Donasoani pastory kabengo
Senior Member
- Jul 21, 2018
- 177
- 163
ShwainiHapo kuna watu wawili kwenye nafasi mbili kuna ndugu kiroho na msaidizi wa kiroho.
Ila kwa tamaduni mlizo zoezwa huko makanisani kwa sasa huyo frateli hana nafasi ila utasikia baba, mama wa kiroho kama aliyekusimamia kwenye kipa bora ooh sorry kipaimara au ubatizo.
Shemasi kadharika hiyo mtu mmemfanya ndiye anasimamia wavaa nusu utupu, vibaka, kukusanya mapato ya kanisa nk na ameacha nafasi yake inayotakiwa ya usimamizo kiroho.
Note; hayo ni kwa jinsi nilivyofahamu.