Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na waziri wa viwanda na biashara!Atapata na ndiye Mbunge monduli
Kweli kabisa wananchi wa Monduli mpigeni chini huyo Lowassa.huu ni usulutan sasa, mahela yote hayo bado anataka tu, imefika wakat na masikin wafaid keki ya taifa! nifedhea kufanya jimbo mali yafamilia, masai shitukeni.
Iwe fundisho kwa wasaliti wote. Ule mualiko wa Mh. Rais kwa Lowassa una maana yake..Yule jamaa aliyeunga juhudi imekula kwake!
Lowasa anamuandaa Fred kuingia Ikulu
Watu kama hawa inapendeza kuwa mwakilishi wako. Shida nyingine za jimboni ana uwezo hata wa kumgongea simu Rais, na Rais anapokea hata akiwa amelala. Wanasiasa wenye njaa pumbavu sana.Iwe fundisho kwa wasaliti wote. Ule mualiko wa Mh. Rais kwa Lowassa una maana yake..
Kabisa mkuuWatu kama hawa inapendeza kuwa mwakilishi wako. Shida nyingine za jimboni ana uwezo hata wa kumgongea simu Rais, na Rais anapokea hata akiwa amelala. Wanasiasa wenye njaa pumbavu sana. Ndio maana huwezi kumsikia mtu kama Chenge anachangia upuuzi bungeni, hana sababu ya kumuimpress bungeni mtu ambaye muda wowote akiamua wanaongea, iwe kwa simu ama live.
Kweli kabisa anaingia siasa uzeeni....Hata hivyo amechelewwa sana kuingia siasa