Enzi za uchifu zimerudi. Watoto wa viongozi ndio wanapewa nafasi za kugombea.Chadema hoi bin taaban.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi za uchifu zimerudi. Watoto wa viongozi ndio wanapewa nafasi za kugombea.Chadema hoi bin taaban.
Huyo ni mbunge tayari kabisaa....in future nia ya urais tutaiona , Mungu amuweke hai mzee wakeSIo kazi Rahisi sana Brother; Siasa za Monduli ni tofauti na sehemu nyingine za Wamasai; Siasa za Monduli Lowassa au Sokoine Oriented Personnel, Kama wakikosekana inabidi anayekuja awe ni Mmasai wa Kuzaliwa Monduli, sio wakuja.
We umezuiwa kuchuka fomu na kwenda kumwaga nondo kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa jimbo ili uchaguliwe?Enzi za uchifu zimerudi. Watoto wa viongozi ndio wanapewa nafasi za kugombea.
Utakuwa na hasira za kudeki barabara 2015. Acha hasira tuliza moyo.Alitawala baba na mtoto atatawala.
Edward Lowasa atakuwa aliambiwa unga mkono juhudi halafu mwanao agombee ubunge then atateuliwa kuwA waziri.
Nchi imejaa mizee minafki hadi inanuka.Ndio maana mzee anapitapita kwa Mwenyekiti kumbe ana jambo lake!
Mimi ni mtoto wa chifu sitaki kuendekeza uchifu kwenye siasa.We umezuiwa kuchuka fomu na kwenda kumwaga nondo kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa jimbo ili uchaguliwe?
Vizuri.Mimi ni mtoto wa chifu sitaki kuendekeza uchifu kwenye siasa.
Kalanga kazi anayo
ingekua anagombea peke yake sawa ila mtoto wa lowassa na huko mzee naona ana heshimika sana wataenda na fredMzee kule sasahivi kaandaliwa mtoto wa sokoine yule demu
kwanini msiache kura za maoni ziamue ?Anajisumbua, jimbo la mtoto wa sokoine
😆😆😆Yule karanga aliyeunga juhudi itakuwaje sasa