Gogovivu45
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 229
- 133
huu ni usulutan sasa, mahela yote hayo bado anataka tu, imefika wakat na masikin wafaid keki ya taifa! nifedhea kufanya jimbo mali yafamilia, masai shitukeni.
Weka setensi yako vizuri...Sasa nimeelewa ni kwanini Lowasa alikuwa anajipendekeza sana siku za hivi karibuni
Point mkuu.Kabisa mkuu
Manabii wa uongo mmeanza kazi ha ha haNilivo muona tu EL chamwino nkajua tayari amekuja kumsafishia njia Fred
Mkuu Lowasa & familia yake hawakuwa chadema bali walikuwa wanajaribu kutimiza ndoto ya mzee wao kuwa Rais wa Tanzania tu.Huyu hakuwa Chadema kweli?!
Ni mtanzania ana haki zote, bora huyu kuliko wahindi wenye passport mbilihuu ni usulutan sasa, mahela yote hayo bado anataka tu, imefika wakat na masikin wafaid keki ya taifa! nifedhea kufanya jimbo mali yafamilia, masai shitukeni.
Chelewa ufikeHata hivyo amechelewwa sana kuingia siasa
Huyo ni mtu wa Lowassa kuna nafasi nyingi siyo lazima ubunge, tayari amehakikishiwa, mwaka huu ccm haina utani na majimbo yake, poleni wapinzani, ukweli mchunguJulius Kalanga itakuaje sasa
Naaam sio mbayaChelewa ufike
SIo kazi Rahisi sana Brother; Siasa za Monduli ni tofauti na sehemu nyingine za Wamasai; Siasa za Monduli Lowassa au Sokoine Oriented Personnel, Kama wakikosekana inabidi anayekuja awe ni Mmasai wa Kuzaliwa Monduli, sio wakuja.Kweli kabisa wananchi wa monduli mpigeni chini uyo Lowassa.
Sasa nimeelewa ni kwanini Lowasa alikuwa anajipendekeza sana siku za hivi karibuni