Wewe tajiri unaemjua nchi hii ni domo tu.Mshamba tu huyo hana hela yoyote ya maana nimpikie majungu wakuja huyo...hela yote inaishia kwenye kujitangaza aonekane tajiri mkubwa...yani hivyo viduka vya lonya ndio mnaona jamaa kayatoa? alafu hayo mambo ya simba usizungumze kwa wajanja utachekwa hiyo ni deal ya mwenye simba mwenyewe.
mitandao haisahau tutakuja kuwakumbusha.
Fred Vunjabei sijawah mwelewa , jamaa ni Kiki Tu za mtandaoni , wenye pesa wanatumia brand yake kujinufaisha na yeye analamba tone kdogo , hzo lonya zake na operation cost zake huwez kuwa na Billionare status , labda kama anatumia kupata mikopo ya benki...Mshamba tu huyo hana hela yoyote ya maana nimpikie majungu wakuja huyo...hela yote inaishia kwenye kujitangaza aonekane tajiri mkubwa...yani hivyo viduka vya lonya ndio mnaona jamaa kayatoa? alafu hayo mambo ya simba usizungumze kwa wajanja utachekwa hiyo ni deal ya mwenye simba mwenyewe.
mitandao haisahau tutakuja kuwakumbusha.
ale kidheriKande sio chakula? Kwa hiyo ili mtu umkubali kama tajiri anatakiwa ale nini?
Kwa ubahili wa huyu mwamba ni kweli hana pesa Kama anavyojimwambafai.Mshamba tu huyo hana hela yoyote ya maana nimpikie majungu wakuja huyo...hela yote inaishia kwenye kujitangaza aonekane tajiri mkubwa...yani hivyo viduka vya lonya ndio mnaona jamaa kayatoa? alafu hayo mambo ya simba usizungumze kwa wajanja utachekwa hiyo ni deal ya mwenye simba mwenyewe.
mitandao haisahau tutakuja kuwakumbusha.
Huyu ni Bill Gates .. Umeona amevaa simple sana Ila ni tajiri wa dunia. Mavazi haya define utajiri mkuu.Hao jamaa bwana
Ni kawaida kukuta mmoja wapo kati yao Milioni Mia ngapi kwake ni hela anayoshika mara kwa mara ila anavaa kama masikini tu kuvaa mitumba mitumba wakati mtu anashika hela nyingi sana za kwake
Hapa ni wapi jamani? Mbona location km ya [emoji1241]Huyu ni Bill Gates .. Umeona amevaa simple sana Ila ni tajiri wa dunia. Mavazi haya define utajiri mkuu.View attachment 1774298
Tanga hapo alishawahi kujaHapa ni wapi jamani? Mbona location km ya [emoji1241]
hapa ni TangaHapa ni wapi jamani? Mbona location km ya [emoji1241]
Hapo ndio kavaa Simple hivi kuvaa Simple kupoje na kuvaa complex kupojeHuyu ni Bill Gates .. Umeona amevaa simple sana Ila ni tajiri wa dunia. Mavazi haya define utajiri mkuu.View attachment 1774298
Heeeeeh mbna sina habari km Gates alishawahu kuja huku home . Ukute alinogeshwa na mapenzi ya kitanga ka7bisha ndia yake kufa. [emoji23][emoji23][emoji23]Tanga hapo alishawahi kuja
Aseeeeh sikua najua hili.hapa ni Tanga
Heeeeeh mbna sina habari km Gates alishawahu kuja huku home . Ukute alinogeshwa na mapenzi ya kitanga ka7bisha ndia yake kufa. [emoji23][emoji23][emoji23]
kuna kitu atakua alichanganyiwa kwenye msoc huko Tanga akadata kabisaaa. Chezea Tanga ww 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Tanga waja leo kurudi MajaliwaAlikutana na za kwa mparange akadata mazima.
Akakutana na mpalange wa kitanga, joto sio joto, moto sio moto, tamu sio tamu, ashua sio ashua, wacha ambwage Melinda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikutana na za kwa mparange akadata mazima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] soon tutasikia Gates anajenga kasri lake Handeni. Mweeeehkuna kitu atakua alichanganyiwa kwenye msoc huko Tanga akadata kabisaaa. Chezea Tanga ww [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tanga waja leo kurudi Majaliwa
View attachment 1768616
Watu wanawivu sisi tunao bonga nae daily tunajua unasema nini wivu kwa mwanaume mwenzio hauifai yan mtu anaomba udondoke sasa ndio nini, mbona jamaa ana roho nzuri tu ? kama mtu mnyama mnyama tu na wewe pambana uwe mnyama, hating doesn't help,