-2025=10yrs

Then 2yrs+10yrs=12 ya FDR kutawala Tz

Yaani 2035-2023=12yrs

Kama Mpango ni timamu kimwili atapewa!kama sio can't see happening!

Lazima muhusika awe kwenye forties au early fifties not beyond 57!!

Yule kijana mpya wa wizara ya ulinzi,labda jabali kama kukiwa na mnyukano Lazima atokee ziwa nyanza kukamilisha maono ya mtangulizi!

Wakishindwa kabisa wanaweza nitafuta mimi wakijua wa idodomya,Ili na kanda ya Kati itoe kukata kiu ya ukanda uliodumu KWA Muda mrefu na SISI kina matonya,warangi,wanyaturu,wanyiramba nasi tuandike historia coz tumesahaulika Sana tangu heka heka za malechela! Ili kumalizia miradi ya maendeleo ya Dodoma na kuenzi maono ya BABA wa taifa Dodoma Kuwa makao makuu na kuhama rasmi Dar na kubaki makumbusho kama 0101 wanavotaka!!

"Nayaweza yote Katika YEYE anitiaye NGUVU"

Labda wataona Hao jamaa na kutilia maanani komenti hii!!

MAWAZO HURU HAYA!
0101 naomba code hii
 
Haya yamemshinda "Bi Tozo" na wajuba wanapita nae juu kwa juu.

10. Miradi ya SGR na Stiegler's iendelezwe pamoja na ile ya barabara lakini upembuzi ufanyike ili ikiwepo isiyo na tija iachwe.

11. Kuna tatizo kubwa sana deni la taifa.. angalau punguza sasa kukopa na weka mazingira ili uvutie wawekezaji na hasa wale wa ndani ambao wameficha matrilioni ardhini na nje ya nchi.

12. Uchunguzi huru ufanyike kwa yale matukio yote ya utekaji, mauaji na mashambulizi dhidi ya binadamu.

13. Ondoa elimu bure kwasababu inajenga taifa lenye 'irresponsible' minds. Angalia namna ya kubadilisha mfumo wa elimu ili uendane na nyakati tulizonazo.
Sawa naona una refer "operation imesitishwa the state wamesema apewe Muda"

LAKINI Baada ya hapo iwe zamu ya kanda ya kati Dodoma,tena nafaa kabisa kumalizia miradi iliyoasisiwa awamu ya tano!!

Na Katiba Mpya nitasimamia mchakato wake,nikiingia tu mzee Warioba,Butiku ndio WASHAURI WAKUU wa mwenendo wa Serikali yangu na kikosi KAZI cha Warioba nitaandaa ILI amalizie KAZI!!
Wakati wa katiba ni Sasa,kanda ya Kati (Dodoma ) nitafanikisha!

Naipenda nchi YANGU TANZANIA

"Zamu ya Kanda ya Kati ni Sasa"Tumeasahaulika Sana"!!

Mimi nitafanikisha!!
 
"Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic"

Nani ana sifa tajwa hapo juu?
 
"Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic"

Nani ana sifa tajwa hapo juu?
Huyo mtu!!
Hasikiki Sana kwenye vyombo vya habari,wala hana juhudi zozote za kuutafuta u FDR!

Atakuwa introvert in nature!ananikumbusha Mwinyi enzi zake za uwaziri wa ulinzi!!

Kijana Inocent Bashungwa,ana fall kwenye category Hiyo!!

Ningesema Mpango But no coz lile Boko la samaki kanda ya ziwa linaharibu KWA sifa tajwa hapo!

Ya Mungu Mengi pia! ngoja Tuone!
 
Kuna wa ajabu sana Dunia hii.
Angekuwa JPM, ningeunga mkono hoja, lakini kwa uji uji huu, hapana.
 
Huyo mtu!!
Hasikiki Sana kwenye vyombo vya habari,wala hana juhudi zozote za kuutafuta u FDR!

Atakuwa introvert in nature!ananikumbusha Mwinyi enzi zake za uwaziri wa ulinzi!!

Kijana Inocent Bashungwa,ana fall kwenye category Hiyo!!

Ningesema Mpango But no coz lile Boko la samaki kanda ya ziwa linaharibu KWA sifa tajwa hapo!

Ya Mungu Mengi pia! ngoja Tuone!
Inasemekana pia atakua muislam
 
Lkn FDR angalau alikuwa intelligent man, hakubomoa USA bali alijenga USA, FDR alijenga Hoover Dam Bwawa la kuzalisha umeme wa Maji, kwetu Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu hata mwishowe kubomolewa, alijenga US Highway System ambayo alikopi kutoka NAZI Germany na mengine mengi, FDR hakukata umeme USA bali aliboresha, FDR hakuwaambia Viongozi wa USA waibe na kubomoa USA kwa kula kwa urefu wa kamba bali alikemea corruption na kujenga USA.

Hivyo wakati mwingine kuwa muangalifu unapojaribu kulinganisha mambo, kuna vitu havilingani na siyo sawa kuvilinganisha.
Unajifanyaga ndezi...kumbe una akili njema tu?
 
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani

Mwaka 2023 mpaka mwaka 2025
Philipo I. Mpango.

Nimezingatia last digit.
Mnataka wale wasafiri na ugali wa kula siku 4 wakajisaidie pembezoni mwa ikulu?
Hamko siriaz mamen
 
Wakuu

Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.

Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc

Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.

Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.

Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Uzi bora wa mwaka 2022.
 
Back
Top Bottom